Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asanteni sana Nyani na LUSAJO Kwa ushaur wenu mzuri ntatekeleza kama mlivyo nielekeza naamini ntawezaTafuta mtu au watu utakaoweza kufanya nao mazoezi. Mazoezi ya kuongea na hata kuandika. Pia, jenga utamaduni wa kusoma kamusi -
Poa itakuwa vizuri sana nipeNitakupa namba yangu uwe unanipigia simu tunaongea kikristo throughout.
British council? iko maeneo ganNenda british council kasome pale wakujenge kwanza. Pale watakupa mtihan kupima levo yako. Amini usiamin pale ni mahali sahihi kama unataka kufaham kwa ufasaha lugha.
British council? iko maeneo gan
Anza kunywa pombe utajikuta unaongea 2 kidhungu
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Anza kunywa pombe utajikuta unaongea 2 kidhungu
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Aisee!Nitakupa namba yangu uwe unanipigia simu tunaongea kikristo throughout.
Valuer zile za pakti ndogo ndogo zinazalisha kiingereza safi sana hasa wakati wa presentation.pombe haina gani,na mimi nianze kuongea kizungu? komoni,mbege,wanzuki,kestro lite,serengeti,konyaki,gongo?
Valuer zile za pakti ndogo ndogo zinazalisha kiingereza safi sana hasa wakati wa presentation.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Nenda british council kasome pale wakujenge kwanza. Pale watakupa mtihan kupima levo yako. Amini usiamin pale ni mahali sahihi kama unataka kufaham kwa ufasaha lugha.
Samora, opposite ubalozi wa Somalia