Kiingereza cha Rais Samia

Kiingereza cha Rais Samia

Syo lazima ujue kingerereza cha moja kwa moja,kikubwa ni kuelewana tu

Ova
Kama kama taifa tuliamua kuwa Kiingereza kiwe moja ya lugha yetu ya taifa, basi kukijua ni lazima.

La sivyo tuache kusema kuwa ni moja ya lugha yetu ya taifa.
 
Rais ana shida sana yakutikuwa mfatiliaji wa mambo muhimu !
Rais pia ana shida ya wasaidizi maana wanamuandikia vitu vya kumuabisha kabisa!

Yani kila akiongea au kusoma vitu lazima atakwenda chaka....sijui shida ni nini?
Shida ni yeye mwenyewe.

Anapaswa awe makini. Awe mtaka kujua mambo.

Ingekuwa vigumu sana kumwingiza chaka Nyerere au Mkapa kuhusu wagombea umakamu wa urais wa Marekani….
 
Akiwa anasoma, kuna afadhali kidogo.

Lakini akiwa anaongea kutoka kichwani ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa], anapata shida sana.

Yaani Magu na Hangaya walichaguana wote wakiwa weupe kwenye hiyo lugha pendwa.

Muangalie na msikilize kwenye video hapo chini. Yale ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa] kwenye karatasi, anapata shida kuyaongea.

Anajiuma uma tu. Hajiamini. Mpaka hata taarifa za ukweli [facts] anazikosea.

Uchaguzi mkuu wa Marekani wa 2020 haukuwa uchaguzi wa kwanza wa nchi hiyo kuwa na mwanamke kama mgombea umakamu wa Rais.

Wakati Geraldine Ferraro anagombea kwenye tiketi moja na Walter Mondale, Hangaya alikuwa wapi?

Wakati Sarah Palin anagombea na John McCain, Hangaya alikuwa wapi?

Au alitaka kusema kuwa 2020 ndo mara ya kwanza kwa mwanamke kuwa katika tiketi iliyoshinda uchaguzi lakini akajiuma uma na akakosea hizo basic facts?

Halafu, ni ‘the United States and Tanzania have enjoyed excellent relations [siyo relation], for the last [past sounds much better] 60 years’.

Halafu kuna watu wanadai eti Hangaya yuko vizuri kwenye Kiingereza [emoji1787]. Ama kweli hii lugha ni janga la kitaifa.

Maana mtu yeyote aijuaye vizuri hiyo lugha hawezi kusema eti Hangaya yuko vizuri.

Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!

Kwenye sintaksia, semantiki, sarufi, kunyambua vitenzi, n.k., hawapishani sana. Wote mulemule tu.



In general, she is doing great considering the fact that English isn’t her native language. She has a considerable command of the queen’s language.

I however despise this nonsensical idea of African leaders reporting to the west, it makes us too inferior. We have a huge leadership deficit indeed. A lot of our development challenges are basically our faults, and our continued begging for development aid makes us loose the entire meaning of independence.

Indeed our continent will remain in shackles for quiet some time still.
 
Madam president is quite ok, she just needs a little fine tuning of getting her facts correct.
 
Akiwa anasoma, kuna afadhali kidogo.

Lakini akiwa anaongea kutoka kichwani ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa], anapata shida sana.

Yaani Magu na Hangaya walichaguana wote wakiwa weupe kwenye hiyo lugha pendwa.

Muangalie na msikilize kwenye video hapo chini. Yale ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa] kwenye karatasi, anapata shida kuyaongea.

Anajiuma uma tu. Hajiamini. Mpaka hata taarifa za ukweli [facts] anazikosea.

Uchaguzi mkuu wa Marekani wa 2020 haukuwa uchaguzi wa kwanza wa nchi hiyo kuwa na mwanamke kama mgombea umakamu wa Rais.

Wakati Geraldine Ferraro anagombea kwenye tiketi moja na Walter Mondale, Hangaya alikuwa wapi?

Wakati Sarah Palin anagombea na John McCain, Hangaya alikuwa wapi?

Au alitaka kusema kuwa 2020 ndo mara ya kwanza kwa mwanamke kuwa katika tiketi iliyoshinda uchaguzi lakini akajiuma uma na akakosea hizo basic facts?

Halafu, ni ‘the United States and Tanzania have enjoyed excellent relations [siyo relation], for the last [past sounds much better] 60 years’.

Halafu kuna watu wanadai eti Hangaya yuko vizuri kwenye Kiingereza 🤣. Ama kweli hii lugha ni janga la kitaifa.

Maana mtu yeyote aijuaye vizuri hiyo lugha hawezi kusema eti Hangaya yuko vizuri.

Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!

Kwenye sintaksia, semantiki, sarufi, kunyambua vitenzi, n.k., hawapishani sana. Wote mulemule tu.


Hahahahaaaa, yaani haya mambo yanafikirisha sana.
Kiingereza jamani, mmmhh!
"thank you madam vice president for having me here"
 
Naomba nitoe ushauri na kuwatoa ushamba ndugu ZANGU kiingereza kwetu ni lugha ya kujifunza sio lugha MAMA na sio kwetu tu Hata KWA mataifa MENGINE makubwa kama china na urusi!!KWA huo hatuwezi kuiongea KWA lafudhi kamili ya wazungu au wamarekani!!kuongea kama wao sio kielelezo Cha u competence KWENYE lugha na utendaji tuachane na huo ushamba mbona hamuwakosoi wachina wanavoongea au warusi mmekomalia waswahili PEKEE!!?Mama ameeleweka na wamarekani wamemwelewa Sana!!! Ni nyie tu mmekosa mantiki!!
 
Kwangu lugha maridhawa si tatizo sana kwa sababu Umombo si lugha yetu mama, nakwazika sana Rais yoyote akiwemo Samia kuanza kukandia viongozi waliopita wakati ni viongozi waliotokana na chama kilekile kiitwacho chama tawala...

Sijui hawaelewi kuwa unapomponda Rais aliyepita ni sawa kabisa na kukiponda chama chao wenyewe na sera ama ilani zake...

Hata mwendazake alisama," Kuna maraisi walisafiri zaidi nje ya nchi kuliko kwenda kwa mama zao"kumbe jiwe akiwaponda viongozi walio mtangulia sawa tuu?
 
Kuhusu facts ndogo ndogo nimewahi kuuliza wanao muandalia speech wanakuwaga na lengo Gani na yeye kwa nini huwa hazikagui,

Hofu yangu huyu bibi ni mvivu Fulani ni mtu wa kulishwa Kila kitu...

Nilishangaa na Mimi kusikia Kamala ndio mgombea wa kwanza mwanamke...

Kingine Samia siyo mtu wa kusikiliza na kutoa arguments, Bali wa Ndiyo ndiyo Kila unapomwabia kitu, nilisikia hii wakati Kamala anazungumza
Hii ya kusikia neno na kuchukua kama lilivyo ni udhaifu wa wanawake wengi kutokana na kupenda umbea

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
😂😂mwenzako hajakaa Marekani kama wewe mkuu,mtu wa Huku Kizimkazi katembea sana ni hapa Dar na Dodoma unataka kumuweka daraja sawa na mtu wa Cleveland,Salt lake,Idaho,wichita,New york na Atlanta?? Tumvumilie tu mkuu yatakwisha

Kikwete anamuharibu!!!
 
TENA WAONGEE FACTS,BILA KUSOMA MAHALI....
Ndomana kuna nchi Zingine ukienda na ngeli yako,wao hawana habari wanakujibu kwa lugha yao tu

We kingereza kijue basic tu inakutosha,kikubwa msikilizane,muelewane maneno 2,3 tu

Ova
 
Back
Top Bottom