Kigwangalla: Rais anaweza kuwafutia kesi lakini suala la kulipa mikopo ya benki ni jukumu lao la msingi

kwahio huyo kichaa kigwangalla anaweza kupambana na lema haya swali dogo atuambie
1. lema anadaiwa kias gan?
2. lema alikopa lin?
3. lema anadaiwa na nan?
4. mwisho wa kumaliza den ni lin?
5. lema kaweka colkateral gan kwenye mkopo wake?
6. wadhamin wake ni kina nan kwenye huo mkopo?
NB asipojibu hayo maswali atakuwa anadhihirisha upumbavu ambao ccm wengi umewajaa.
 
Kwani benki wamemtuma kudai mikopo?
Kwani huyo kigwa hadaiwi?
Kwanza alipe hela ya lile sanamu lake feki akidai ni mwalim Julius
 

Jua kwamba kesi alizofutiwa hazihusiani na madeni. Pia alichofutiwa ni kesi na SI mikopo na madeni. Hivyo basi jukumu la kulipa madeni lipo palepale.
CC: MSAGA SUMU
 
Mbona yeye mwenye walipokuwa na kampuni yao ya MSK waliyokuwa wanajishugulisha na pamba, walikimbia mkopo ......
Anyamaze tu bwana kingwa

Ova
 
Jua kwamba kesi alizofutiwa hazihusiani na madeni. Pia alichofutiwa ni kesi na SI mikopo na madeni. Hivyo basi jukumu la kulipa madeni lipo palepale.
CC: MSAGA SUMU
""kwahio huyo kichaa kigwangalla anaweza kupambana na lema haya swali dogo atuambie
1. lema anadaiwa kias gan?
2. lema alikopa lin?
3. lema anadaiwa na nan?
4. mwisho wa kumaliza den ni lin?
5. lema kaweka colkateral gan kwenye mkopo wake?
6. wadhamin wake ni kina nan kwenye huo mkopo?
NB asipojibu hayo maswali atakuwa anadhihirisha upumbavu ambao ccm wengi umewajaa.

Cc Dawa ya Uvccm
 

Hawa pia no miongoni mwa wale walioidhoofisha mifuko ya hifadhi ya jamii. Walikosa bila kufuata taratibu za ukopeshaji. Matokeo yake ni kifo cha mifuko hiyo.
 
Kweli, Madeni siri ya mkopaji na Benki alikokopa lakini ukishindwa kulipa kwa wakati unatangazwa kwenye gazeti na mdana hufanyika hadharani mchana kweupe.
Ndiyo taratibu za kibenki dada yang.
Ni benki gani ilitangaza kumdai Lema zaidi ya LaudiSpika?.
 
hamis Kigwangalla anachotakiwa kujua ni kuwa Lema account zake zote zilikuwa zimefungwa kwa amri kutoka mawinguni kwa mungu JPM
 
Hayo ndo maswali alikua akiyasikiliza kutoka kwa wananchi wake? Kwamba ukikimbia made ni ya benki huwa hakuna dhamana?
 
Mama ana soft spot na wakora aina ya lema. Mtu kakimbia ukimbizi feki kwa madeni unamfutia kesi tena kwa kuingilia mhimili mwingine wa dola.
Tumelia hadi tumechoka amtoe kijana wetu ccm sabaya kavimba anajidai hasikii.
Samia mungu anakuona.
 
Kutemeshwa uwaziri kulimuathiri kisaikolojia
 
Ukitaka kujua utawala wa marehemu ulikuwa wa ajabu kupindukia, angalia hata aina ya mawaziri wake.

Mtu kama Kigwangala, mwizi wa jina na mdhulumaji wa mtu aliyestahili kwenda Sekondari, Hamis Kigwangala, naye akawa Waziri. Mama yake kwa kutumia nafasi yake kama secretary kwenye ofisi ya Afisa Elimu Wilaya, alifanikiwa kupora nafasi ya Hamis Kigwangala kwenda Sekondari, akamkabidhi barua mwanae Hamis Bagalile. Haki ya Hamis Kigwangala ikapotea.

Akamaliza kidato cha 6, akaajiriwa kama stor keeper na kampuni ya Molman Btothers, mgodi wa dhahabu wa Nzega, akaiba baruti, akawekwa mahabusu, kisha kampuni ikaamua kuachana na kesi, wakaamua kumfukuza kazi.

Mwisho wa yote, eti akaja kuwa Waziri.

Leo na yeye anaona ana haki ya kuhoji kufutwa kwa kesi za watu kubambikiwa na utawala haramu.

Kwa mtu mwenye akili, huwezi hata siku moja ukasema eti mtu anaweza kukimbia deni. Kwani ukiwa na deni unauawa, hadi ukimbie? Very poor argument from poor brain, Hamis Bagalile.
 
Madeni ya bank yanatolewa kwa dhamana, na mara nyingi dhamana isiyohamishika. Mbona hatujasikia mali za Lema au mdhamini wake zikinadiwa? Kama bank haijafikia hatua za kuuza mali zilizowekwa rehani, basi deni liko hai na linalipikika. Sana Kingwangala anawashwa nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…