Kihasibu hatuna cha kumdai Mo Dewji, Kanunua timu kwa bilioni 20 na bado anaendelea kuigharamia, tutake nini zaidi wanasimba ?

Kihasibu hatuna cha kumdai Mo Dewji, Kanunua timu kwa bilioni 20 na bado anaendelea kuigharamia, tutake nini zaidi wanasimba ?

gearbox

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2024
Posts
563
Reaction score
1,768
1716310330341.png


Kihasibu Mo Dewji hana anachodaiwa Simba, Ana kila haki ya kuifanya Simba iwe mali yake, Hata kumpa 49 % bado ni ndogo ukilinganisha na jinsi alivyoisaidia Simba.

Licha ya kutumia kiasi cha bilioni 20 kununua umiliki wa timu timu kwa 49 %, bado anaendelea kujitoa mno, anatumia pesa zake kuigharamia timu nje ya bajeti ya timu.

Sioni cha kumdai zaidi ya kumpa maua yake.

Kwa upande wa GSM yeye karidhika kuisaidia Yanga kwa kuitumia imtangazie biashara na kuchukua mgao kwenye faida za jezi.

KWA WALE WANAOTAKA MO AIACHE SIMBA MLIPENI BILIONI 30

  • bilioni 20 gharama alizotumia kununua timu (Purchase cost)
  • bilioni 10 gharama ya kuongezea kwa thamani Brand ya Simba (Goodwill)
 
Kimsingi wote wanaomsema Mo wanatakiwa waombe msamaha
1.Kamleta Benchika first profile coach in afrika.
2.Lakred best gollie in afrika.
3.Inonga best defender (DR national team.
4.Che Malone anapanda na kushuka.
5.Safari za ndege
6.Mishahara minono kwa wachezaji.
7.Bonus Kila mechi
Haya yote hakuna gate collection ingeweza kuyamudu ila Mo kayafanikisha
 
Unamdaije wakati timu ni mali ya familia?.

Wewe tulia kama umemwagiwa maji ya barafu, Simba sio yetu mashabiki.

Mo amenufaika na Simba kibiashara kuliko Simba ilivyonufaika toka kwa Mo
 
Kihasibu Mo Dewji hana anachodaiwa Simba.

Licha ya kumaliza jukumu lake la kuinunua timu kwa umiliki wa asilimia 49 bado anaendelea kuigharamia

Sioni cha kumdai zaidi ya kumpa maua yake.

GSM anaweza akawa ameridhika kuisaidia Yanga kwa kutangaza kampuni yake kwenye jezi na kuchukua mgao kwenye faida za jezi Lakini sioni tatizo kwa MO akifanya vitu hivyo pamoja na kuimiliki timu.

View attachment 2995983
Ndio maana Yanga wanatuita Mbumbumbu, hivi hiyo 2017/18 Mo aliweka hiyo 20B kwenye akaunti yako?, maana a/c ya simba haioneshi hayo malipo na mchakato wa mabadiliko miaka hiyo ulikuwa bado.

Acheni propaganda za kitoto
 
Kimsingi wote wanaomsema Mo wanatakiwa waombe msamaha
1.Kamleta Benchika first profile coach in afrika.
2.Lakred best gollie in afrika.
3.Inonga best defender (DR national team.
4.Che Malone anapanda na kushuka.
5.Safari za ndege
6.Mishahara minono kwa wachezaji.
7.Bonus Kila mechi
Haya yote hakuna gate collection ingeweza kuyamudu ila Mo kayafanikisha
Gharama alizotumia Mo ni kubwa sana hana cha kudaiwa.

Tangu aingie tumeshushudia timu ikifanya mapinduzi makubwa mno hayajawahi kutokea Tanzania
 
Lini Mo alitoa pesa za kununua Simba?
Halafu hizo pesa akapokea nani?

Mo mwenyewe ana kiri kuwa mchakato wa kisheria ndani ya simba haujakamilika hivyo hawezi kutoa pesa za uwekezaji wa 20 bilioni.

Upande wa pili unapaswa ujue, Simba ni brand ambayo Mo anaitumia bureee kutangazia biashara zake.

Mwisho unapaswa kufahamu kuwa, Simba imekuwa ikiingiza pesa nyingi sana hususani kutoka CAF, na pesa zote hizo zinaingia kwanza mfukoni mwa Mo, na yeye ndio anayejua wapi na vipi zimetumika
 
Hakuna muhindi mjinga, na ambaye yuko tayari kupata hasara na kuendelea kupata hasara.
Uwepo wa Mo mpaka leo hii pale Simba ni uthibitisho wa 100% kuwa Mo anavuna pakubwa.
 
Mkuu Mbaga Jr POPOMA aka mgawa kisamvu hapo tegeta ulipopita yupo? Nasikia yupo kwa wabanyankole sahiv anagawa kisamvu kwa bei ghali tofauti na ilivyozoeleka?
 
Lini Mo alitoa pesa za kununua Simba?
Halafu hizo pesa akapokea nani?

Mo mwenyewe ana kiri kuwa mchakato wa kisheria ndani ya simba haujakamilika hivyo hawezi kutoa pesa za uwekezaji wa 20 bilioni.

Upande wa pili unapaswa ujue, Simba ni brand ambayo Mo anaitumia bureee kutangazia biashara zake.

Mwisho unapaswa kufahamu kuwa, Simba imekuwa ikiingiza pesa nyingi sana hususani kutoka CAF, na pesa zote hizo zinaingia kwanza mfukoni mwa Mo, na yeye ndio anayejua wapi na vipi zimetumika
Mo alipopewa timu ndio wachezaji bora zaidi wa kuipeleka Simba Kimataifa walifika, Ukiona Zabibu zipo chini ya mpera ujue kwamba kuna mtu kazileta ?

Pesa alizotumia Mo kuigharamia timu ndio zimeipa simba mafanikio na kukua kwenye brand, ni jitihada za MO.

Huko CAF ni MO ndie anastahili zaidi ku enjoy matunda ya kile alichopanda lakini bado kila msimu anajitoa kutumia pesa zake nje ya mgao wake wa Simba kuigharamia timu, bila yeye Simba ingekuwa inabahatisha kuingia CAF
 
Kama alishasema ameinunua hiyo timu kwa bilioni 20, sioni kama kuna sababu ya kulalamika. Mashabiki wafurahie tu vikombe vya ubingwa.
 
Anataka fedha zake alizotoa kwa hiari Kama bilioni 20+zijumuishwe kwenye mtaji usome bilioni 40+.au hawezekani ziwe mkopo.fuatilia
 
View attachment 2996236

Kihasibu Mo Dewji hana anachodaiwa Simba, Ana kila haki ya kuifanya Simba iwe mali yake, Hata kumpa 49 % bado ni ndogo ukilinganisha na jinsi alivyoisaidia Simba.

Licha ya kutumia kiasi cha bilioni 20 kununua umiliki wa timu timu kwa 49 %, bado anaendelea kujitoa mno, anatumia pesa zake kuigharamia timu nje ya bajeti ya timu.

Sioni cha kumdai zaidi ya kumpa maua yake.

Kwa upande wa GSM yeye karidhika kuisaidia Yanga kwa kuitumia imtangazie biashara na kuchukua mgao kwenye faida za jezi.

KWA WALE WANAOTAKA MO AIACHE SIMBA MLIPENI BILIONI 30

  • bilioni 20 gharama alizotumia kununua timu (Purchase cost)
  • bilioni 10 gharama ya kuongezea kwa thamani Brand ya Simba (Goodwill)
😆😆😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom