Pre GE2025 Kigwangalla: Nitawajibika lakini ukweli ni kuwa Mifumo yetu nchini ni dhaifu

Pre GE2025 Kigwangalla: Nitawajibika lakini ukweli ni kuwa Mifumo yetu nchini ni dhaifu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
nakubaliana na kingwangala, tatizo watanzania hawataki mtu radical, asiye badirika, ukitoa msimamo tofauti na waliozoea wanasema unasema kwa sababu haupo kwenye mfumo. Nyerere alifuta vyama vingi lakini baadae akaupigia chapuo mfumo wa vyama vingi je ni kwasababu hakuwa rais? mbona hakutukana. HK ni msomi na sifa ya msomi ni kubadiri misimamo kuendana na wakati uliopo, miaka ya nyuma suala la mtoto kurudi shule baada ya kujifungua tuliona halifai lakini miaka ya 2020s tumeona kurudi mtoto wa kike darasana baada ya kujifungua ni suala jema. HK ametimiza wajibu wake wanaotaka asiwe radical et kwa sababu ya aliyowahi kusema ama kufanya nyuma wajitafakari upya.
Mbona Nyerere hakuvitaka hivyo Vyama vingi wakati akiwa Rais? Mbona Wapinzani wake wote aliwaua na wengine wakakimbia Nchi.

Kimsingi ni Samia na JK tuu ndio wamevumilia Kwa sehemu kubwa upinzani vinginevyo watu wengi huko ccm hawataki hata huo upinzani wenyewe.

Hawa kina Kigwa sijui Mpina wameanza porojo zao baada ya kutoka kwenye Vyeo.
 
Mbona hakuvitaka hivyo Vyama vingi wakati akiwa Rais? Mbona Wapinzani wake wote aliwaua na wengine wakakimbia Nchi.

Kimsingi ni Samia na JK tuu ndio wamevumilia Kwa sehemu kubwa upinzani vinginevyo watu wengi huko ccm hawataki hata huo upinzani wenyewe.

Hawa kina Kigwa sijui Mpina wameanza porojo zao baada ya kutoka kwenye Vyeo.
👍👌👏🙏🆒
 
, miaka ya nyuma suala la mtoto kurudi shule baada ya kujifungua tuliona halifai lakini miaka ya 2020s tumeona kurudi mtoto wa kike darasana baada ya kujifungua ni suala jema.
Acha kutujumuisha ni mwendazake ndio aliona hivyo sisi wengine tulibaki tukishangaa tu!
 
Mjadala wa kitaifa usingepaswa kuwa Dr. Hamisi Kigwangalla amekosea, atoe ushahidi, ataje, hakupaswa kusema alichosema, ana wivu kwa kuwa yeye yuko benchi etc, bali je alichosema ni uongo ama ukweli; kama ni ukweli tunafanyaje ili kudhibiti?

Badala ya kunyoosheana kidole, ama kutaka umbeya ni nani na nani anamiliki nini na nini, kama ambavyo watanzania tunapenda, ama nani awajibike atolewe cheo, tungefikiria na kutazama mbele zaidi kuwa tufanye nini kudhibiti?

Kama alivyosema Mzee Bagonza, ni kweli mimi siyo mwanasiasa mdogo, na pamoja na kunitukana kwake (najua kwa nia ya kutaka aidha mimi binafsi nitaje ama vyombo vya umma vinilazimishe kutaja) na kuwa kama nilikuwa nafanya mzaha, basi afya yangu ya akili inapaswa kutiliwa shaka! 😀

I won’t yield to his pressure, kwa sababu ya ukubwa wangu kisiasa. Kwa nilipofikia sitafuti umaarufu wa jina langu binafsi kisiasa wala cheo tena, na sina adui wa kumuanzishia vita ya kisiasa! NATAKA TUREKEBISHE MIFUMO NA TAASISI ili tuwaachie watoto wetu nchi salama, yenye usawa, yenye haki, yenye uwazi, yenye mifumo na taasisi imara za kisiasa, za kiuchumi/kifedha na kisheria. Hii ndiyo ndoto yangu kubwa kwa sasa.

Ningekuwa na shida hiyo ningeongea bungeni ambapo najua nina kinga. Ama ningewapa wabunge walipue mabomu bungeni. Ama ningeweza kupeleka umbeya kwenye mitandao.

Vyombo vya kisheria leo hii vinaweza kutumia mamlaka yake kunitaka nitaje la sivyo nichukuliwe hatua; najua nikichagua kutotaja, nitachukuliwa hatua za kisheria, nitawajibika! Lakini haitoondoa ukweli wa udhaifu wa mifumo yetu.

Mengi ya ninayoyajua yamo kwenye taarifa ya CAG, Bungeni etc., kwani hakuna anayeona viashiria vya uwepo wa rushwa, ubadhirifu na matumizi mabaya ya ofisi za umma?

Mfano akitokea mtu akaamua kutaja, atakuwa salama? Vyombo vyetu vya uwajibikaji watapata ushahidi? Kuna kitu hakiko sawa, na kwa hakika siyo mimi, ni mfumo/muundo wetu wa kitaasisi! Hautoi fursa ya wabadhirifu kuchukuliwa hatua kirahisi. We need reforms.

#HK #Fighter #NjeYaBox
Sasa eongwa kitu kinachotafakarisha sana.

Nchi ywtu hii ina taasisi ambazo mfumo wake unategemea utashi wa mtu na siyo sheria na taratibu
 
nakubaliana na kingwangala, tatizo watanzania hawataki mtu radical, asiye badirika, ukitoa msimamo tofauti na waliozoea wanasema unasema kwa sababu haupo kwenye mfumo. Nyerere alifuta vyama vingi lakini baadae akaupigia chapuo mfumo wa vyama vingi je ni kwasababu hakuwa rais? mbona hakutukana. HK ni msomi na sifa ya msomi ni kubadiri misimamo kuendana na wakati uliopo, miaka ya nyuma suala la mtoto kurudi shule baada ya kujifungua tuliona halifai lakini miaka ya 2020s tumeona kurudi mtoto wa kike darasana baada ya kujifungua ni suala jema. HK ametimiza wajibu wake wanaotaka asiwe radical et kwa sababu ya aliyowahi kusema ama kufanya nyuma wajitafakari upya.
Tatizo inapokuja hoja watu wanamjadili mtoa hoja badala ya kujadili hoja iliyopo
 
Kigwangalla ni TAKATAKA ila huwezi kumjua mpaka u deal naye Moja kwa Moja. Hata Magufuli alipo mpa uwaziri hakujua kwamba amempa mtu BOGUS. Alikuja juwa too late baada ya Kigwangalla kuanza ufisadi kwenye wizara ya utalii.

Mimi ninavyomfahamu Kigwangalla siyo kwamba ni mbunifu bali ni mwepesi wa kuchukua mawazo ya watu wengine na kuyafanya yake kwa kuyapeleka kwenye mamlaka.

Kingine Kigwangalla ana roho ya uthubutu wa kufanya mambo ya kuumiza wengine alimradi yeye aonekane anafanya kazi. Kigwangalla na MAKONDA wako sawa tu ni ma-sadist, ma-snitch na wote wanatumia majina ya FORGERY kwenye ajira. Kigwangalla ni Said Bagaille ndiyo jina lake. Makonda ni Daud Bashite.
Wewe naye mbona ni takataka tu.hoja inazungumzia jambo jingine wewe unaleta hoja zingine zakujadili mambo binafsi ya watu.Jibu hoja zake hayo mengine binafsi anzisha mada yake.
 
Mtu anaetuma Ndege ifate malaya dar na Kuwapeleka Porini leo anatoa Guts wapi za Kuona wenzake Wachafu?
 
Hii nchi imejaa wanafiki wa ajabu, rasimu ya Warioba ilikuwa na mapendekezo yote ya kufanya mifumo/taasisi ziwe huru, lakini Kigwangwala aliamua kusimama na msimamo wa chama, Leo kujiliza kuhusu ubovu wa mifumo ni kusanifu watu. Hoja yake ni real, ila yeye sio mtu sahihi wa kuiongea.
Unajua ifike mahali watu waache kujadili hoja za watu zenye mantiki kwakuangalia mapungufu yao.Kwa hatua hii nchi ilipofikia kwa sasa kwa hawa viongozi hakuna mwenye afadhali.Wote ni wabovu kwenye angle tofauti tofauti na huo ubovu umechangiwa na huo mfumo mbovu anaousema kigwangala.Kama kweli kizazi hichi kina nia yakulikomnoa hili taifa kinachotakiwa kwa wananchi ni kuchukua point ya kilichosemwa na kukifanyia kazi bila kuangalia jina au status ya aliyekisema.tofauti na hapo ichi kitakua ni kizazi kibovu kuliko vilivyopita kwasababu hatushughuliki na hoja tunaangalia watu.Hoja ya kigwangsla mantiki yake ni kwamba chama kinachounda serikali kimeshashindwa ndo maana huo mfumo mbovu upo,ameshindwa tu kunyoosha maelezo,sasa ni jukumu la wananchi kufanya kwa vitendo kurekebisha mambo badala yakuangaika na mtoa hoja.Kwasababu haya mambo yanajulikana ila hatupati majasiri wakuyasema.Kigwa aungwe mkono.
 
Mjadala wa kitaifa usingepaswa kuwa Dr. Hamisi Kigwangalla amekosea, atoe ushahidi, ataje, hakupaswa kusema alichosema, ana wivu kwa kuwa yeye yuko benchi etc, bali je alichosema ni uongo ama ukweli; kama ni ukweli tunafanyaje ili kudhibiti?

Badala ya kunyoosheana kidole, ama kutaka umbeya ni nani na nani anamiliki nini na nini, kama ambavyo watanzania tunapenda, ama nani awajibike atolewe cheo, tungefikiria na kutazama mbele zaidi kuwa tufanye nini kudhibiti?

Kama alivyosema Mzee Bagonza, ni kweli mimi siyo mwanasiasa mdogo, na pamoja na kunitukana kwake (najua kwa nia ya kutaka aidha mimi binafsi nitaje ama vyombo vya umma vinilazimishe kutaja) na kuwa kama nilikuwa nafanya mzaha, basi afya yangu ya akili inapaswa kutiliwa shaka! 😀

I won’t yield to his pressure, kwa sababu ya ukubwa wangu kisiasa. Kwa nilipofikia sitafuti umaarufu wa jina langu binafsi kisiasa wala cheo tena, na sina adui wa kumuanzishia vita ya kisiasa! NATAKA TUREKEBISHE MIFUMO NA TAASISI ili tuwaachie watoto wetu nchi salama, yenye usawa, yenye haki, yenye uwazi, yenye mifumo na taasisi imara za kisiasa, za kiuchumi/kifedha na kisheria. Hii ndiyo ndoto yangu kubwa kwa sasa.

Ningekuwa na shida hiyo ningeongea bungeni ambapo najua nina kinga. Ama ningewapa wabunge walipue mabomu bungeni. Ama ningeweza kupeleka umbeya kwenye mitandao.

Vyombo vya kisheria leo hii vinaweza kutumia mamlaka yake kunitaka nitaje la sivyo nichukuliwe hatua; najua nikichagua kutotaja, nitachukuliwa hatua za kisheria, nitawajibika! Lakini haitoondoa ukweli wa udhaifu wa mifumo yetu.

Mengi ya ninayoyajua yamo kwenye taarifa ya CAG, Bungeni etc., kwani hakuna anayeona viashiria vya uwepo wa rushwa, ubadhirifu na matumizi mabaya ya ofisi za umma?

Mfano akitokea mtu akaamua kutaja, atakuwa salama? Vyombo vyetu vya uwajibikaji watapata ushahidi? Kuna kitu hakiko sawa, na kwa hakika siyo mimi, ni mfumo/muundo wetu wa kitaasisi! Hautoi fursa ya wabadhirifu kuchukuliwa hatua kirahisi. We need reforms.

#HK #Fighter #NjeYaBox
Huyu ni mpiganaji wa ukweli, namfahamu toka kitambo sana, ni mtu wa misimamo isiyoyumba!, akisimama ni amesimama!

Aliwahi kuitisha maandamano Nzega, CCM wakamzuia, aliwagomea! Kwako Ndg. Pasco: Maandamano Yamefanyika Bila Idhini ya Katibu wa Chama!

He is very bold!.
P
 
Unajua ifike mahali watu waache kujadili hoja za watu zenye mantiki kwakuangalia mapungufu yao.Kwa hatua hii nchi ilipofikia kwa sasa kwa hawa viongozi hakuna mwenye afadhali.Wote ni wabovu kwenye angle tofauti tofauti na huo ubovu umechangiwa na huo mfumo mbovu anaousema kigwangala.Kama kweli kizazi hichi kina nia yakulikomnoa hili taifa kinachotakiwa kwa wananchi ni kuchukua point ya kilichosemwa na kukifanyia kazi bila kuangalia jina au status ya aliyekisema.tofauti na hapo ichi kitakua ni kizazi kibovu kuliko vilivyopita kwasababu hatushughuliki na hoja tunaangalia watu.Hoja ya kigwangsla mantiki yake ni kwamba chama kinachounda serikali kimeshashindwa ndo maana huo mfumo mbovu upo,ameshindwa tu kunyoosha maelezo,sasa ni jukumu la wananchi kufanya kwa vitendo kurekebisha mambo badala yakuangaika na mtoa hoja.Kwasababu haya mambo yanajulikana ila hatupati majasiri wakuyasema.Kigwa aungwe mkono.
Hakuna mwenye tatizo na asemacho Kigwangwala, Bali yeye sio mtu sahihi. Chaguzi zinanajisiwa wazi wazi yeye akiwa sehemu ya uhuni huo, Sasa mtu kama huyo unamuunga mkono kwa kipi?
 
Mjadala wa kitaifa usingepaswa kuwa Dr. Hamisi Kigwangalla amekosea, atoe ushahidi, ataje, hakupaswa kusema alichosema, ana wivu kwa kuwa yeye yuko benchi etc, bali je alichosema ni uongo ama ukweli; kama ni ukweli tunafanyaje ili kudhibiti?

Badala ya kunyoosheana kidole, ama kutaka umbeya ni nani na nani anamiliki nini na nini, kama ambavyo watanzania tunapenda, ama nani awajibike atolewe cheo, tungefikiria na kutazama mbele zaidi kuwa tufanye nini kudhibiti?

Kama alivyosema Mzee Bagonza, ni kweli mimi siyo mwanasiasa mdogo, na pamoja na kunitukana kwake (najua kwa nia ya kutaka aidha mimi binafsi nitaje ama vyombo vya umma vinilazimishe kutaja) na kuwa kama nilikuwa nafanya mzaha, basi afya yangu ya akili inapaswa kutiliwa shaka! 😀

I won’t yield to his pressure, kwa sababu ya ukubwa wangu kisiasa. Kwa nilipofikia sitafuti umaarufu wa jina langu binafsi kisiasa wala cheo tena, na sina adui wa kumuanzishia vita ya kisiasa! NATAKA TUREKEBISHE MIFUMO NA TAASISI ili tuwaachie watoto wetu nchi salama, yenye usawa, yenye haki, yenye uwazi, yenye mifumo na taasisi imara za kisiasa, za kiuchumi/kifedha na kisheria. Hii ndiyo ndoto yangu kubwa kwa sasa.

Ningekuwa na shida hiyo ningeongea bungeni ambapo najua nina kinga. Ama ningewapa wabunge walipue mabomu bungeni. Ama ningeweza kupeleka umbeya kwenye mitandao.

Vyombo vya kisheria leo hii vinaweza kutumia mamlaka yake kunitaka nitaje la sivyo nichukuliwe hatua; najua nikichagua kutotaja, nitachukuliwa hatua za kisheria, nitawajibika! Lakini haitoondoa ukweli wa udhaifu wa mifumo yetu.

Mengi ya ninayoyajua yamo kwenye taarifa ya CAG, Bungeni etc., kwani hakuna anayeona viashiria vya uwepo wa rushwa, ubadhirifu na matumizi mabaya ya ofisi za umma?

Mfano akitokea mtu akaamua kutaja, atakuwa salama? Vyombo vyetu vya uwajibikaji watapata ushahidi? Kuna kitu hakiko sawa, na kwa hakika siyo mimi, ni mfumo/muundo wetu wa kitaasisi! Hautoi fursa ya wabadhirifu kuchukuliwa hatua kirahisi. We need reforms.

#HK #Fighter #NjeYaBox
Hayo yte unasema wewe, yeye kaitwa na TAKUKURU akawasaidie kama anayo information.

Sasa huku vijiweni utawazuwia watu wasiseme, kama wewe unasema yako, mwengine atasema yake mimi ntasema yangu, ndivyo Watanzania tulivyo.
 
Wewe naye mbona ni takataka tu.hoja inazungumzia jambo jingine wewe unaleta hoja zingine zakujadili mambo binafsi ya watu.Jibu hoja zake hayo mengine binafsi anzisha mada yake.
Nimeshasema Kigwangalla ni TAKATAKA, hizo hoja zingine leta wewe
 
Dr. Khamis namshukuru wakati ukifanya mahojiano yaliyoibua sakata hili kati yako na Twaha niliyasikiliza vyema. Hakuna la kuongezea bali nikutoe hofu tu "KIZA KIKIZIDI KUNAKARIBIA KUKUCHA"

However, next time tunaomba tuwe solution oriented rather than Complaining.
 
Hii nchi imejaa wanafiki wa ajabu, rasimu ya Warioba ilikuwa na mapendekezo yote ya kufanya mifumo/taasisi ziwe huru, lakini Kigwangwala aliamua kusimama na msimamo wa chama, Leo kujiliza kuhusu ubovu wa mifumo ni kusanifu watu. Hoja yake ni real, ila yeye sio mtu sahihi wa kuiongea.
Labda kama anata kuconfess aliyoyafanya na uwozo wote tutamuelewa na kumsamehe ni kurudisha vyote alivyojimilikisha kwa hiari yake
 
Back
Top Bottom