kisokolokwinyo20
JF-Expert Member
- Apr 15, 2019
- 472
- 423
- Thread starter
- #61
[emoji56][emoji1787][emoji1787]Mimi nimeenda kununua nyama ya ng'ombe nikafungashiwa kwenye makasha ya majani ya migomba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji56][emoji1787][emoji1787]Mimi nimeenda kununua nyama ya ng'ombe nikafungashiwa kwenye makasha ya majani ya migomba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
motion sicknessNi ugonjwa!!! Unaitwa Movement disorder
Wenye migomba anza dili haraka hapo ndo kwenyewe. Majani yale ya chini Ebyai, na majani mabichi embabi. wenzenu wa Asia ndo mwendo wao kwanini sisi tusiige? Vijijini kwetu tulikuwa tunafanya hivyo mpaka walipoleta haya ma plastick ambayo yameua mpaka mifugo yetu. Let us go back to our roots.Hili katazo La mifuko Ya Plastic(Rambo) litatuua, nmenunua chapati wamenifungia na rababend[emoji2948]
They think only of their popularity. Wanasahau Ulaya kuna plastic bags lakin huzioni barabarani. kila kitu kinakwenda kwa mpango. Plastic bags kwenye container yake, chupa za plastic kwenye container yake, chupa za glass peke yake, karatasi, peke yake na siyo kwamba unapenda ni lazima usipofanya hivyo ni faini na watu wanafanya kila siku. Sisi tutashindwaje? Haya hao wajawazito watatapikia wapi na watu wanaopanda ndege na wanatapika watapewa ndoo? Bongo lala.Viongozi wetu ni hovyo kabisa. Kwa nini hawapangi mambo? Unajua mtu anapoamka kutoka kwenye usingizi halafu anakurupuka na kusema kuanzia ........ (akitaja tarehe za karibuni), hakuna kutumia bidhaa fulani ni uhuni na ujinga usiopimika. Kwa nini wasitoe muda watu wakajindaa na wale wenye stock walizonunua kihalali wakamaliza? Bado wanarudia tena yale makosa ya kupiga marufuku viroba yaliyosababisha mpaka watu wengine wajiue kwa kupata hasara. Ni kweli mifuko ya plastic ni mibaya kwa mazingira au viroba vilikuwa vibaya kwa afya za watu lakini wanashindwa nini kutoa muda ili watu wajipange na wale wafanyabiasha waliokuwa wamenunua stock kubwa kwa kuuza wamalize? This African rulers think about their stomatch and their families only!
hilo la muhimu sana mkuuNitaanza kutembea na food containers
ukitaka epuka hiyo hali,kimbilio lako liwe Tangawizi unaposafiri hakikisha una kipande cha tangawizi mbichi uwe unatafuna Hutoskia kichefu chefu mpk unafika utafika salama salmini.Yaan kama Mimi ni mhanga huwa nikipanda gari liwe kubwa au dogo, iwe bajaji yaan ni tabu tu ..nikishapanda sikai dakika tano kabla mambo hayajaharibika...nikisikia kusafiri tu naanza kuchefukwa , sitamani kabisa safari. Hii mifuko ndiyo mkombozi.
Tafuna tangawizi ifanye iwe kama pipi unapokua unasafiri..kutapika utakusikia tu kwa wengine.Nitaanza kutembea na food containers
Dah ahsante kwa ushauri mkuu....nitaufanyia kaziukitaka epuka hiyo hali,kimbilio lako liwe Tangawizi unaposafiri hakikisha una kipande cha tangawizi mbichi uwe unatafuna Hutoskia kichefu chefu mpk unafika utafika salama salmini.
Wengine wanasema ukalie gazeti na kunusa kikwapa chako mwenyeweukitaka epuka hiyo hali,kimbilio lako liwe Tangawizi unaposafiri hakikisha una kipande cha tangawizi mbichi uwe unatafuna Hutoskia kichefu chefu mpk unafika utafika salama salmini.
UbunifuHili katazo La mifuko Ya Plastic(Rambo) litatuua, nmenunua chapati wamenifungia na rababend[emoji2948]