Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Kidogo nisikitike nikijua wananchi mmeliacha hili la jana lipite bila kulisemea. Nawashukuruni sana kwa kupita hapa na kumkarahisha mwasibu. Hastahiri kupata nafasi ya kupumua pale Aziz Ki anapofunga. Tuendeleeni kumtukana tuna baraka zote kutoka kwa alie muumba.
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…