Buyuni Kwetu
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 2,120
- 2,153
Huwa nashangaa sana watu mnaolinganisha watu kwenye lugha. Kila mtu ana kipaji chake. Mwingine akikaa mahali anafahamu haraka sana lugha ya pale wakati mwingine akijitahidi ni maneno mawili tu. Pia kuongea vizuri lugha huwa inatokea kama unaitumia mara kwa mara.Huyu alizaliwa na kukulia Butiama huko.
Hebu mcheki hapo. Super impressive.
Hasomi popote.
100% correctNi vigumu sana kuwa fluent kwenye lugha ambayo huitumii kwenye mawasiliano yako ya kila siku, inakuwa ngumu sana kujenga misamiati ya kutosha ikiwa hiyo lugha huitumii...........na bila misamiati au maneno ya kutosha utaanza kutafutatafuta maneno sahihi na mwishowe unaishia kupata kigugumizi na kupoteza confidence......
Sawa anaweza kuwa mzuri kwenye lugha lakini hesabu anakimbiaMleta uzi yeye yuko fluently kwenye kutema yai mkuu
Ova
we mwenyewe kweye kuandika kiswahili bado sanaa neno “Halafu” linaandikwa “alafu”
Nyie mna matatizo huyu mama mbona an flow kiingereza kizuri hivo huwezi kumriganisha na Mag wenu yule alikua mweupe kwenye kiingereza mcha wivu buanaAkiwa anasoma, kuna afadhali kidogo.
Lakini akiwa anaongea kutoka kichwani ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa], anapata shida sana.
Yaani Magu na Hangaya walichaguana wote wakiwa weupe kwenye hiyo lugha pendwa.
Muangalie na msikilize kwenye video hapo chini. Yale ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa] kwenye karatasi, anapata shida kuyaongea.
Anajiuma uma tu. Hajiamini. Mpaka hata taarifa za ukweli [facts] anazikosea.
Uchaguzi mkuu wa Marekani wa 2020 haukuwa uchaguzi wa kwanza wa nchi hiyo kuwa na mwanamke kama mgombea umakamu wa Rais.
Wakati Geraldine Ferraro anagombea kwenye tiketi moja na Walter Mondale, Hangaya alikuwa wapi?
Wakati Sarah Palin anagombea na John McCain, Hangaya alikuwa wapi?
Au alitaka kusema kuwa 2020 ndo mara ya kwanza kwa mwanamke kuwa katika tiketi iliyoshinda uchaguzi lakini akajiuma uma na akakosea hizo basic facts?
Halafu, ni ‘the United States and Tanzania have enjoyed excellent relations [siyo relation], for the last [past sounds much better] 60 years’.
Halafu kuna watu wanadai eti Hangaya yuko vizuri kwenye Kiingereza [emoji1787]. Ama kweli hii lugha ni janga la kitaifa.
Maana mtu yeyote aijuaye vizuri hiyo lugha hawezi kusema eti Hangaya yuko vizuri.
Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!
Kwenye sintaksia, semantiki, sarufi, kunyambua vitenzi, n.k., hawapishani sana. Wote mulemule tu.
Ndio maana mimi huwa sipendi kukosoa mtu eti hajui kuongea au kuandika kiingereza. Sentesi 2 tayari zina makosa je ukurasa mzima itakuwaje?Hivi unajua hata kiengereza ulichoongea kwa sentensi 2 teyari kina makos???
Siku hizi kwenye kuandika ndio kabisaa wengi wanakosea, makosa ya kisarufi na kimantiki yanaoongezeka humuoni mtu akikosoa, sasa kosea kiingereza hata neno moja tu walimu wa lugha hao wameshakuja kukosoa. Anayekosoa naye kumbe haijui kwa ufasaha.we mwenyewe kweye kuandika kiswahili bado sanaa neno “Halafu” linaandikwa “alafu”
Niwe na bifu na marehemu?Bado una bifu na Ngosha!?
Wewe sentensi moja tu, tena ya Kiswahili, uumefanya makosa.Hivi unajua hata kiengereza ulichoongea kwa sentensi 2 teyari kina makos???
Why not? Tumemuona Asha Rose akifikia mpaka nyanja za juu duniani huko, itakuwa "Anna Rose"?Anna Rose angefanya vizuri zaidi 😆😆
Sisi tunamuongelea kwa mema!Niwe na bifu na marehemu?
Mtu mwema huongelewa kwa mema yake. Ukiona mfu anaongelewa kwa ubaya ujuwe alikuwa mbaya kweli.
Kuungaunga akianzia IDM mzumbe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Lipo wazi kabisa “ELIMU yake ni ya kuunga unga sembuse kwenye lugha?”
Hapo ndio mweupe pyeee kama karatasi, hakika hawana tofouti na Hayati ila Hayati kamzidi kielimu maana alikuwa na phD kabisa ila huyu mmh!?
Na walisema: Ewe uliyeteremshiwa Ukumbusho! Hakika wewe ni mwendawazimu.Niwe na bifu na marehemu?
Mtu mwema huongelewa kwa mema yake. Ukiona mfu anaongelewa kwa ubaya ujuwe alikuwa mbaya kweli.
Katika "Sahih Muslim, Kitabu 35, 6522 Idadi" inasema kwamba Muhammad alikuwa mwenye dhambi kubwa ambaye aliomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu mara mia kila siku:Ukiona mfu anaongelewa kwa ubaya ujuwe alikuwa mbaya kweli.
Kwi kwi kwi teh teh teh.Katika "Sahih Muslim, Kitabu 35, 6522 Idadi" inasema kwamba Muhammad alikuwa mwenye dhambi kubwa ambaye aliomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu mara mia kila siku:
"Al-Agharr al-Muzani, ambaye alikuwa mmoja wa (Mtume) wenzake taarifa kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu (amani ilikuwa juu yake) alisema: Kuna (wakati mwingine) aina ya kivuli juu ya moyo wangu, na mimi kutafuta msamaha kutoka kwa Mwenyezi Mungu mara mia kwa siku. "
MUHAMMAD AKIRI KUWA DHAMBI ZAKE HAZIKUSAMEHEWA
Katika kitabu chake " mwisho mstari wa mbele "anaandika Reza Safa F inasema katika hadith ambapo mke wa Muhammad Khadidja kumtaka kusamehe dhambi yake, Muhammad alijibu kuwa hakuwa na uhakika dhambi zake mwenyewe walikuwa kusamehewa! Angewezaje kusamehe dhambi yake?
Sikushangai hukuanza wewe hayo.Na walisema: Ewe uliyeteremshiwa Ukumbusho! Hakika wewe ni mwendawazimu.
Kumbe Mohammad alikuwa mwendawazimu