Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Hahahhaaa...Yeye ana shida na ndo hiyo.
Na anatengeneza hela na hiyo hiyo garaaaaah whaaaaaa?
Garaaaah Nyokoooooko.
Mhhhh!Si unamuelewa lakini??
Ukiona inakukera basi jua haikua kwa ajili yako mkuu, labda kuna watu amewakusudia na wanapenza icho kingereza chake.
Kwa kweli, lakini aache maigizo.Ashukuru hata hapo alipofikia na kammwe asiwadharau WEMA NA ZARI KWA KUMFUNDISHA KITHUNGU
Weeee baaaana wewe.Sawa, lakini sio kwa kizungu kile.
Unaujua Unyanwezi weweUkisikia "kizungu-chefu chefu" ndio cha huyu Bwana mdogo nguli wa bongo fleva.
Huyu Bwana mdogo wa Tandale sijui katoa wapi hii kizungu ya kimarekani? Sijui ndio kuwa NIGGA? — Bado sijamuelewa vizuri.
You garrah gooh... i garrah duuh, i garrah fyoko, yoooo ma nigga, i garrah nyokooh!
Wajameni, kwani hivi hawezi kuongea kizungu cha Kiswahili? I mean, Kizungu chenye lafudhi asili ya mtu mswahili!
Mbona wakenya wanaongea kizungu chenye lafudhi ya Gikuyu! Ama wahindi pia huongea lafudhi ya kihindi.
Huwezi kuta muhindi anaongea hizo "I garraah garraah .... sijui nini nini!
Zungumza lafudhi uliyozaliwa nayo ndugu. Utaheshimika tu.
Sasa haya maigizo ya "i garrah go" yanatoka wapi? "
"Yooooh ma Niggah, you garraah Niggah"
Ndo nini sasa?
Maskini hajawahi kumpenda tajiri, sasa ww na Diamond mnafanana kwa kipi, umepanga chumba kama stoo unamwongelea mtu level nyingine kabisa badala ya kupambana na maisha yako, unaweza kukuta nusu mwaka imepita hujapiga hatua yoyote kazi kudiscuss maisha ya wengineUkisikia "kizungu-chefu chefu" ndio cha huyu Bwana mdogo nguli wa bongo fleva.
Huyu Bwana mdogo wa Tandale sijui katoa wapi hii kizungu ya kimarekani? Sijui ndio kuwa NIGGA? — Bado sijamuelewa vizuri.
You garrah gooh... i garrah duuh, i garrah fyoko, yoooo ma nigga, i garrah nyokooh!
Wajameni, kwani hivi hawezi kuongea kizungu cha Kiswahili? I mean, Kizungu chenye lafudhi asili ya mtu mswahili!
Mbona wakenya wanaongea kizungu chenye lafudhi ya Gikuyu! Ama wahindi pia huongea lafudhi ya kihindi.
Huwezi kuta muhindi anaongea hizo "I garraah garraah .... sijui nini nini!
Zungumza lafudhi uliyozaliwa nayo ndugu. Utaheshimika tu.
Sasa haya maigizo ya "i garrah go" yanatoka wapi? "
"Yooooh ma Niggah, you garraah Niggah"
Ndo nini sasa?
kawaharibu hadi watangazaji wake...." U no wara amin"....u no wara amsaing"Ukisikia "kizungu-chefu chefu" ndio cha huyu Bwana mdogo nguli wa bongo fleva.
Huyu Bwana mdogo wa Tandale sijui katoa wapi hii kizungu ya kimarekani? Sijui ndio kuwa NIGGA? — Bado sijamuelewa vizuri.
You garrah gooh... i garrah duuh, i garrah fyoko, yoooo ma nigga, i garrah nyokooh!
Wajameni, kwani hivi hawezi kuongea kizungu cha Kiswahili? I mean, Kizungu chenye lafudhi asili ya mtu mswahili!
Mbona wakenya wanaongea kizungu chenye lafudhi ya Gikuyu! Ama wahindi pia huongea lafudhi ya kihindi.
Huwezi kuta muhindi anaongea hizo "I garraah garraah .... sijui nini nini!
Zungumza lafudhi uliyozaliwa nayo ndugu. Utaheshimika tu.
Sasa haya maigizo ya "i garrah go" yanatoka wapi? "
"Yooooh ma Niggah, you garraah Niggah"
Ndo nini sasa?
Sio ajabu,hata la saba hakumaliza,wewe unayejua kizungu una mchango gani kwenye jamii?Mond asiyejua kizungu kuwa na billioni 10 kwenye akaunti ni kitu Cha kawaida.Ukisikia "kizungu-chefu chefu" ndio cha huyu Bwana mdogo nguli wa bongo fleva.
Huyu Bwana mdogo wa Tandale sijui katoa wapi hii kizungu ya kimarekani? Sijui ndio kuwa NIGGA? — Bado sijamuelewa vizuri.
You garrah gooh... i garrah duuh, i garrah fyoko, yoooo ma nigga, i garrah nyokooh!
Wajameni, kwani hivi hawezi kuongea kizungu cha Kiswahili? I mean, Kizungu chenye lafudhi asili ya mtu mswahili!
Mbona wakenya wanaongea kizungu chenye lafudhi ya Gikuyu! Ama wahindi pia huongea lafudhi ya kihindi.
Huwezi kuta muhindi anaongea hizo "I garraah garraah .... sijui nini nini!
Zungumza lafudhi uliyozaliwa nayo ndugu. Utaheshimika tu.
Sasa haya maigizo ya "i garrah go" yanatoka wapi? "
"Yooooh ma Niggah, you garraah Niggah"
Ndo nini sasa?
Wema sepetu ndo mwl wakeKwenda Marekani kwenye zile tuzo za grammy mara kadhaa kumemsaidia akajua kizungu, mtamkoma.
Davido ni mzaliwa wa Atlanta hata akiongea you garahhhh yake imepigwa Colgate OG. Kinaija anakitumia kupiga pesa tu.Ni kama watoto wa Bob Marley wanatumia kijamaica kupiga pesa wakati rafudhi yao OG ni ya Marekani.Kwa kweli anatakiwa kuwa real, kila mtu anajua yeye ni mtanzania, halafu kuongea slang ya kimarekani wala sio maendeo ya kimuziki au kigezo cha kukufanya uonekane matawi ya juu sana saaana ni ushamba!
Davido, Wizkid, Burna Boy, mbona wanagonga kinaija safi tu na wanatrend sana mbele huko?
Balance ya billioni kumi after deductions he garahhhhhh 2muchhh money yeah niggaaaaa.Sio ajabu,hata la saba hakumaliza,wewe unayejua kizungu una mchango gani kwenye jamii?Mond asiyejua kizungu kuwa na billioni 10 kwenye akaunti ni kitu Cha kawaida.
Waafrika tumelogwa kweli,yaani mkwanja wote alionao Mond,unamuona sio chochote kwa vile tu,hajuhi kizungu?