Kiingereza cha Rais Samia

Hoja ya lugha ni ya kipumbavu sana kujadiliwa. Sijui nani kawaambia lugha (hasa kiingereza) ndio kila kitu? English sio lugha yake na hata hivyo huwezi tegemea perfection kutoka kwake kwa lugha isiyokuwa yake. Ni jambo la kawaida sana, na kama hujui ni kwamba Spain, Portugal, German, China Russia, Brazil na mataifa menine yenye lugha zao huwa wanajifunza kiingereza kama sisi tu! Usibabaike sana na lugha za watu wau kuwakosea wengine heshima kwa utamaduni usiokuwa wao!
 
Huwezi linganisha China, Russia na hii nchi yetu ambayo ni ushuzi.

Hao ni wababe wa dunia, hao wanakoromeana na US uso kwa uso na kupigana vikumbo, sisi tunaweza? Hao ni wakubwa wa dunia usiwaige, sisi bado wanafunzi kidato cha kwanza wanabeba madawati, mifagio na ndoo kwenda shule.

Yaani wewe utapata faida zaidi ukijua Chinese kuliko Swahili.

Ukweli mchungu, lakini haina budi usemwe, hizi nchi zetu ni ushuzi tu..
 
Wameboresha siku hizi kukariri wanaita "KUHIFADHI"
 
tukubali tukatae,moja kati ya kosa kubwa ambalo nyerere na viongozi waliomfatia wamelikosea taifa hili, ni kutoruhusu lugha ya kingereza itumike kufundishia kuanzia shule ya msingi.

hili ni kosa kubwa sana, moja ya athari zake ndio kama hii ya watz wengi kuzungumza kingereza kibovu sambamba na kukosa confidence tunapokuwa kwenye international platform zinazokusanya watu wa mataifa mengine.
 
Huyu babu ni place holder tu.

Ona hapa…..sijui alikuwa anashikana na nani mkono. Imaginary friend wake? 🤣


Watu hawakumpigia kura yeye.

Walipiga kura dhidi ya Trump na yeye Biden kama place holder ndo akajikuta yupo kwenye hiyo nafasi.

Na kama ulivyosema, haukuwa ushindi wa kishindo.

Hangaya hazijui dynamics za US elections.

Ni kura takriban 40,000 na kitu tu ndizi zilizoamua mshindi.

Ku comment kuhusu party politics ni diplomatic faux pas.
 
Ukimwandikia neno kama ‘xylophone’ au ‘discombobulation’, anaweza kupoteza fahamu akijaribu kuyatamka.😂😂😂😂😂😂😂
 
Yaani Tz ukiwa na stress umejitakia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Unacheka Anna…??

Hebu jaribu kuyatamka wewe hayo maneno uone
Kuna waziri mmoja,mwanama na ana PhD ushawahi msikia akitema ngeli

Ova
 
Kipindi JPM anawasisitizia kujikubali,kujiaamini na kuthamini lugha yetu ya kiswahili,si mlimwita mshamba kutoka chato ?..sasa leo ndio mnaona umuhimu huo baada ya bibi yenu kupuyanga?
Sijawahi diss kiongozi yoyote kwenye upande wa lugha

Ova
 
Kiswahili kitamsaidia nini?
Kazi ipo kwetu tujue English ili tujikombe tukaombe misaada.

Kiswahili kitamsaidia nini mzungu?
Utumwa huo

Mbona wazungu wanakuja wanajifunza kiswahili

Unajua kwanini?

Ova
 
Mzungu hata asipojua kiswahili hatapungukiwa kitu..
Nani kakuambia

Wanajifunza kiswahili ili wajue

Mambo zaidi, wenyewe wanakuambia lugha ni currency

Hawataki mambo ya mkalimani

Ova
 
Mzungu hata asipojua kiswahili hatapungukiwa kitu..
Mgeni yoyote aliyekuja kuwekeza tanzania lazima atakijuwa kiswahili!
We unafikiri wanajifunza kuswahiili kama hobby au kuipenda

Ova
 

Errors of facts kwenye prepared speech ni kielelezo cha uvivu. Mtu ambaye anajishughulisha hawezi kushindwa kugundua makosa ya wazi kama hili kwenye hotuba aliyotayarishiwa na wasaidizi wake!
 
Nimemsikiliza Hangaya, ana uwafadhali sana tena sana ukimlinga na Dr Jiwe, Dr Jiwe anaachwa mbali sana na Hangaya kwenye hii lugha.

Kama kuna mtu yeyote anabisha haya nisemayo aje kuthibitisha kwa ushaidi wa klip yake yoyote akiongea kiingereza Dr Jiwe.

Kuhusu kukosea juu ya kusema kuwa Kamala ndio mwanamke wa kwanza kugombea nafasi ya umakamu urahisi Marekani, kama mnakunbuka jiwe alisema kuwa Saddam Hussein Kuwait kipindi cha kampeni za 2015. mbele ya watanzania wenzake akiwa anaongea kiswahili kabisa.

Dr. Jiwe hakika aliufahamu udhaifu wake ndio maana hakutaka kutoka nje ya nchi hasa nchi za Ulaya na America, alifahamu atashikwa kigugumizi tu, badala yake akawa anawapekeka mama Samia na Majaliwa.

Nb. Anaepinga kuwa Dr. Jiwe hakujua kuongea lugha ya kiingereza aweke klip yake hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…