Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kweli aisee hebu ajifungie wiki moja tu akijifunza kiingereza atatoka yupo vizuri.Watanzania tujifunzeni kiingereza nimeona aibu kabisa na nipo mwenyewe sijui tungekuwa wengi ningeficha wapi sura yangu.
Hata kwenye TV hayo maneno yamekosewa.
Swala ni kufundishwa au swala ni kujua lugha ? Mbona kuna wavtz wanajua kifaransa na wamejifunza tu online ...acha kuwa na sababu za kizwazwa una urge kama hujaenda shule ... Kingereza anajua il sio fluent kama cha muingerezaPuttin amefundishwa kwa Kiingereza kwa miaka 17 kama magu ?
Acha ukilaza wewe.
Everyone have his own......Ni sahihi ????kiingereza cha darasa la tatu poti.We mwanamke unayebleed every 28 days shut up ypur mouth yani katika maneno yote aliyoongea correctly umeona tu every body have?
Kwanza gramatically yupo sahihi tatizo lako umekariri lugha !
Hivi wazungu wakija kwetu huwa wanaongea kiswahili sanifu?
So what? Wewe unaekijua unamzidi kwa lipi? Wivu tu na roho za kishetani zimewajaa.Acha kurushia keyboard mate..
Hajui Kiingereza.
Naomba ukubali ni mkali kwenye written lakini verbal mmmmh!.Aongee kiswahili tu!.Tabu zote za nini!.Mara ajifungie ajifunze to hell with english!.Aendelee kutumbua is what is at his best!Mswahili mwenye PhD aliyoiandika kwa kiingereza. Inashangaza jamani.
Kwanini asiongee Kiswahili?So what? Wewe unaekijua unamzidi kwa lipi? Wivu tu na roho za kishetani zimewajaa.
Watu weusi wengine ni wapumbavu sana aise
we wont everything to happen![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ushauri mzuri. Tukienzi kiswahili kipige mbio za gari Afrika na dunia nzima.Jamani Rais wetu bora aongee kiswahili tu. Everyone have ndo nini?
Mimi nimemzidi mengi tu..So what? Wewe unaekijua unamzidi kwa lipi? Wivu tu na roho za kishetani zimewajaa.
Watu weusi wengine ni wapumbavu sana aise
Hahhhahaha sasa kumbe alikuwa anajua kiswahili chake. Si angetamka tu tokea mwanzo Ujasiri amali.
Yai halijawahi kumuacha mtu salama, ilipanda mwewe haijaja kwa mtumbwiJamani Rais wetu bora aongee kiswahili tu. Everyone have ndo nini?
Hapana hata grama hayuko sawa. Nafikiri ilitakiwa aandikiwe kama hotuba . Mkuu kaongea broken mwanzo mwisho . hii ina reflect mfumo wetu wa elimu ambao haueleweki tuna emphasize lugha gani . cha mhimu ntacho kubaliana nawe nikwamba japo kababaika kwenye lugha , ujumbe wake ameufikishaWe mwanamke unayebleed every 28 days shut up ypur mouth yani katika maneno yote aliyoongea correctly umeona tu every body have?
Kwanza gramatically yupo sahihi tatizo lako umekariri lugha !
Hivi wazungu wakija kwetu huwa wanaongea kiswahili sanifu?
Mwenzetu mama yako sio mwanamke?We mwanamke unayebleed every 28 days shut up ypur mouth yani katika maneno yote aliyoongea correctly umeona tu every body have?
Kwanza gramatically yupo sahihi tatizo lako umekariri lugha !
Hivi wazungu wakija kwetu huwa wanaongea kiswahili sanifu?
your...... does the same thngWewe Muuza tako pale kona bar