Kiingereza cha Rais Samia

Kiingereza cha Rais Samia

Ila hata Samia nae kinampiga chenga, Ila sio sawa na jiwe.
Jana wakati anajibu swali niliona aibu kidogo.
.....the aam great deal of hospitality we have and we are very friendly, when you happen to be in Tanzania by mistake you never regret it.....

English bado ni tatizo
Mimi tokea nimuone anaweka "he" sehemu ya "she" yani naogopa kuangalia interview zake za english..
Lakini kwa ujumla anajitahidi sana ukilinganisha na jiwe
Makosa yake ni madogo madogo ingawaje mi nashindwa kuyavumilia so nimeamua nisiangalie interview zake za english kwa heshima yake mama yetu huyu.
 
Akiwa anasoma, kuna afadhali kidogo.

Lakini akiwa anaongea kutoka kichwani ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa], anapata shida sana.

Yaani Magu na Hangaya walichaguana wote wakiwa weupe kwenye hiyo lugha pendwa.

Muangalie na msikilize kwenye video hapo chini. Yale ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa] kwenye karatasi, anapata shida kuyaongea.

Anajiuma uma tu. Hajiamini. Mpaka hata taarifa za ukweli [facts] anazikosea.

Uchaguzi mkuu wa Marekani wa 2020 haukuwa uchaguzi wa kwanza wa nchi hiyo kuwa na mwanamke kama mgombea umakamu wa Rais.

Wakati Geraldine Ferraro anagombea kwenye tiketi moja na Walter Mondale, Hangaya alikuwa wapi?

Wakati Sarah Palin anagombea na John McCain, Hangaya alikuwa wapi?

Au alitaka kusema kuwa 2020 ndo mara ya kwanza kwa mwanamke kuwa katika tiketi iliyoshinda uchaguzi lakini akajiuma uma na akakosea hizo basic facts?

Halafu, ni ‘the United States and Tanzania have enjoyed excellent relations [siyo relation], for the last [past sounds much better] 60 years’.

Halafu kuna watu wanadai eti Hangaya yuko vizuri kwenye Kiingereza 🤣. Ama kweli hii lugha ni janga la kitaifa.

Maana mtu yeyote aijuaye vizuri hiyo lugha hawezi kusema eti Hangaya yuko vizuri.

Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!

Kwenye sintaksia, semantiki, sarufi, kunyambua vitenzi, n.k., hawapishani sana. Wote mulemule tu.


Wewe unakijua kingereza fasaha ukiwa umekaa Marekani miaka mingi nadhani miaka zaidi ya 25. Nyinyi ndio mliondoka TZ miaka ya 1990-95 wakati pakiwa na vuguvugu la kukimbia Tanzania ile ya Mwinyi akiwa anajiandaa kuondoka ikulu.

Tanzania hatuna utamaduni wa kuongea lugha moja tu asubuhi mpaka jioni januaty mpaka december, huwa tunazichanganya mara kwa mara.

Ni vigumu kuongea na muuza madafu au muuza maembe Muha wa Kigoma lugha ya malkia, utakuwa kama unamnyanyasa.

Lakini mataifa kama Ghana na Nigeria mchokoze yoyote unayemkuta njiani anatiririka na wewe kingereza bila ya kusoma au kugusa kitabu chochote, ni lugha waliyoizoea kuiongea muda wowote saa yoyote.

Hivyo usimshangae sana Hangaya wala hayati JPM, ni matunda ya msingi wetu wa kielimu jinsi ulivyo. Na hapo katika kingereza ndipo wanapotuacha mataifa kama Nigeria kwani wanajichanganya haraka sana na kuwa sehemu ya jamii ngeni za Ulaya na huko Marekani kirahisi tu.
 
Mama yupo vizuri sana. Wazungu wenyewe hata hawashangai mtu akibabaika kuongea kiingereza.
 
Ndiyo maana wanangu nimeamua kujikamua kuwapeka shule ambazo hii lugha pendwa wataongea kama vile kiswahili tu - najua itawaliapa tu mbeleni. Hii lugha ya kimataifa ni muhimu saana saana huwa kuna muda tunajidanganya kwamba eti kiswahili tuanze nacho Primary hadi Degree - maweeee !!

Maza afadhali lakini duh mzee wetu ilikuwa balaa "i dont have a word today like politicians, am here to act like catalyst of this reaction..... "

Mliosoma kemia mtaelewa zaidi hapo !!
 
Akiwa anasoma, kuna afadhali kidogo.

Lakini akiwa anaongea kutoka kichwani ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa], anapata shida sana.

Yaani Magu na Hangaya walichaguana wote wakiwa weupe kwenye hiyo lugha pendwa.

Muangalie na msikilize kwenye video hapo chini. Yale ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa] kwenye karatasi, anapata shida kuyaongea.

Anajiuma uma tu. Hajiamini. Mpaka hata taarifa za ukweli [facts] anazikosea.

Uchaguzi mkuu wa Marekani wa 2020 haukuwa uchaguzi wa kwanza wa nchi hiyo kuwa na mwanamke kama mgombea umakamu wa Rais.

Wakati Geraldine Ferraro anagombea kwenye tiketi moja na Walter Mondale, Hangaya alikuwa wapi?

Wakati Sarah Palin anagombea na John McCain, Hangaya alikuwa wapi?

Au alitaka kusema kuwa 2020 ndo mara ya kwanza kwa mwanamke kuwa katika tiketi iliyoshinda uchaguzi lakini akajiuma uma na akakosea hizo basic facts?

Halafu, ni ‘the United States and Tanzania have enjoyed excellent relations [siyo relation], for the last [past sounds much better] 60 years’.

Halafu kuna watu wanadai eti Hangaya yuko vizuri kwenye Kiingereza [emoji1787]. Ama kweli hii lugha ni janga la kitaifa.

Maana mtu yeyote aijuaye vizuri hiyo lugha hawezi kusema eti Hangaya yuko vizuri.

Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!

Kwenye sintaksia, semantiki, sarufi, kunyambua vitenzi, n.k., hawapishani sana. Wote mulemule tu.

Acha ushamba na Lugha wewe...Katafute hela, ukiwa na pesa Lugha ni mapambo tu...Wenzako wanakula mema ya nchi, weme umekazana na Lugha ya mkoloni. WATU WEUSI NA KUJIFANYA KUJUA SARUFI NA FASIHI YA KIINGEREZA.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna mzungu mmoja baba yake ni muwekezaji wa siku nyingi kwenye industry ya tourism mtoto wake alikuwa anakuja na kuondoka hakai zaidi ya wiki mbili kiswahili cha kimtindo anaongea, lakini baada ya baba yake kumpa ukurugenzi kwenye moja ya kampuni aliniomba nimtafutie mwalimu wa kiswahili huwa anakwenda kumfundisha nyumbani.

Hii maana yake sasa yupo serious anstaka akijuwe kiswahili kwa ufasaha badala ya salamu ya jambo sasa hivi wakubwa anawaamkia shikamoo kabisa na vijana mambo vipi, hakuna tena salamu ya Jambo.
Eti kuna kuna mtu humu anasema wageni kiswahili hakina msaada kwao haha
Wakati wawekezaji wakija wanajifunza mpk wanakielewa

Ova
 
S
Akiwa anasoma, kuna afadhali kidogo.

Lakini akiwa anaongea kutoka kichwani ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa], anapata shida sana.

Yaani Magu na Hangaya walichaguana wote wakiwa weupe kwenye hiyo lugha pendwa.

Muangalie na msikilize kwenye video hapo chini. Yale ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa] kwenye karatasi, anapata shida kuyaongea.

Anajiuma uma tu. Hajiamini. Mpaka hata taarifa za ukweli [facts] anazikosea.

Uchaguzi mkuu wa Marekani wa 2020 haukuwa uchaguzi wa kwanza wa nchi hiyo kuwa na mwanamke kama mgombea umakamu wa Rais.

Wakati Geraldine Ferraro anagombea kwenye tiketi moja na Walter Mondale, Hangaya alikuwa wapi?

Wakati Sarah Palin anagombea na John McCain, Hangaya alikuwa wapi?

Au alitaka kusema kuwa 2020 ndo mara ya kwanza kwa mwanamke kuwa katika tiketi iliyoshinda uchaguzi lakini akajiuma uma na akakosea hizo basic facts?

Halafu, ni ‘the United States and Tanzania have enjoyed excellent relations [siyo relation], for the last [past sounds much better] 60 years’.

Halafu kuna watu wanadai eti Hangaya yuko vizuri kwenye Kiingereza 🤣. Ama kweli hii lugha ni janga la kitaifa.

Maana mtu yeyote aijuaye vizuri hiyo lugha hawezi kusema eti Hangaya yuko vizuri.

Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!

Kwenye sintaksia, semantiki, sarufi, kunyambua vitenzi, n.k., hawapishani sana. Wote mulemule tu.


i afadhali yeye angalau anangea hata hicho cha kubofoa...mbona husemi Kamala hata kiswahili hajui! angekuja Kamala Tanzania na kubofoa kiswahili wala msingemsema...ndio kwanza mngesifia kuwa angalau amejitahidi....! Nyani Ngabu..hii lugha ilikuja kwa Meli Mkuu....Hangaya ameanzia mbali sana kupata angalau hayo machache aliyomudu kwa Kiingereza, tumpe muda!
 
S

i afadhali yeye angalau anangea hata hicho cha kubofoa...mbona husemi Kamala hata kiswahili hajui! angekuja Kamala Tanzania na kubofoa kiswahili wala msingemsema...ndio kwanza mngesifia kuwa angalau amejitahidi....! Nyani Ngabu..hii lugha ilikuja kwa Meli Mkuu....Hangaya ameanzia mbali sana kupata angalau hayo machache aliyomudu kwa Kiingereza, tumpe muda!
Muulize yule marehemu mungu wao wa Chato angeweza interview kwa kingereza?
 
Mimi tokea nimuone anaweka "he" sehemu ya "she" yani naogopa kuangalia interview zake za english..
Lakini kwa ujumla anajitahidi sana ukilinganisha na jiwe
Makosa yake ni madogo madogo ingawaje mi nashindwa kuyavumilia so nimeamua nisiangalie interview zake za english kwa heshima yake mama yetu huyu.
Makosa wala sio madogo ni makubwa tu, yake maswali mawili aliyojibu jana nilishangaa kweli
 
Akiwa anasoma, kuna afadhali kidogo.

Lakini akiwa anaongea kutoka kichwani ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa], anapata shida sana.

Yaani Magu na Hangaya walichaguana wote wakiwa weupe kwenye hiyo lugha pendwa.

Muangalie na msikilize kwenye video hapo chini. Yale ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa] kwenye karatasi, anapata shida kuyaongea.

Anajiuma uma tu. Hajiamini. Mpaka hata taarifa za ukweli [facts] anazikosea.

Uchaguzi mkuu wa Marekani wa 2020 haukuwa uchaguzi wa kwanza wa nchi hiyo kuwa na mwanamke kama mgombea umakamu wa Rais.

Wakati Geraldine Ferraro anagombea kwenye tiketi moja na Walter Mondale, Hangaya alikuwa wapi?

Wakati Sarah Palin anagombea na John McCain, Hangaya alikuwa wapi?

Au alitaka kusema kuwa 2020 ndo mara ya kwanza kwa mwanamke kuwa katika tiketi iliyoshinda uchaguzi lakini akajiuma uma na akakosea hizo basic facts?

Halafu, ni ‘the United States and Tanzania have enjoyed excellent relations [siyo relation], for the last [past sounds much better] 60 years’.

Halafu kuna watu wanadai eti Hangaya yuko vizuri kwenye Kiingereza 🤣. Ama kweli hii lugha ni janga la kitaifa.

Maana mtu yeyote aijuaye vizuri hiyo lugha hawezi kusema eti Hangaya yuko vizuri.

Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!

Kwenye sintaksia, semantiki, sarufi, kunyambua vitenzi, n.k., hawapishani sana. Wote mulemule tu.



Haya ni maono yako mimi naona anaongea vizuri. Kuwa na accent ni kawaida hawakuhitaji mtafsiri. Hata Kiswahili wengine hata wana accent ya kichaga, kihaya, kisambaa, kisukuma, kiarusha.......... English accent ni maono yako tu cha maana unaeleweka
 
Akiwa anasoma, kuna afadhali kidogo.

Lakini akiwa anaongea kutoka kichwani ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa], anapata shida sana.

Yaani Magu na Hangaya walichaguana wote wakiwa weupe kwenye hiyo lugha pendwa.

Muangalie na msikilize kwenye video hapo chini. Yale ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa] kwenye karatasi, anapata shida kuyaongea.

Anajiuma uma tu. Hajiamini. Mpaka hata taarifa za ukweli [facts] anazikosea.

Uchaguzi mkuu wa Marekani wa 2020 haukuwa uchaguzi wa kwanza wa nchi hiyo kuwa na mwanamke kama mgombea umakamu wa Rais.

Wakati Geraldine Ferraro anagombea kwenye tiketi moja na Walter Mondale, Hangaya alikuwa wapi?

Wakati Sarah Palin anagombea na John McCain, Hangaya alikuwa wapi?

Au alitaka kusema kuwa 2020 ndo mara ya kwanza kwa mwanamke kuwa katika tiketi iliyoshinda uchaguzi lakini akajiuma uma na akakosea hizo basic facts?

Halafu, ni ‘the United States and Tanzania have enjoyed excellent relations [siyo relation], for the last [past sounds much better] 60 years’.

Halafu kuna watu wanadai eti Hangaya yuko vizuri kwenye Kiingereza 🤣. Ama kweli hii lugha ni janga la kitaifa.

Maana mtu yeyote aijuaye vizuri hiyo lugha hawezi kusema eti Hangaya yuko vizuri.

Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!

Kwenye sintaksia, semantiki, sarufi, kunyambua vitenzi, n.k., hawapishani sana. Wote mulemule tu.


Mkuu

Ni bora imejionea mwenyewe huko majuu kinachopambwa hakina sifa hiyo.

Marais walikokuwa wanajiamini katika uongeaji wa lugha ya king'eng'e ni Julius Nyerere na Benjamini Mkapa.

Wengine wote ni wachapiaji tu hawajui matumizi sahihi, fasaha ya grammar na structure zake zinazoendana na hadhira ni majanga ya karne
 
Hawa mabeberu ni watu hatari sana! Wakiona unajikombakomba sana!, watakutafutia kiki uli wakuingize mkenge!
 
Hapana.

Fluency haihusiani na kusoma vilivyoandikwa.

Ni kwamba hana lafudhi nzito/ nene. Hicho ndicho kinachomfanya aonekane ana afadhali.

Lakini maneno mengi sana yanampa shida kuyatamka.

Hata yale maneno ya kawaida ya hiyo lugha hawezi kuyatamka vizuri.

Ukimwandikia neno kama ‘xylophone’ au ‘discombobulation’, anaweza kupoteza fahamu akijaribu kuyatamka.
"Discombobulation" 😁😁😁
 
Kila nikiuona huu uzi naishia kusema Mkuu Nyani Ngabu kumbe ni bure kabisa hamna kitu
 
Back
Top Bottom