Kiingereza cha Orest Kawau wa Magic FM

Kiingereza cha Orest Kawau wa Magic FM

Mkuu Kiranga, inawezekana hujasikiliza hicho kipindi cha asubuhi cha magic fm - "Kupaka Rangi.." Kama unaweza ebu ckliza kwanza afu ulete mrejesho. Ni kipindi kizuri, kinakuwa na watangazaji 3 au 4 kwa wakati mmoja, ila kinachafuliwa na huyo jamaa kwa kuingiza kiingereza kibovu sana mara kwa mara. Baadhi yao kama Mr Dachi ni makini kwenye uchambuzi wa mambo, hivyo siyo vzr wasikilizaji kulazimika kuachana na kipindi sababu ya mmoja

Mkuu mimi na wewe tunazungumza lugha moja, kuanzia leo tuanzishe ushemeji
 
Huyu jamaa kweli ni mwendeshaji mzuri wa kipindi cha Morning Magic akiwa na wenzake akina Kibwana Dachi Mkambala, na Mary Edward.

Tatizo lake ni kuongea maneno ya Kingereza kila baada ya sentensi mbili za Kiswahili. Hivi mbona wenzetu Wazungu wakiwa kwenye vipindi huwa hatusikii sentensi za lugha nyingine?

Sio kwamba hawajui lugha nyingine. Ila hawa watangazaji wa Kitanzania hadi kero. Mpe kipindi cha Kingereza uone wanavyochapia.

Kiingereza chenyewe hajui. Anakeraaaa! Mtu umakini pale ni Kibwana basi.
 
Huyo ndiyo shemeji yako anaitwa Mackline Mdoe
Hell Yeah ni Mackline sijamuona/Sijamsikia kitambo sana,yupo wapi kwa sasa?
MACKLINE_MD0E.jpg
MACKLINE_MDOE.jpg
 
Mkuu Kiranga, inawezekana hujasikiliza hicho kipindi cha asubuhi cha magic fm - "Kupaka Rangi.." Kama unaweza ebu ckliza kwanza afu ulete mrejesho. Ni kipindi kizuri, kinakuwa na watangazaji 3 au 4 kwa wakati mmoja, ila kinachafuliwa na huyo jamaa kwa kuingiza kiingereza kibovu sana mara kwa mara. Baadhi yao kama Mr Dachi ni makini kwenye uchambuzi wa mambo, hivyo siyo vzr wasikilizaji kulazimika kuachana na kipindi sababu ya mmoja
Asubuhi naangalia CNN, MSNBC, BBC World Service, PBS, nasoma The New York Times, The Wall Street Journal, The Washington Post.

Kwa sababu sitaki Kiingereza cha mayai viza.

Sasa huko kwenye Kiingereza cha mayai viza nisiyoyataka, ushaniambia kuna mayai viza, niende kutafuta nini?

I snob KISS FM and Hot 97 (I would rather listen to 1010 WINS). I don't think even Clouds will cut it.
 
Kuna dada alikuwa magic anaitwa somebody Mdoe alikuwa kama misss flani hivi,bado yupo? Pia alikuwa na vipindi channel 10 akiwa na Raph B Sijaona na Nick Ngonyani.
Mackline Mdoe..very beautiful..aliolewa ameachana na ufyolo wa media..ana biashara zake hapo hapo mjini Daslam!
 
Mkuu Kiranga, inawezekana hujasikiliza hicho kipindi cha asubuhi cha magic fm - "Kupaka Rangi.." Kama unaweza ebu ckliza kwanza afu ulete mrejesho. Ni kipindi kizuri, kinakuwa na watangazaji 3 au 4 kwa wakati mmoja, ila kinachafuliwa na huyo jamaa kwa kuingiza kiingereza kibovu sana mara kwa mara. Baadhi yao kama Mr Dachi ni makini kwenye uchambuzi wa mambo, hivyo siyo vzr wasikilizaji kulazimika kuachana na kipindi sababu ya mmoja
Anayechafua kipindi Ni Mkambala much know nyingi kumbe ugolo mtupu
 
Watanzania kwa kulalamika wameshindikana!!!!....

Yaani unaweza kufa kwa presha na kisukari kwa vitu vidogo sana!!!....

Maisha ni rahisi sana!!!....

Kwanini uumie nafsi kwa kitu kilicho ndani ya uwezo wako pasi na kuchukua hatua!!!.?

Just tune another stations!!!!

So simple and clear!!!!
 
Wabongo bhana Sitashangaa kuskia huyu jamaa kapata ajali ya gari na kufariki hapo hapo
 
Back
Top Bottom