Kiingereza cha Diamond ni "chefu chefu"

Kiingereza cha Diamond ni "chefu chefu"

Ukisikia "kizungu-chefu chefu" ndio cha huyu Bwana mdogo nguli wa bongo fleva.

Huyu Bwana mdogo wa Tandale sijui katoa wapi hii kizungu ya kimarekani? Sijui ndio kuwa NIGGA? — Bado sijamuelewa vizuri.

You garrah gooh... i garrah duuh, i garrah fyoko, yoooo ma nigga, i garrah nyokooh!

Wajameni, kwani hivi hawezi kuongea kizungu cha Kiswahili? I mean, Kizungu chenye lafudhi asili ya mtu mswahili!

Mbona wakenya wanaongea kizungu chenye lafudhi ya Gikuyu! Ama wahindi pia huongea lafudhi ya kihindi.

Huwezi kuta muhindi anaongea hizo "I garraah garraah .... sijui nini nini!

Zungumza lafudhi uliyozaliwa nayo ndugu. Utaheshimika tu.

Sasa haya maigizo ya "i garrah go" yanatoka wapi? "

"Yooooh ma Niggah, you garraah Niggah"

Ndo nini sasa?

"i garrah fyoko, yoooo ma nigga, i garrah nyokooh!" 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sikilizeni nyie mbuzi mwitu, hyo ni lugha ya kisanii , jamaa kaishia form four sjui form two lakni anajitahd kuitendea Haki tasnia yake , kuna undergraduate kibao tuu wakikutana na snoopy Dogg lazima wachore , ...... Ni kweli jamaa kingereza ni cha kuunga unga hata hvyo anajitahd kuliko kunyamaza kimya .....

Alaf we mtoa mada ni expert kwenye fluent English au na wewe ni mabonde kuinama a.k.a Sura ya kushindia makande
 
Kwa kweli anatakiwa kuwa real, kila mtu anajua yeye ni mtanzania, halafu kuongea slang ya kimarekani wala sio maendeo ya kimuziki au kigezo cha kukufanya uonekane matawi ya juu sana saaana ni ushamba!
Davido, Wizkid, Burna Boy, mbona wanagonga kinaija safi tu na wanatrend sana mbele huko?
 
Kwa kweli anatakiwa kuwa real, kila mtu anajua yeye ni mtanzania, halafu kuongea slang ya kimarekani wala sio maendeo ya kimuziki au kigezo cha kukufanya uonekane matawi ya juu sana saaana ni ushamba!
Davido, Wizkid, Burna Boy, mbona wanagonga kinaija safi tu na wanatrend sana mbele huko?
Mi huwa simuelewi kabisa.

Nikisikia anaongea zile Garaah Garrah zake nabaki kuhamaki tu.

Mswahili wa Tandale vipi kujitia uniggah uchwara?
 
[emoji23][emoji23][emoji23] umeua mkuu ila the thing is sometimes you have to blend in, army personnels call it "flexibility". You ought to dance according to the tune sasa ukiongea kiiengereza kile cha Ras simba au kile cha kwenye Things Fall Apart, No Longer At Ease, I'll Marry when I want, Is It Possible, Three Suitors One Husband etc. Mbele ya wanyama kina Quavo, Lil Baby, sijui Lil Yachty etc. Itakua noma [emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] umeua mkuu ila the thing is sometimes you have to blend in, army personnels call it "flexibility". You ought to dance according to the tune sasa ukiongea kiiengereza kile cha Ras simba au kile cha kwenye Things Fall Apart, No Longer At Ease, I'll Marry when I want, Is It Possible, Three Suitors One Husband etc. Mbele ya wanyama kina Quavo, Lil Baby, sijui Lil Yachty etc. Itakua noma [emoji23][emoji23][emoji23]
Mi naona akijilazimisha vizungu vya Kuigiza ndo wanamdharau zaidi.

Mbona wenzake akina Davido wanaongea vizungu vya kinaijeria na wanaheshimika tu! — Tena ile Pidgin ya Kinaijeria ya hovyo kweli.

Sijawahi kusikia akina Davido wanaongea namna ile ya Bwana yule wa Tandale.

"Watsapp Nigga... Yoooo..."

Huku English yenyewe broken, unaonekana pimbi tu.
 
Mi huwa simuelewi kabisa.

Nikisikia anaongea zile Garaah Garrah zake nabaki kuhamaki tu.

Mswahili wa Tandale vipi kujitia uniggah uchwara?
Kwani anaongeaga na wewe,we ni mswahili akitaka kuwasiliana nawe atasema Kiswahili.halafu hata kama akikosea wenye lugha yao si wanamwelewa.halafu maoni mengine yamejificha ktk wivu mbona wazungu wanaokinyonga kiswahili hamuwasemi? Badala yake mnawasifu vivo hivyo na hao wenye lugha yao wanamwona ni mtu anaejitahidi na wanamwelewa kama sisi tunavyowaelewa wanapokosea
 
Kwani anaongeaga na wewe,we ni mswahili akitaka kuwasiliana nawe atasema Kiswahili.halafu hata kama akikosea wenye lugha yao si wanamwelewa.halafu maoni mengine yamejificha ktk wivu mbona wazungu wanaokinyonga kiswahili hamuwasemi? Badala yake mnawasifu vivo hivyo na hao wenye lugha yao wanamwona ni mtu anaejitahidi na wanamwelewa kama sisi tunavyowaelewa wanapokosea
Hata kama.
 
Mimi sina shida na vizungu. Nilishabukua nikapata A plus kutoka Kindergarten mpaka vyuo vikuu vya kimataifa.

Kwahiyo ung'eng'e naucharaza kama Kinanda na lafudhi yangu hii ya Kikerewe.

Shida yangu ni hizi I GORRAH DO, I GARRAH sijui nini...

Ndo nini yaanii??
Wewe endelea kukereheka na gorrah + garrah lakini Sadala anazidi kupaa kimafanikio, kama hiyo lafudhi yako ya Kikerewe ndiyo inakuletea mkate mezani na wewe ikazanie hiyo hiyo.
Goodness kukereheka kwako hakumpi usumbufu wa aina yoyote, dogo Sadala katokea hali ya chini sana, Uswazi na hana elimu ila kinachompaisha ni mpambanaji na vijibwa vinavyobweka pembeni havimpotezi focus yake.
 
Mimi sina shida na vizungu. Nilishabukua nikapata A plus kutoka Kindergarten mpaka vyuo vikuu vya kimataifa.

Kwahiyo ung'eng'e naucharaza kama Kinanda na lafudhi yangu hii ya Kikerewe.

Shida yangu ni hizi I GORRAH DO, I GARRAH sijui nini...

Ndo nini yaanii??
Yeye ana shida na ndo hiyo.

Na anatengeneza hela na hiyo hiyo garaaaaah whaaaaaa?
Garaaaah Nyokoooooko.
 
Ukisikia "kizungu-chefu chefu" ndio cha huyu Bwana mdogo nguli wa bongo fleva.

Huyu Bwana mdogo wa Tandale sijui katoa wapi hii kizungu ya kimarekani? Sijui ndio kuwa NIGGA? — Bado sijamuelewa vizuri.

You garrah gooh... i garrah duuh, i garrah fyoko, yoooo ma nigga, i garrah nyokooh!

Wajameni, kwani hivi hawezi kuongea kizungu cha Kiswahili? I mean, Kizungu chenye lafudhi asili ya mtu mswahili!

Mbona wakenya wanaongea kizungu chenye lafudhi ya Gikuyu! Ama wahindi pia huongea lafudhi ya kihindi.

Huwezi kuta muhindi anaongea hizo "I garraah garraah .... sijui nini nini!

Zungumza lafudhi uliyozaliwa nayo ndugu. Utaheshimika tu.

Sasa haya maigizo ya "i garrah go" yanatoka wapi? "

"Yooooh ma Niggah, you garraah Niggah"

Ndo nini sasa?
Ashukuru hata hapo alipofikia na kammwe asiwadharau WEMA NA ZARI KWA KUMFUNDISHA KITHUNGU
 
Back
Top Bottom