KIHOJA. Mifuko Ya Plastiki Na mbadala Wake

KIHOJA. Mifuko Ya Plastiki Na mbadala Wake

Wewe ulifanyaje had likapungua kiasi hicho?
Tatizo lilipungua lenyewe baada ya kuwa napanda magari mara kwa mara. Nilivyoanza kuishi Dar karibu kila siku napanda daladala nikazoea sasa hivi siisikii tena hiyo hali, sasa hivi hata nikiwa na safari ya mbali kutapika labda nifanye uzembe tu mwenyewe na mara ya mwisho kutapika ilikuwa 2011
 
Viongozi wetu ni hovyo kabisa. Kwa nini hawapangi mambo? Unajua mtu anapoamka kutoka kwenye usingizi halafu anakurupuka na kusema kuanzia ........ (akitaja tarehe za karibuni), hakuna kutumia bidhaa fulani ni uhuni na ujinga usiopimika. Kwa nini wasitoe muda watu wakajindaa na wale wenye stock walizonunua kihalali wakamaliza? Bado wanarudia tena yale makosa ya kupiga marufuku viroba yaliyosababisha mpaka watu wengine wajiue kwa kupata hasara. Ni kweli mifuko ya plastic ni mibaya kwa mazingira au viroba vilikuwa vibaya kwa afya za watu lakini wanashindwa nini kutoa muda ili watu wajipange na wale wafanyabiasha waliokuwa wamenunua stock kubwa kwa kuuza wamalize? This African rulers think about their stomatch and their families only!
Acha kukurupuka, ujuaji mwingi mbele giza
 
Tatizo lilipungua lenyewe baada ya kuwa napanda magari mara kwa mara. Nilivyoanza kuishi Dar karibu kila siku napanda daladala nikazoea sasa hivi siisikii tena hiyo hali, sasa hivi hata nikiwa na safari ya mbali kutapika labda nifanye uzembe tu mwenyewe na mara ya mwisho kutapika ilikuwa 2011
Dah hongera ...Mimi nikiwa chuo nilikuwa nimepanga mbali na chuo ilikuwa mateso kila siku majanga ikabid nihamie tu karibu na chuo
 
Dah hongera ...Mimi nikiwa chuo nilikuwa nimepanga mbali na chuo ilikuwa mateso kila siku majanga ikabid nihamie tu karibu na chuo
Aisee pole, dada yangu pia ana tatizo hili na kila siku anapanda daladala
 
Ni kihoja ama ulikuwa na maana ya kiroja/kioja? Mweeee!!?!
 
Wazuie tu mifuko tutakuwa tunabebea kwenye kondom ili nazo waje wazipige marufuku
 
Mimi nimeenda kununua nyama ya ng'ombe nikafungashiwa kwenye makasha ya majani ya migomba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom