Cherenganya
JF-Expert Member
- Jan 21, 2018
- 2,309
- 1,785
Mkuu Kiranga, inawezekana hujasikiliza hicho kipindi cha asubuhi cha magic fm - "Kupaka Rangi.." Kama unaweza ebu ckliza kwanza afu ulete mrejesho. Ni kipindi kizuri, kinakuwa na watangazaji 3 au 4 kwa wakati mmoja, ila kinachafuliwa na huyo jamaa kwa kuingiza kiingereza kibovu sana mara kwa mara. Baadhi yao kama Mr Dachi ni makini kwenye uchambuzi wa mambo, hivyo siyo vzr wasikilizaji kulazimika kuachana na kipindi sababu ya mmoja
Huyu jamaa kweli ni mwendeshaji mzuri wa kipindi cha Morning Magic akiwa na wenzake akina Kibwana Dachi Mkambala, na Mary Edward.
Tatizo lake ni kuongea maneno ya Kingereza kila baada ya sentensi mbili za Kiswahili. Hivi mbona wenzetu Wazungu wakiwa kwenye vipindi huwa hatusikii sentensi za lugha nyingine?
Sio kwamba hawajui lugha nyingine. Ila hawa watangazaji wa Kitanzania hadi kero. Mpe kipindi cha Kingereza uone wanavyochapia.
Huyo ndiyo shemeji yako anaitwa Mackline MdoeKuna dada alikuwa magic anaitwa somebody Mdoe alikuwa kama misss flani hivi,bado yupo? Pia alikuwa na vipindi channel 10 akiwa na Raph B Sijaona na Nick Ngonyani.
Hell Yeah ni Mackline sijamuona/Sijamsikia kitambo sana,yupo wapi kwa sasa?Huyo ndiyo shemeji yako anaitwa Mackline Mdoe
Asubuhi naangalia CNN, MSNBC, BBC World Service, PBS, nasoma The New York Times, The Wall Street Journal, The Washington Post.Mkuu Kiranga, inawezekana hujasikiliza hicho kipindi cha asubuhi cha magic fm - "Kupaka Rangi.." Kama unaweza ebu ckliza kwanza afu ulete mrejesho. Ni kipindi kizuri, kinakuwa na watangazaji 3 au 4 kwa wakati mmoja, ila kinachafuliwa na huyo jamaa kwa kuingiza kiingereza kibovu sana mara kwa mara. Baadhi yao kama Mr Dachi ni makini kwenye uchambuzi wa mambo, hivyo siyo vzr wasikilizaji kulazimika kuachana na kipindi sababu ya mmoja
Unazidi kuumiza mtima wanguHell Yeah ni Mackline sijamuona/Sijamsikia kitambo sana,yupo wapi kwa sasa?
View attachment 811896 View attachment 811897
Mackline Mdoe..very beautiful..aliolewa ameachana na ufyolo wa media..ana biashara zake hapo hapo mjini Daslam!Kuna dada alikuwa magic anaitwa somebody Mdoe alikuwa kama misss flani hivi,bado yupo? Pia alikuwa na vipindi channel 10 akiwa na Raph B Sijaona na Nick Ngonyani.
Anayechafua kipindi Ni Mkambala much know nyingi kumbe ugolo mtupuMkuu Kiranga, inawezekana hujasikiliza hicho kipindi cha asubuhi cha magic fm - "Kupaka Rangi.." Kama unaweza ebu ckliza kwanza afu ulete mrejesho. Ni kipindi kizuri, kinakuwa na watangazaji 3 au 4 kwa wakati mmoja, ila kinachafuliwa na huyo jamaa kwa kuingiza kiingereza kibovu sana mara kwa mara. Baadhi yao kama Mr Dachi ni makini kwenye uchambuzi wa mambo, hivyo siyo vzr wasikilizaji kulazimika kuachana na kipindi sababu ya mmoja