Kihongosi asema tatizo la Migogoro ya Ardhi kwa wakulima na wafugaji limepungua Nchini

Kihongosi asema tatizo la Migogoro ya Ardhi kwa wakulima na wafugaji limepungua Nchini

Political Jurist

Senior Member
Joined
Sep 6, 2021
Posts
143
Reaction score
120
ZIARA TUNDURU

Kihongosi asema tatizo la Migogoro ya Ardhi kwa wakulima na wafugaji limepungua Nchini.

Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa Ndugu Kenani Laban Kihongosi (MNEC) amesema tatizo la Migogoro ya Ardhi Sasa limepungua kwa Kasi hivyo niwaombe wananchi wenzangu wale wafugaji ambao wanavamia maeneo ya watu basi waache tabia hiyo maana inapelekea kuleta Migogoro mikubwa ndani ya Wilaya zetu.

Akizungumza leo na Mabalozi pamoja na wananchi walioshiriki katika Mkutano wa shina namba moja Wilayani Tunduru Mkoani Ruvuma Kihongosi amesema kila mwananchi anawajibu wa kuishi kwa amani na utulivu katika maeneo yake,niwaambie Serikali ya awamu ya Sita chini ya Mh.Rais Samia Suluhu Hassani ipo makini kuhakikisha inatatua Migogoro yote Nchini na kwa wakati.

" Niwaombe wananchi wa Wilaya ya Tunduru pamoja na Tanzania kwa Ujumla kuendelea kuunga juhudi za Serikali ya awamu ya Sita ambazo zinafanya Kazi kwa kuhakikisha Migogoro inaisha katika maeneo yetu na mnapata huduma nzuri na Maendeleo yakuwa katika maeneo yetu

Pia Kihongosi amesisitiza watendaji wa Vijiji kuwa waadilifu katika maeneo Yao na kusimamia haki ili waweze kuwahudumia wananchi wote kwa usawa

Aidha Kenani amewaomba wananchi wa Ruvuma kuendelea kukiamini Chama Cha Mapinduzi kinavyofanya kazi kubwa ya kutekeleza Ilani yake kikamilifu katika kila sehemu ya Nchi yetu pia kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ameyasema hayo ikiwa ni mwendelezo wa ziara ya Katibu Mkuu wa CCM Komred Daniel Chongolo

KAZIIENDELEE
MTUMISHIWAWOTE

IMG-20210920-WA0588.jpg
IMG-20210920-WA0585.jpg


IMG-20210920-WA0588.jpg
IMG-20210920-WA0585.jpg
 
ZIARA TUNDURU

Katibu Mkuu wa UVCCM Ndugu. Kenani Kihongosi asema tatizo la Migogoro ya Ardhi kwa wakulima na wafugaji limepungua Nchini.

Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa Ndugu Kenani Laban Kihongosi (MNEC) amesema tatizo la Migogoro ya Ardhi Sasa limepungua kwa Kasi hivyo niwaombe wananchi wenzangu wale wafugaji ambao wanavamia maeneo ya watu basi waache tabia hiyo maana inapelekea kuleta Migogoro mikubwa ndani ya Wilaya zetu.

Akizungumza leo na Mabalozi pamoja na wananchi walioshiriki katika Mkutano wa shina namba moja Wilayani Tunduru Mkoani Ruvuma Kihongosi amesema kila mwananchi anawajibu wa kuishi kwa amani na utulivu katika maeneo yake,niwaambie Serikali ya awamu ya Sita chini ya Mh.Rais Samia Suluhu Hassani ipo makini kuhakikisha inatatua Migogoro yote Nchini na kwa wakati.

"Niwaombe wananchi wa Wilaya ya Tunduru pamoja na Tanzania kwa Ujumla kuendelea kuunga juhudi za Serikali ya awamu ya Sita ambazo zinafanya Kazi kwa kuhakikisha Migogoro inaisha katika maeneo yetu na mnapata huduma nzuri na Maendeleo yakuwa katika maeneo yetu

Pia Kihongosi amesisitiza watendaji wa Vijiji kuwa waadilifu katika maeneo Yao na kusimamia haki ili waweze kuwahudumia wananchi wote kwa usawa

Aidha Kenani amewaomba wananchi wa Ruvuma kuendelea kukiamini Chama Cha Mapinduzi kinavyofanya kazi kubwa ya kutekeleza Ilani yake kikamilifu katika kila sehemu ya Nchi yetu pia kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ameyasema hayo ikiwa ni mwendelezo wa ziara ya Katibu Mkuu wa CCM Komred Daniel Chongolo.

#KaziIendelee
#mtumishiwawote🙏

IMG-20210917-WA0009.jpg


IMG-20210917-WA0010.jpg


IMG-20210917-WA0012.jpg
 
Ni vema kabisa kinachofanywa na CCM na wanapongezwa kwa kufika mashinani. Kama chama cha siasa ndio uhai hasa wa chama chenyewe.

Changamoto ni je - kwanini wengine wanazuiwa hata kufanya mikutano ya ndani?? Jambo hili linatia doa siasa zetu na ingekuwa busara hata CCM kutofanya mikutano hii ambayo wengine wamezuiwa kwa sababu ya corona.
 
Back
Top Bottom