Kiingereza cha Rais Samia

Ukae kitako kwa kutulia, zama zenu Sukuma gang zimekwisha.

Mama atakaa madarakani mpaka 2030 mtake msitake.
 
Duh!

Sasa wewe na yeye mna tofauti gani?

Hillary Clinton hajawahi kugombea umakamu wa Rais!
Jibu hoja Bibi yako anadhani mambo ya jenda yatambeba huko! Umemuona Kamala anavyomshangaa maana anamuona anajifanya mjuaji lakini kichwani mweupe!😂😂😂😂😂
 
Ni kweli aisee ,lugha ni tatizo.Hivi kwa nini wasiwe wanatembea na wakalimani?
 
Huyu alizaliwa na kukulia Butiama huko.

Hebu mcheki hapo. Super impressive.

Hasomi popote.

Alipewa heshima mpaka Raha, beberu akikuhitaji uwe chawa wake, anafanya mambo makubwa mazito unapumbazika!
 
Hii inatutatiza hata "native" speakers km sisi. Ni nini tofauti ya "I have not been feeling well for the LAST 2 weeks" na "I have not been feeling well for the PAST 2 weeks"? Nadhani haya ni makosa madogo ambayo wazungumzaji ufanya na hayana shida kwa sababu hayamfanyi mtu asieleweke.

Hata Kiswahili, tunafanya makosa mengu tu. Haraka - halaka, msamiati - misamiati, halafu - harafu, ujumbe wake wote - jumbe zake zote, nk nk. Magufuli alikuwa hawezi kusema "ng'ang'ania" alikuwa anasema "gangania".

Hata native speakers wa Kiingereza wapo wanaosema, "different than" badala ya "different from", "discuss about ethics" badala ya "discuss ethics" nk nk.
for the last [past sounds much better] 60 years’.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…