[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jamani Rais wetu bora aongee kiswahili tu. Everyone have ndo nini?
Punguza jazbaShame on you!Majanga kitu gani! lengo lako kumdhalilisha rais wetu toka hapa wewe unajua kiingereza!.Maendeleo hayaletwi na kiingereza!
Acha kurushia keyboard mate..Shame on you!Majanga kitu gani! lengo lako kumdhalilisha rais wetu toka hapa wewe unajua kiingereza!.Maendeleo hayaletwi na kiingereza!
Hahah umepanick balaaShame on you!Majanga kitu gani! lengo lako kumdhalilisha rais wetu toka hapa wewe unajua kiingereza!.Maendeleo hayaletwi na kiingereza!
Halafu Prof Kabudi anapiga makosi pwa pwa pwa!Jamani Rais wetu bora aongee kiswahili tu. Everyone have ndo nini?
Unamaanisha ameongea hewa tupu?Duuu..hata analosema halieleweki.
Vipi hajasema huko "Pipo uzid tu dai in ze reeeeeeki"To wek tugeza ez bradhaz endi sisitaz!!!
Huyu mtu anatuaibisha!
Hyyu mlevi wa sifa ni majanga juu ya majangaVipi hajasema huko "Pipo uzid tu dai in ze reeeeeeki"
Jiwe ni mbishi nilimuandikia hotuba nzuri nikamwambia afanyie mazoezi wiki zima. Sasa leo anaongea kutoka kichwani/freestyle, ndio madhara yake hayo.Jamani Rais wetu bora aongee kiswahili tu. Everyone have ndo nini?