Extroverted Introvert
JF-Expert Member
- Aug 18, 2022
- 599
- 1,565
Kwamba kuflop kwa dube kuna mfanya kibu asizungumzweHizo ndio fikra za akili ndogo, kwamba Kibu anampa Dube tiketi ya kuflop
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba kuflop kwa dube kuna mfanya kibu asizungumzweHizo ndio fikra za akili ndogo, kwamba Kibu anampa Dube tiketi ya kuflop
Tangu ligi ianze Striker hana goli lolote na anapewa muda wa kutosha, what is this ?
Kuvunja mkataba wake iligharimu milioni 500, Malipo yake kila mwezi yanafikia milioni 30
Ni bora zaidi Guede angebaki aongezewe mshahara wa milioni 10
sisi mwaka wa 3 huu kibu tupo naye na tunatamba naye hata asipofunga goli. Swali ni je nyie nyuma mwiko mnaweza kumvumilia dube asipofunga misimu mi 3?Kwamba dube kuwa galasa kunafanya kibu asizungumzwe
Mwasibu bora ungejinyamazia tu! Mambo yakigeuka, utakuja tena uukimbie na huu uzi.Kwani mleta mada kasema kuna timu haijawahi kupata hasara?
Dube ni garasa Pro
Unajua kwanini wahenga walisema kunya anye kuku akinya bata kahara? Sababu ni kweli bata kazi ni kuhara tu. Kwa sasa kuku ni Kibu na bata ni Dube.Kwamba dube kuwa galasa kunafanya kibu asizungumzwe
Na anauzwa billion 2 😅Unazungumzia mechi 10 tu Dube? Hebu tuoneshe goli la Kibu D mwaka wa pili huu liko wapi?
Tutamvumilia mbona tunakaa na kina Denis nkane wanakaa mwaka hawajacheza wakina Farid Musa 😅 .. kama nyie mmeweza kumvumilia Kibu na sisi tutaweza mahi dihasisi mwaka wa 3 huu kibu tupo naye na tunatamba naye hata asipofunga goli. Swali ni je nyie nyuma mwiko mnaweza kumvumilia dube asipofunga misimu mi 3?
Waambie hao, Hata mshahara anaopokea Kibu akitokea Mbeya city kama mchezaji huru ulikuwa ulikuwa mdogo kuzidi wa sasa, kapambana sana.sisi mwaka wa 3 huu kibu tupo naye na tunatamba naye hata asipofunga goli. Swali ni je nyie nyuma mwiko mnaweza kumvumilia dube asipofunga misimu mi 3?
Wote bata tu. Hakuna excuse kwa yeyoteUnajua kwanini wahenga walisema kunya anye kuku akinya bata kahara? Sababu ni kweli bata kazi ni kuhara tu. Kwa sasa kuku ni Kibu na bata ni Dube.
Kama nyie mlimvumilia kwanini sisi tusimvumilie.sisi mwaka wa 3 huu kibu tupo naye na tunatamba naye hata asipofunga goli. Swali ni je nyie nyuma mwiko mnaweza kumvumilia dube asipofunga misimu mi 3?
Mwasibu mupya weye...Wengi wanakurupuka kwenye kchaka cha Kibu Dennis,
Kibu alijiunga simba akiwa mchezaji huru, Yanga walivmsajili Dube kwa milioni 500
Kibu yupo kwa miaka mitatu kashafunga sana anavumilika, Dube kashaanza kuonekana mzigo, havumiliki.
Dube anangia Yanga analipwa milioni 30, Kibu kapambana sana hadi kuboreshewa mkataba wa kulipwa mshahara milioni 15 (Nusu ya mshahara wa Dube)
Mali ya bahili huliwa na waduduWengi wanakurupuka kwenye kchaka cha Kibu Dennis,
Kibu alijiunga simba akiwa mchezaji huru, Yanga walivmsajili Dube kwa milioni 500
Kibu yupo kwa miaka mitatu kashafunga sana anavumilika, Dube kashaanza kuonekana mzigo, havumiliki.
Dube anangia Yanga analipwa milioni 30, Kibu kapambana sana hadi kuboreshewa mkataba wa kulipwa mshahara milioni 15 (Nusu ya mshahara wa Dube)
Kuna bata mzinga hapo.Wote bata tu. Hakuna excuse kwa yeyote
Muhasibu kwenye one twoKwani mleta mada kasema kuna timu haijawahi kupata hasara?
Dube ni garasa Pro
Kibu denis winger aliyekaa zaidi ya mwaka bila kufunga ligi kuuKuna bata mzinga hapo.
Mlikuwa mnabwata mkijua mshamroga atofunga Tena,,sasa kafunguliwa na kagonga hat trick ya kwanza ligi kuu,,walete hao wachezaji wako wa magori ya penalty tuoneWengi wanakurupuka kwenye kchaka cha Kibu Dennis,
Kibu alijiunga simba akiwa mchezaji huru, Yanga walivmsajili Dube kwa milioni 500
Kibu yupo kwa miaka mitatu kashafunga sana anavumilika, Dube kashaanza kuonekana mzigo, havumiliki.
Dube anangia Yanga analipwa milioni 30, Kibu kapambana sana hadi kuboreshewa mkataba wa kulipwa mshahara milioni 15 (Nusu ya mshahara wa Dube)
Amefunga 2 kimataifa juzi mkuuKibu denis winger aliyekaa zaidi ya mwaka bila kufunga ligi kuu
Sema shirikishoAmefunga 2 kimataifa juzi mkuu