Aki-score tu Baba Mobeto watu wanakuja kuufufuq uziπππHuu uzi ni kama ule wa kula tunda komasihala kule MMU. Baada ya game tu lazima wadau walete mrejesho
Tunaendelea tu kufukua makaburi mkuu kama ulivyotabiriMkuu Huwa haujifunzi tu Kwa nyuzi zako za aina hii[emoji848][emoji848][emoji848]??
Mara zote zimekuwa zikikuumbua na ushahidi upo humu jukwaa..
Muda ni mwalimu mzuri tutakuja kufukua hili kaburi
YANI upate depression kwa ajili ya takataka hizi zinazokoment? Ur not serious.MWENYE ID YA HUU UZI ANAWEZA AKAPATA DEPRESSION ASIPOKUWA NA NGOZI NGUMU.
Muda wa kumtia mwasibu wasiwasi. π€£π€£π€£Ulilala kwa mda sasa Uzi umeamka, mhasibu ajiandae