Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Basi alimkanda Diara mpaka leo majeruhi.Sema shirikisho
Kimataifa ni CAFCL
Dube katupia goli la maana CAFCL
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi alimkanda Diara mpaka leo majeruhi.Sema shirikisho
Kimataifa ni CAFCL
Dube katupia goli la maana CAFCL
Kweli Rage alikuwa sahihiBasi alimkanda Diara mpaka leo majeruhi.
Diara yupo CAFCL
Timu la mambumbumbu lipo lipo shirikisho yaani mashindano ya akina mama
Mna point ngapi? Tukumbushe. Iandike kwa herufi kubwa.Diara yupo CAFCL
Timu la mambumbumbu lipo lipo shirikisho yaani mashindano ya akina mama
Mashindano Bado mechi ngap?Mna point ngapi? Tukumbushe. Iandike kwa herufi kubwa.
Andika point mkuu, kushinda hizo ambazo hazijachezwa ni kilimo cha makaratasi, mpaka ulime ndo utaona uhalisia. Iandike kwa herufi kubwa.Mashindano Bado mechi ngap?
Unaposema shirikisho ni mashindano ya akina mama napata shida na ufikiri wako.Diara yupo CAFCL
Timu la mambumbumbu lipo lipo shirikisho yaani mashindano ya akina mama
Kwaiyo Kwa Sasa 5imba anavoongoza ligi ndo bingwa wa 2024-2025🤣Andika point mkuu, kushinda hizo ambazo hazijachezwa ni kilimo cha makaratasi, mpaka ulime ndo utaona uhalisia. Iandike kwa herufi kubwa.
Hayo mashindano ya shirikisho aliyesema ni mashindano ya akina mama ni Mwina Kaduguda Kiongozi pale SimbaUnaposema shirikisho ni mashindano ya akina mama napata shida na ufikiri wako.
Mwaka juzi tu umetoka huko?hebu tuambie Yanga wamebadili jinsia Au
Sasa wewe ni mke wa Kaduguda Au Ndio kaduguda mwenyewe?Hayo mashindano ya shirikisho aliyesema ni mashindano ya akina mama ni Mwina Kaduguda Kiongozi pale Simba
Nenda Kamuulize
Kwaiyo Kaduguda unamwogopa kumuilizaSasa wewe ni mke wa Kaduguda Au Ndio kaduguda mwenyewe?
Andika kwa herufi kubwa mkuu.Kwaiyo Kwa Sasa 5imba anavoongoza ligi ndo bingwa wa 2024-2025🤣
Pole mtaniAndika kwa herufi kubwa mkuu.
Wajinga ndiyo waliwaoWengi wanakurupuka kwenye kchaka cha Kibu Dennis,
Kibu alijiunga simba akiwa mchezaji huru, Yanga walivmsajili Dube kwa milioni 500
Kibu yupo kwa miaka mitatu kashafunga sana anavumilika, Dube kashaanza kuonekana mzigo, havumiliki.
Dube anangia Yanga analipwa milioni 30, Kibu kapambana sana hadi kuboreshewa mkataba wa kulipwa mshahara milioni 15 (Nusu ya mshahara wa Dube)