Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KyekyekyekyeVipi hajasema huko "Pipo uzid tu dai in ze reeeeeeki"
Jiwe.
Ndo maana huwa anaongea kirusi. Hivyo Rais wetu nae aongee kiswahili tu.we una angalia kingereza embu angalia alichoenda kukifanya kule malawi kina faida sana kwa taifa ndugu,.... swala la upanuzi wa bandari ya mtwara litaleta ajira kwa vijanaaa, miji kama ya nyasa itachangamka sanaa kibiashara,... ujenzi wa HEP project ni faida pia kwa taifa ..kingereza sio issue bro ata putin hajui english
Jamani Rais wetu bora aongee kiswahili tu. Everyone have ndo nini?
bora mieJamani Rais wetu bora aongee kiswahili tu. Everyone have ndo nini?
Mwanaume kujua kiingereza ni ushoga uliotukuka.Jamani Rais wetu bora aongee kiswahili tu. Everyone have ndo nini?