Kiingereza cha Rais Samia

Kiingereza cha Rais Samia

Tupandishie sauti basi humu ukitema ngeli mzee

Ova
Nikiweka hapa mnaweza kudai nimeweka sauti ya mtu mwingine.

Kama unataka kulonga nami kwa Kizungu njoo WhatsApp. Voice call au Video call.
 
Akiwa anasoma, kuna afadhali kidogo.

Lakini akiwa anaongea kutoka kichwani ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa], anapata shida sana.

Yaani Magu na Hangaya walichaguana wote wakiwa weupe kwenye hiyo lugha pendwa.

Muangalie na msikilize kwenye video hapo chini. Yale ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa] kwenye karatasi, anapata shida kuyaongea.

Anajiuma uma tu. Hajiamini. Mpaka hata taarifa za ukweli [facts] anazikosea.

Uchaguzi mkuu wa Marekani wa 2020 haukuwa uchaguzi wa kwanza wa nchi hiyo kuwa na mwanamke kama mgombea umakamu wa Rais.

Wakati Geraldine Ferraro anagombea kwenye tiketi moja na Walter Mondale, Hangaya alikuwa wapi?

Wakati Sarah Palin anagombea na John McCain, Hangaya alikuwa wapi?

Au alitaka kusema kuwa 2020 ndo mara ya kwanza kwa mwanamke kuwa katika tiketi iliyoshinda uchaguzi lakini akajiuma uma na akakosea hizo basic facts?

Halafu, ni ‘the United States and Tanzania have enjoyed excellent relations [siyo relation], for the last [past sounds much better] 60 years’.

Halafu kuna watu wanadai eti Hangaya yuko vizuri kwenye Kiingereza [emoji1787]. Ama kweli hii lugha ni janga la kitaifa.

Maana mtu yeyote aijuaye vizuri hiyo lugha hawezi kusema eti Hangaya yuko vizuri.

Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!

Kwenye sintaksia, semantiki, sarufi, kunyambua vitenzi, n.k., hawapishani sana. Wote mulemule tu.

Ila watanzania nyie[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

"Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!"


@
 
Huyu alikuwa bright sana na ana exposure kubwa..Tatizo nature ya eneo analotoka mzee Ngabu,kule kwao mwaka jana matokeo ya form four kisiwa kizima hakuna division one ni wazi kuwa weng wao kujishughulisha kupata Knowledge mpya ikiwemo hii ya Lugha ni mtihan sana tu
Na Chato alipotoka Magufuli mbona na yeye lugha ilikuwa .tihani?
 
Nikiweka hapa mnaweza kudai nimeweka sauti ya mtu mwingine.

Kama unataka kulonga nami kwa Kizungu njoo WhatsApp. Voice call au Video call.
Hahaha Acha kuwa kama mwanasiasa we weka hapa

Na mm ntakuongelea ligha zote nlizoziainisha hapo

Ova
 
Hehe ndomana nmemuliza lugha anazozijua

Hehe ndomana nmemuliza lugha anazozijua

Ova
Kuna kitu unachanganya.
Kutokujua lugha fulani na mtu kuzungumza lugha asiyoifahamu vizuri, hasa katika mazingira rasmi.

Kwa mfano umejiifunza kichina, ila hujui bado kutumia misamiati ya hiyo lugha kwa ufasaha!
Lugha yoyote inahitaji uzoefu katika kuitumia. Hata kama unajua misamiati yote ya lugha fulani; kama huzungumzi mara kwa mara ni rahisi kukosea!
Practice makes perfect!
 
Akisoma anakuwa fluent kidogo, kuwa mtu wa pwani kunamfanya aweze kusoma vizuri.

Yale ya kutoa kichwani ni mweupe pe! Kama mimi tu[emoji39]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
My country people[emoji23][emoji119][emoji23][emoji119]
 
Kwa aina ya wananchi wetu mama anajua sana na anajitahidi. Kumbuka lugha huwa ina kuwa affected na mothertongue.

Mimi nimefurahi raisi wangu anapoongea kwenye platform kama hiyo, kuachilia mbali wanawake wengi wanauoga kuongea mbele za watu haswa wa kiislamu. Anatamka maneno tunayaelewa makosa madogomadogo ni kawaida. Huwezi kumlinganisha Raisi wa ghana na George weah kwenye pronounciation, choice of words and mannerism when they conversate.
Umewahi kumsikiliza bi riziki shahar mkewe kaka Mohamed Said? Kwakweli huyu nyani ngabu anaweza kukimbia
 
Kuna kitu unachanganya.
Kutokujua lugha fulani na mtu kuzungumza lugha asiyoifahamu vizuri, hasa katika mazingira rasmi.

Kwa mfano umejiifunza kichina, ila hujui bado kutumia misamiati ya hiyo lugha kwa ufasaha!
Lugha yoyote inahitaji uzoefu katika kuitumia. Hata kama unajua misamiati yote ya lugha fulani; kama huzungumzi mara kwa mara ni rahisi kukosea!
Practice makes perfect!
Kwani rais wa China anajua kingereza

Hapo hamkawi kusema wenzetu uchumi wao mkubwaa

Ova
 
Nyerere Na Mkapa walikua super sana kwenye iyo lugha ,kujiamini na kutema madini tu bila kuandikiwa kwa kutumia iyo lugha
Ki speech Kama hicho alipaswa akimeze Kisha ateme toka kichwani..
Shida Ni kwamba Hana msamiati wa kutosha wa lugha hiyo...
So far so gud
 
Itakua 'aloshinda' kasahau
Sidhani, maana alianza kusifu chama Cha democratic na kusema Tz tulifuatilia kwa karibu uchaguzi wa 2020 na Harris Ni mwanake wa kwanza kugombea nafasi ya umakamu wa uraisi na imetuinspire.

Unajua shida ni hao sasa wakiona anakosea kama hivyo wanamchukuliaje? Tatizo lipo hapo
 
Acheni basi mbina mama kaongea kingelez kizuri

Aya kile cha harmonize kime kaaje hakuna perfect kwenye english bhna tafuteni reason mtu yupo anapambania kombe ili wawekezaji waje mpate ajira bado mnaona hafai
 
Back
Top Bottom