Kiingereza cha Rais Samia

Kiingereza cha Rais Samia

mnataka tena tuanze kukidharau kiswahili na kukitukuza Kiingera??!!

Kwa kasumba hii ndio maana hadi leo Mahakama zetu pia zimepata kigugumizi kutumia Lugha ya Kiswahili ktk kotoa Haki za watanzania.
 
Serikali hii ya mpito inatia aibu. Mkirudi mje na madini yetu 25,yaliyozama huko. Nonsense.
 
Rais wa Ukraine ana kiingereza kibovu lakini anajiamini sana kwenye kuzungumza.
Tatizo tulilonalo tumeamua kuchagua Kiswahili kua lugha ya kufundishia ilhali fulsa nyingi zilizopo duniani zinahitahi Kiingereza.
Naamini kama tungechagua English kama Lugha ya mawasiliano kama vile Kenya, basi hata kimaendeleo inawezekana tungekua mbali sana kuliko Kenya.
Kenya hawana Ardhi nzuri ya Kilimo lakini wanafulsa nyingi za kibiashara kwa sababu ya Lugha tu.
Tunakimbia fulsa nyingi za nje kwa sababu hatuijui Lugha.
Cha ajabu viongozi wetu hawataki kufanya mabadiliko, ingawa watoto wao wanawapeleka kwenye shule nzuri ili kuwafungulia dunia.
Baada ya hii ziara ningeomba mama alitafakari hilo kwenye Elimu zetu.
Sisi sote tunawajibu wa kuitangaza nchi yetu na vivutio vyake, lakini Lugha inatukwamisha. Ze ze nyingi sana.
Bado inawezekana sana kufanya mabadiliko haya kwa watoto wetu, kinyume cha hapo tutaendelea kuchekana hivihivi.
Ukweli mtupu👍
 
Sioni kama ni tatizo kubwa sio mother tongue yao JPM na Samia sio lazima waongee fluently.

Mfumo wetu wa elimu wa zamani kiingereza hakikupewa nafasi kubwa hata uwe na PHD hauwezi ongea fluent English.

Siku hizi English medium ndio zinasaidia kuwa fluent sababu watoto wanajua kirahisi zaidi.

Tunamjudge kiongozi wetu kwa vigezo muhimu vipaumbele ktk policies,Diplomacies etc sio kiingereza.
Unaongea kuhusu zamani ipi iliyopuuza Kiingereza kwenye historia ya Tanzania?
 
Akiwa anasoma, kuna afadhali kidogo.

Lakini akiwa anaongea kutoka kichwani ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa], anapata shida sana.

Yaani Magu na Hangaya walichaguana wote wakiwa weupe kwenye hiyo lugha pendwa.

Muangalie na msikilize kwenye video hapo chini. Yale ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa] kwenye karatasi, anapata shida kuyaongea.

Anajiuma uma tu. Hajiamini. Mpaka hata taarifa za ukweli [facts] anazikosea.

Uchaguzi mkuu wa Marekani wa 2020 haukuwa uchaguzi wa kwanza wa nchi hiyo kuwa na mwanamke kama mgombea umakamu wa Rais.

Wakati Geraldine Ferraro anagombea kwenye tiketi moja na Walter Mondale, Hangaya alikuwa wapi?

Wakati Sarah Palin anagombea na John McCain, Hangaya alikuwa wapi?

Au alitaka kusema kuwa 2020 ndo mara ya kwanza kwa mwanamke kuwa katika tiketi iliyoshinda uchaguzi lakini akajiuma uma na akakosea hizo basic facts?

Halafu, ni ‘the United States and Tanzania have enjoyed excellent relations [siyo relation], for the last [past sounds much better] 60 years’.

Halafu kuna watu wanadai eti Hangaya yuko vizuri kwenye Kiingereza 🤣. Ama kweli hii lugha ni janga la kitaifa.

Maana mtu yeyote aijuaye vizuri hiyo lugha hawezi kusema eti Hangaya yuko vizuri.

Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!

Kwenye sintaksia, semantiki, sarufi, kunyambua vitenzi, n.k., hawapishani sana. Wote mulemule tu.


Kuna video nyingine ilikuwa humu, sijui imefutwa au sija-search vizuri, inaonesha kuwa SHH anasema 'he is a scientist, he is a chemist', mpaka mtangazaji anamsahihisha kuwa 'he was'.
 
Huyu alizaliwa na kukulia Butiama huko.

Hebu mcheki hapo. Super impressive.

Hasomi popote.


huyu alikuwa gwiji kweli kweli wa lugha na pembeni namwona gwiji mwingine oscar kambona.hawa walikuwa talented pamoja na akina mkapa.wengine kiingereza tunabumba tu.
 
Kuhusu facts ndogo ndogo nimewahi kuuliza wanao muandalia speech wanakuwaga na lengo Gani na yeye kwa nini huwa hazikagui,

Hofu yangu huyu bibi ni mvivu Fulani ni mtu wa kulishwa Kila kitu...

Nilishangaa na Mimi kusikia Kamala ndio mgombea wa kwanza mwanamke...

Kingine Samia siyo mtu wa kusikiliza na kutoa arguments, Bali wa Ndiyo ndiyo Kila unapomwabia kitu, nilisikia hii wakati Kamala anazungumza
Siyo lugha tu, ana uwezo mdogo sana wa kufikiri. No analytical skills at all. Msikilize hizo sekunde chache za Rais Mwinyi, it is day and night na huyu bibi. Hiyo ya Kamala mgombea wa kwanza VP kaisema mwenyewe, haikuwa kwenye speech. But it is very sad Rais anapoonyesha uwezo mdogo wa kufikiri. Na siyo kwa Kiingereza tu, hata uwezo wa kifikiri kwa Kiswahili ni mdogo sana.
 
Akiwa anasoma, kuna afadhali kidogo.

Lakini akiwa anaongea kutoka kichwani ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa], anapata shida sana.

Yaani Magu na Hangaya walichaguana wote wakiwa weupe kwenye hiyo lugha pendwa.

Muangalie na msikilize kwenye video hapo chini. Yale ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa] kwenye karatasi, anapata shida kuyaongea.

Anajiuma uma tu. Hajiamini. Mpaka hata taarifa za ukweli [facts] anazikosea.

Uchaguzi mkuu wa Marekani wa 2020 haukuwa uchaguzi wa kwanza wa nchi hiyo kuwa na mwanamke kama mgombea umakamu wa Rais.

Wakati Geraldine Ferraro anagombea kwenye tiketi moja na Walter Mondale, Hangaya alikuwa wapi?

Wakati Sarah Palin anagombea na John McCain, Hangaya alikuwa wapi?

Au alitaka kusema kuwa 2020 ndo mara ya kwanza kwa mwanamke kuwa katika tiketi iliyoshinda uchaguzi lakini akajiuma uma na akakosea hizo basic facts?

Halafu, ni ‘the United States and Tanzania have enjoyed excellent relations [siyo relation], for the last [past sounds much better] 60 years’.

Halafu kuna watu wanadai eti Hangaya yuko vizuri kwenye Kiingereza 🤣. Ama kweli hii lugha ni janga la kitaifa.

Maana mtu yeyote aijuaye vizuri hiyo lugha hawezi kusema eti Hangaya yuko vizuri.

Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!

Kwenye sintaksia, semantiki, sarufi, kunyambua vitenzi, n.k., hawapishani sana. Wote mulemule tu.


Binafsi na wengi tuliosoma masomo ya Saiyansi tuna amini sana kwenye content kuliko lugha
Kwa wale mliosomea masomo rahisi ya Lugha huwa mnaona kuongea kingereza ndio kila kitu ambapo ni udhaifu mkubwa sana ( Colonial mind set). Language is just the means of communication; mkishaweza kuelewana inatosha, kinacho angaliwa ni content. Kama content ni pumba hata ukiongea english nzuri kama ya Obama ni bure kabisa!
Mimi niliona Rais wetu ameongea BEST english kwa kuwa alifikisha ujumbe aliokusudia!
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema, watu wapumbavu hata mzungu akiongea pumba kwa kiingereza hupiga makofi
 
Binafsi na wengi tuliosoma masomo ya Saiyansi tuna amini sana kwenye content kuliko lugha
Kwa wale mliosomea masomo rahisi ya Lugha huwa mnaona kuongea kingereza ndio kila kitu ambapo ni udhaifu mkubwa sana ( Colonial mind set). Language is just the means of communication; mkishaweza kuelewana inatosha, kinacho angaliwa ni content. Kama content ni pumba hata ukiongea english nzuri kama ya Obama ni bure kabisa!
Mimi niliona Rais wetu ameongea BEST english kwa kuwa alifikisha ujumbe aliokusudia!
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema, watu wapumbavu hata mzungu akiongea pumba kwa kiingereza hupiga makofi
Naunga hoja mkuu.Sifa kuu mojawapo ya Lugha ni kubeba maana na kufikisha ujumbe kwa jamii. Kama hivi vyote vilifanyika kwa ufasaha hakuna shida hapo ndio maana sote tunajadili ujumbe alioutoa kwasababu tulimuelewa.
 
Akiwa anasoma, kuna afadhali kidogo.

Lakini akiwa anaongea kutoka kichwani ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa], anapata shida sana.

Yaani Magu na Hangaya walichaguana wote wakiwa weupe kwenye hiyo lugha pendwa.

Muangalie na msikilize kwenye video hapo chini. Yale ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa] kwenye karatasi, anapata shida kuyaongea.

Anajiuma uma tu. Hajiamini. Mpaka hata taarifa za ukweli [facts] anazikosea.

Uchaguzi mkuu wa Marekani wa 2020 haukuwa uchaguzi wa kwanza wa nchi hiyo kuwa na mwanamke kama mgombea umakamu wa Rais.

Wakati Geraldine Ferraro anagombea kwenye tiketi moja na Walter Mondale, Hangaya alikuwa wapi?

Wakati Sarah Palin anagombea na John McCain, Hangaya alikuwa wapi?

Au alitaka kusema kuwa 2020 ndo mara ya kwanza kwa mwanamke kuwa katika tiketi iliyoshinda uchaguzi lakini akajiuma uma na akakosea hizo basic facts?

Halafu, ni ‘the United States and Tanzania have enjoyed excellent relations [siyo relation], for the last [past sounds much better] 60 years’.

Halafu kuna watu wanadai eti Hangaya yuko vizuri kwenye Kiingereza 🤣. Ama kweli hii lugha ni janga la kitaifa.

Maana mtu yeyote aijuaye vizuri hiyo lugha hawezi kusema eti Hangaya yuko vizuri.

Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!

Kwenye sintaksia, semantiki, sarufi, kunyambua vitenzi, n.k., hawapishani sana. Wote mulemule tu.




Hapa ni issue ya tense au mzimu wa Magu? Lakini kwa kusahihishwa, ni chenga ya past tense! (sikiliza around 7:40).

Nyani Ngabu
 
[emoji23][emoji23]mwenzako hajakaa Marekani kama wewe mkuu,mtu wa Huku Kizimkazi katembea sana ni hapa Dar na Dodoma unataka kumuweka daraja sawa na mtu wa Cleveland,Salt lake,Idaho,wichita,New york na Atlanta?? Tumvumilie tu mkuu yatakwisha
Kasumba ya kijinga. Mbona hamumshangai mchina akiongea kiswahili kibovu!
 
Kuhusu facts ndogo ndogo nimewahi kuuliza wanao muandalia speech wanakuwaga na lengo Gani na yeye kwa nini huwa hazikagui,

Hofu yangu huyu bibi ni mvivu Fulani ni mtu wa kulishwa Kila kitu...

Nilishangaa na Mimi kusikia Kamala ndio mgombea wa kwanza mwanamke...

Kingine Samia siyo mtu wa kusikiliza na kutoa arguments, Bali wa Ndiyo ndiyo Kila unapomwabia kitu, nilisikia hii wakati Kamala anazungumza
Labda huko ughaibuni lkn Africa
mwanamke anatakiwa alee watoto tu na labda uSecretary sisi tumepigwa
 
Akiwa anasoma, kuna afadhali kidogo.

Lakini akiwa anaongea kutoka kichwani ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa], anapata shida sana.

Yaani Magu na Hangaya walichaguana wote wakiwa weupe kwenye hiyo lugha pendwa.

Muangalie na msikilize kwenye video hapo chini. Yale ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa] kwenye karatasi, anapata shida kuyaongea.

Anajiuma uma tu. Hajiamini. Mpaka hata taarifa za ukweli [facts] anazikosea.

Uchaguzi mkuu wa Marekani wa 2020 haukuwa uchaguzi wa kwanza wa nchi hiyo kuwa na mwanamke kama mgombea umakamu wa Rais.

Wakati Geraldine Ferraro anagombea kwenye tiketi moja na Walter Mondale, Hangaya alikuwa wapi?

Wakati Sarah Palin anagombea na John McCain, Hangaya alikuwa wapi?

Au alitaka kusema kuwa 2020 ndo mara ya kwanza kwa mwanamke kuwa katika tiketi iliyoshinda uchaguzi lakini akajiuma uma na akakosea hizo basic facts?

Halafu, ni ‘the United States and Tanzania have enjoyed excellent relations [siyo relation], for the last [past sounds much better] 60 years’.

Halafu kuna watu wanadai eti Hangaya yuko vizuri kwenye Kiingereza [emoji1787]. Ama kweli hii lugha ni janga la kitaifa.

Maana mtu yeyote aijuaye vizuri hiyo lugha hawezi kusema eti Hangaya yuko vizuri.

Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!

Kwenye sintaksia, semantiki, sarufi, kunyambua vitenzi, n.k., hawapishani sana. Wote mulemule tu.

Pia hajiamini akiona mzungu anatetemeka
 
Hii nchi vijana Wana agenda za kichoko sana.

Popote watakapokuwa Mbongo Mbongo tu, trash tu
 
Back
Top Bottom