Kukosea lugha sioni tatizo sana, ila kujichanganya kwenye anavyozungumza ndio tatizo. Kama hapo anaposema Kamala ndio mwanamke wa kwanza kugombea marekaniBora yeye anajua kiingereza kidogo , Kamala Harris hajui kiswahili kabisa
Kukosoa sio dhambiUkiwa haumpendi mtu utatafuta sababu tu....watanzania wachache sana wanaoongea kiingereza kwa ufasaha.
Mwamba unajitahidi sana kumkosoa bimkubwa.
uzi wako una umuhimu ganiKuna watu wanaumia sana Samia akisema, akikosolewa!
Magu alisemwa, alikosolewa sana na bado anasemwa.
Mtaumia sana….
Je unasemaje kuhusu kutokuweka attention kwenye Taarifa ndogo ndogo kwenye speech yake..Usimwonee. No lafudhi yake natural hiyo. Ndivyo anavyozungumza hata Kiswahili. Hiyo siyo British accent hata kidogo.
Umeuliza swali au umetoa kauli?uzi wako una umuhimu gani
Kuwa rais wewe mkuu .mwenye uwezo .huyo ndio rais wako utake usitakeRais kilaza,uwezo wake wa kujaji mambo ni mdogo sana anapelekwa tu
Tahila wewe, kwahiyo dunia nzima kila mtu anaijua lugha ya Taifa lingine kwa ufasaha, sukuma gang mmevurugwa wapuuzi nyieAkiwa anasoma, kuna afadhali kidogo.
Lakini akiwa anaongea kutoka kichwani ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa], anapata shida sana.
Yaani Magu na Hangaya walichaguana wote wakiwa weupe kwenye hiyo lugha pendwa.
Muangalie na msikilize kwenye video hapo chini. Yale ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa] kwenye karatasi, anapata shida kuyaongea.
Anajiuma uma tu. Hajiamini. Mpaka hata taarifa za ukweli [facts] anazikosea.
Uchaguzi mkuu wa Marekani wa 2020 haukuwa uchaguzi wa kwanza wa nchi hiyo kuwa na mwanamke kama mgombea umakamu wa Rais.
Wakati Geraldine Ferraro anagombea kwenye tiketi moja na Walter Mondale, Hangaya alikuwa wapi?
Wakati Sarah Palin anagombea na John McCain, Hangaya alikuwa wapi?
Au alitaka kusema kuwa 2020 ndo mara ya kwanza kwa mwanamke kuwa katika tiketi iliyoshinda uchaguzi lakini akajiuma uma na akakosea hizo basic facts?
Halafu, ni ‘the United States and Tanzania have enjoyed excellent relations [siyo relation], for the last [past sounds much better] 60 years’.
Halafu kuna watu wanadai eti Hangaya yuko vizuri kwenye Kiingereza 🤣. Ama kweli hii lugha ni janga la kitaifa.
Maana mtu yeyote aijuaye vizuri hiyo lugha hawezi kusema eti Hangaya yuko vizuri.
Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!
Kwenye sintaksia, semantiki, sarufi, kunyambua vitenzi, n.k., hawapishani sana. Wote mulemule tu.
Ha hahahahah we jamaa...Umeuliza swali au umetoa kauli?
Je unasemaje kuhusu kutokuweka attention kwenye Taarifa ndogo ndogo kwenye speech yake..
Kama aliandikiwa alitakiwa ahakikishe kweli Kamala ni mgombea wa kwanza wa umakamu, what was the point of this?
Unamuonea.Akiwa anasoma, kuna afadhali kidogo.
Lakini akiwa anaongea kutoka kichwani ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa], anapata shida sana.
Yaani Magu na Hangaya walichaguana wote wakiwa weupe kwenye hiyo lugha pendwa.
Muangalie na msikilize kwenye video hapo chini. Yale ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa] kwenye karatasi, anapata shida kuyaongea.
Anajiuma uma tu. Hajiamini. Mpaka hata taarifa za ukweli [facts] anazikosea.
Uchaguzi mkuu wa Marekani wa 2020 haukuwa uchaguzi wa kwanza wa nchi hiyo kuwa na mwanamke kama mgombea umakamu wa Rais.
Wakati Geraldine Ferraro anagombea kwenye tiketi moja na Walter Mondale, Hangaya alikuwa wapi?
Wakati Sarah Palin anagombea na John McCain, Hangaya alikuwa wapi?
Au alitaka kusema kuwa 2020 ndo mara ya kwanza kwa mwanamke kuwa katika tiketi iliyoshinda uchaguzi lakini akajiuma uma na akakosea hizo basic facts?
Halafu, ni ‘the United States and Tanzania have enjoyed excellent relations [siyo relation], for the last [past sounds much better] 60 years’.
Halafu kuna watu wanadai eti Hangaya yuko vizuri kwenye Kiingereza 🤣. Ama kweli hii lugha ni janga la kitaifa.
Maana mtu yeyote aijuaye vizuri hiyo lugha hawezi kusema eti Hangaya yuko vizuri.
Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!
Kwenye sintaksia, semantiki, sarufi, kunyambua vitenzi, n.k., hawapishani sana. Wote mulemule tu.
Dikteta maggufuli mbona alikuwa anauponda utawala wa Kikwete,na nyinyi wafuasi wake mkawa mnabinua makalio kufurahiaKwangu lugha maridhawa si tatizo sana kwa sababu Umombo si lugha yetu mama, nakwazika sana Rais yoyote akiwemo Samia kuanza kukandia viongozi waliopita wakati ni viongozi waliotokana na chama kilekile kiitwacho chama tawala...
Sijui hawaelewi kuwa unapomponda Rais aliyepita ni sawa kabisa na kukiponda chama chao wenyewe na sera ama ilani zake...
Mimi tayari ni raisi.Kuwa rais wewe mkuu .mwenye uwezo .huyo ndio rais wako utake usitake
Sukuma gang...close your mouth (kwa niaba ya tangazo la haki elimu)Akiwa anasoma, kuna afadhali kidogo.
Lakini akiwa anaongea kutoka kichwani ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa], anapata shida sana.
Yaani Magu na Hangaya walichaguana wote wakiwa weupe kwenye hiyo lugha pendwa.
Muangalie na msikilize kwenye video hapo chini. Yale ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa] kwenye karatasi, anapata shida kuyaongea.
Anajiuma uma tu. Hajiamini. Mpaka hata taarifa za ukweli [facts] anazikosea.
Uchaguzi mkuu wa Marekani wa 2020 haukuwa uchaguzi wa kwanza wa nchi hiyo kuwa na mwanamke kama mgombea umakamu wa Rais.
Wakati Geraldine Ferraro anagombea kwenye tiketi moja na Walter Mondale, Hangaya alikuwa wapi?
Wakati Sarah Palin anagombea na John McCain, Hangaya alikuwa wapi?
Au alitaka kusema kuwa 2020 ndo mara ya kwanza kwa mwanamke kuwa katika tiketi iliyoshinda uchaguzi lakini akajiuma uma na akakosea hizo basic facts?
Halafu, ni ‘the United States and Tanzania have enjoyed excellent relations [siyo relation], for the last [past sounds much better] 60 years’.
Halafu kuna watu wanadai eti Hangaya yuko vizuri kwenye Kiingereza 🤣. Ama kweli hii lugha ni janga la kitaifa.
Maana mtu yeyote aijuaye vizuri hiyo lugha hawezi kusema eti Hangaya yuko vizuri.
Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!
Kwenye sintaksia, semantiki, sarufi, kunyambua vitenzi, n.k., hawapishani sana. Wote mulemule tu.
I know [or rather I have a feeling] you don’t mean it 😀.Unamuonea.
Amandla....
huna hata uwezo wa kujua matumizi ya "gani"?Umeuliza swali au umetoa kauli?
Ni moja ya mbinu ya kutawala muda mrefu! Hapo watu wanapumua kuwa kuna mabadiliko! Hili wapinzani pia wamelilea sana.Kwangu lugha maridhawa si tatizo sana kwa sababu Umombo si lugha yetu mama, nakwazika sana Rais yoyote akiwemo Samia kuanza kukandia viongozi waliopita wakati ni viongozi waliotokana na chama kilekile kiitwacho chama tawala...
Sijui hawaelewi kuwa unapomponda Rais aliyepita ni sawa kabisa na kukiponda chama chao wenyewe na sera ama ilani zake...
Wabongo mpaka sasa hawajuwi wanapigania nini/wanataka nini!Dikteta maggufuli mbona alikuwa anauponda utawala wa Kikwete,na nyinyi wafuasi wake mkawa mnabinua makalio kufurahia