Kihasibu "Prince Dube" ni LIABILITY, Milioni 500 za kumvunjia mkataba na kumpa milioni 30 kila mwezi ni kipigo kizito kwa Yanga

Kihasibu "Prince Dube" ni LIABILITY, Milioni 500 za kumvunjia mkataba na kumpa milioni 30 kila mwezi ni kipigo kizito kwa Yanga

Basi alimkanda Diara mpaka leo majeruhi.
Kweli Rage alikuwa sahihi
Sasa kipa Diara amefungwa na Kibu tu

Yanga amekufunga mara nne mfululizo kutia ndani kipigo cha mbwa mwizi goli 5

Nenda Magomeni bango lipo
 
Mashindano Bado mechi ngap?
Andika point mkuu, kushinda hizo ambazo hazijachezwa ni kilimo cha makaratasi, mpaka ulime ndo utaona uhalisia. Iandike kwa herufi kubwa.
 
Diara yupo CAFCL
Timu la mambumbumbu lipo lipo shirikisho yaani mashindano ya akina mama
Unaposema shirikisho ni mashindano ya akina mama napata shida na ufikiri wako.

Mwaka juzi tu umetoka huko?hebu tuambie Yanga wamebadili jinsia Au
 
Andika point mkuu, kushinda hizo ambazo hazijachezwa ni kilimo cha makaratasi, mpaka ulime ndo utaona uhalisia. Iandike kwa herufi kubwa.
Kwaiyo Kwa Sasa 5imba anavoongoza ligi ndo bingwa wa 2024-2025🤣
 
Unaposema shirikisho ni mashindano ya akina mama napata shida na ufikiri wako.

Mwaka juzi tu umetoka huko?hebu tuambie Yanga wamebadili jinsia Au
Hayo mashindano ya shirikisho aliyesema ni mashindano ya akina mama ni Mwina Kaduguda Kiongozi pale Simba
Nenda Kamuulize
 
Wengi wanakurupuka kwenye kchaka cha Kibu Dennis,

Kibu alijiunga simba akiwa mchezaji huru, Yanga walivmsajili Dube kwa milioni 500

Kibu yupo kwa miaka mitatu kashafunga sana anavumilika, Dube kashaanza kuonekana mzigo, havumiliki.

Dube anangia Yanga analipwa milioni 30, Kibu kapambana sana hadi kuboreshewa mkataba wa kulipwa mshahara milioni 15 (Nusu ya mshahara wa Dube)
Wajinga ndiyo waliwao
 
Back
Top Bottom