Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu ewe mwenye akili fupi mbona Mh. rais kaongea vizuri tu, tena kaeleweka vizuri mno, ila kwa sababu nyie ni wapinzani mtapinga kila kituJamani Rais wetu bora aongee kiswahili tu. Everyone have ndo nini?
Kuna watu bado wanaakili za kitumwaWatanzania na sisi tumezidi jamani, muhimu kuelewana. Lugha ni kwaajili ya mawasiliano na hapo wamemuelewa hadi na makofi wamepiga. Hilo ndilo la msingi.
poleni Watz...Jamani Rais wetu bora aongee kiswahili tu. Everyone have ndo nini?
Umeandika pasipo kutulia. Kwani ulitaka kusema nini??Kwani hicho kingereza kwa waliomtangulia kimetufikisha wapi?
Hikihiki kiswahili chake now kimetufikisha mahala ambapo tumesogea.
Amezaliwa tanzania, atakufa na utanzania, Anawaongoza watanzania na yeye ni mtanzania na anakitangaza kiswahili cha tanzania ulimwenguni.
Ukumbuke ukalimani ni kazi kama kazi inayokufanya uishi.. kwa namna nyingine umedharau na umekidharirisha chama cha wakalimani.
Mwenzetu mama yako sio mwanamke?
Mbona unakosa hekima kiasi cha kuwatukana kina mama aisee, grow up men, jiheshimu, lets wisdom lead your way!!
Lafidhi ni nini?Sio lafidhi yake ndio inamponza?
Ukitukana ujue uwezo wako wa kufikiri ni mdogo mno.Umeishia hapo.Nyumbu ni hicho Kiingereza chako cha kipumbavu! mpuuzi wewe!
Ha ha ha; hujaelewa tu mkuu; huyo kaandika kinyume nyume - katumia 'irony' kwa maana ya the opposite of the literal meaning.Kuna watu bado wanaakili za kitumwa
Andika kiswahili English hujuiyour...... does the same thng
Uadirifu sifuri, rejea ripoti ya CAG. Kingeleza sifuri..sasa hii si ni balaaLugha siyo kigezo cha uadilifu au intelligence. Pole sana kwa kuwa na akili fupi.
wewe ni miongoni mwa mashabiki wa yule tapeli wenu ZZK, wala hatuhangaiki na ninyi maana tulishawajua na kelele zenu hazina madhara kabisa, si umeona juzi kati hapa yule mnafiki kaja eti nyeti nyeti habari ya IMF, hivi bado mnasemaje??? Hahahaha, viumbe msiotumia akili kabisaUadirifu sifuri, rejea ripoti ya CAG. Kingeleza sifuri..sasa hii si ni balaa
Vp kiingeleza chake unakionaje?wewe ni miongoni mwa mashabiki wa yule tapeli wenu ZZK, wala hatuhangaiki na ninyi maana tulishawajua na kelele zenu hazina madhara kabisa, si umeona juzi kati hapa yule mnafiki kaja eti nyeti nyeti habari ya IMF, hivi bado mnasemaje??? Hahahaha, viumbe msiotumia akili kabisa
Hatuzungumzii Kiingereza. Anajidhalilishaa, kwanini asiongee Kiswahili?Shame on you!Majanga kitu gani! lengo lako kumdhalilisha rais wetu toka hapa wewe unajua kiingereza!.Maendeleo hayaletwi na kiingereza!
Jamani Rais wetu bora aongee kiswahili tu. Everyone have ndo nini?