Kiingereza ni majanga kwa Rais wetu

Kiingereza ni majanga kwa Rais wetu

Status
Not open for further replies.
Jiwe ni mbishi nilimuandikia hotuba nzuri nikamwambia afanyie mazoezi wiki zima. Sasa leo anaongea kutoka kichwani/freestyle, ndio madhara yake hayo.


Ila genius wana free style. Ndivyo walivyo. Vingi wanakosea Ila wakipatia mambo yanakuwa vizuri sana.

Huyu Rais tumuheshimu, mumkosea kwa lugha nzuri, watu 50,000, 500,000 mnaojua Kiingereza mtaona anakosea, Ila sisi tusikiojua atatusikiliza pia, matusi, dharau, kejeri, kebehi si lazima.

Muhimu kama anakosea mkosoeni, bila matusi, dharau, kejeri, kebehi, utoto, kwamba ni Mshamba.

Yote hayo tunayajua, mmeyaongea sana, tujikite kwenye hoja.

Tuna nguvu kubwa ila tunawahamasisha vijana vibaya. Kutukana tu viongozi badala ya kujenga hoja. Tunakosea.
 
Wakuu kiingereza sio intelligent, sema kama hukijui ni vyema ukaongea kiswahili tu
 
Teteeni ujinga ! Baba wa Taifa aliwahi sema kuwa kila Mtanzania ana wajibu wa kujifunza kiingereza maana ndo kiswahili cha dunia hicho !sasa wewe umekaa nyuma ya keyboard unatemea mate tu,foolish kabisa
Watu hawaelewi kiswahili kule, mkalimani unnecessary cost for something magu can do himself regardless his faults every sane individual will understand him. Something nyumbus like you, can not comprehend.
 
Teteeni ujinga ! Baba wa Taifa aliwahi sema kuwa kila Mtanzania ana wajibu wa kujifunza kiingereza maana ndo kiswahili cha dunia hicho !sasa wewe umekaa nyuma ya keyboard unatemea mate tu,foolish kabisa

Sasa wewe baba, mama yako, babu bibi zako hawakijua hiyo lugha kwa hiyo ndio unawaita wajinga kabisa.
 
Shame on you!Majanga kitu gani! lengo lako kumdhalilisha rais wetu toka hapa wewe unajua kiingereza!.Maendeleo hayaletwi na kiingereza!
Hata mtoto wa darasa la saba anaweza kuongea vizuri kuliko yeye. Anamention kila mtu he/his other if hakuna mwanamke aliyekuwepo kwenye huo mkutano? Why mentioning gender in such a meeting. Halafu hakuna mantiki kwenye maongezi yake na wewe unakuja kumtetea? Phd holder kweli?
 
Hata mtoto wa darasa la saba anaweza kuongea vizuri kuliko yeye. Anamention kila mtu he/his other if hakuna mwanamke aliyekuwepo kwenye huo mkutano? Why mentioning gender in such a meeting. Halafu hakuna mantiki kwenye maongezi yake na wewe unakuja kumtetea? Phd holder kweli?

Tuseme ni darasa la saba, utamkubali kwa hoja na vitendo vyake?
 
Sijamaanisha hivyo mkuu ! Msisitizo hapa ni kuona kila mmoja akichukua hatua ya kujifunza

Muhimu kufanya Maendeleo kwa wananchi, umeme, maji, barabara, afya., makazi, ajira ( kazi)

Mfano kwenye
biashara na TRA, kilimo na bandarini, Airport hawako sawa. Ila tukiwatukana hii sera ya matusi itasaidia nini?

Muhimu kujipanga hata kupeleka petition. Tukiwa wengi tutafanikiwa.
 
Ni kuitetea nchi, kuwasaidia wananchi kiuchumi, kiakili, kuwasaidia kuendelea nk.

Wewe unafikiri ni Kujua Kiingereza? Wengi tu walikua wataalamu wa Kiingereza kama Kamuzu Banda walifanya nini kwa nchi zao?
 
Hapo nafasi ya balozi wetu wa Tanzania nchini Malawi kumuuma sikio Balozi Namba Moja wa Tanzania yaani Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuzingatia mila, desturi na diplomasia ya wenyeji (Malawi ) pia kuwa wanazungumza Kiingereza cha kushawishi, siyo cha kuburuzana,kufoka na kulazimishana n.k

Hivyo Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano bora angekuwa formal zaidi ktk kila hatua ya ziara yake kwa kusoma hotuba iliyoandikwa na wabobezi wa uandishi wa hotuba ktk Kiingereza iliyozingatia uungwana wa kidiplomasia.

Haya ya video ya maongezi ya tête-à-tête ( face-to-face meeting, or private conversation between two people) aliyo 'share' nasi muanzisha uzi Victoire amejaribu kuonesha mapungufu ya Balozi Namba Moja wa Tanzania na wachangiaji kujaribu kutoa suluhishi la kudumu kupambana na lugha ya kigeni hasahasa ziarani nje ya nchi na nafasi ya mabalozi wetu kusaidia viongozi wetu kujiandaa jinsi ya kufanya mawasiliano yatakayo weka nchi yetu ktk nafasi nzuri ktk mahusiano ya kikanda na kimataifa.

Tunaona uwakilishi wa kiwango bora zaidi iwapo hotuba itasomwa toka ktk maandishi moja kwa moja kama ktk clip hii
 
Umuhimu wa kuwa mahiri ktk mazungumzo ya aina zote za Tête-à-tête kwa viongozi wetu, mawaziri, mabalozi, viongozi wa vyama,mashirika n.k ktk lugha za kigeni ili 'kuitetea' nchi, kushawishi uwekezaji au kuitambulisha Tanzania n.k kwa ulimwengu.

Tête-à-tête with KOWA party presidential candidate, SINA FAGBENRO BYRON, who insists re-defining Nigeria’s national interest is the best way to solve the country’s burgeoning problems.
 
President Nana Akufo Addo : FULL Q & A at Oxford Union

Source : OxfordUnion
A fierce advocate of civil rights, President Akufo-Addo entered politics in protest to a series of human rights violations in Ghana. Elected to the Presidency as a champion of economic renewal, he has tackled corruption and overseen constitutional reform. His recent refusal to allow a US military base to be built on Ghanaian soil has been seen by many as a bold statement of national sovereignty. ABOUT THE OXFORD UNION SOCIETY: The Oxford Union is the world's most prestigious debating society, with an unparalleled reputation for bringing international guests and speakers to Oxford. Since 1823, the Union has been promoting debate and discussion not just in Oxford University, but across the globe.
 
Asha-Rose Migiro, former UN Deputy Secretary General, focuses on the UN Millennium Development Goals and efforts to reduce poverty, illiteracy and AIDS.
 
Part 1: Introduction to Harnessing the Investment Climate 2014 by Benjamin Mkapa, Former President of Tanzania & ICF Co-Chair.
 
Kuna mdada hapo yuko nyuma kabisa kule kushoto naona baada ya makofi anacheka kisiri siri...

Naona anatafutwa kupima mkojo kwa kumcheka malaika mkuu
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png

Ndiye mleta mleta !?
emoji1787.png
 
Part 1: Introduction to Harnessing the Investment Climate 2014 by Benjamin Mkapa, Former President of Tanzania & ICF Co-Chair.


Nimemsikiliza Mkapa angaonea vizuri, kwamba wawekezaji walindwe, kodi ziwe rafiki, rahisi kuzilipa, miundombinu iwe rafiki, imetulia. Wawekezaji wa ndani na nje wajengewe mazingira rafiki.

Naona tunajitahidi kwenye miundombinu, kwenye kodi, mazingira ya kibiashara bado sana.

Halafu Diaspora kwa mentality yetu ni maadui wetu, wanaweza kuwa Wanatumia na mabeberu.

Ukiangalia una watu kama million 2 nche ya nchi wa watoto, baba, mama, dada kaka wadogo zao Bongo. Wazalendo wa ukweli. Wanatumia pesa kweli kweli.

Kwanza wanachangia pato kuliko wa Tz wengi sababu kila mwezi wanatuma USD, EURO, pounds. Wapo Saudi Arabia, Dubai, South Africa, UK, USA, Malawi, Zambia, Uganda, German, France, Qatar, Kenya, Uganda. Nchi nyingi sana.

Ukipata record yao yote, ukiwa pa mazingira ya kuwekeza hata kuchangia hutakosa laki hapa, milioni sehemu nyingine.

Ni kwamba tumeamua tusiwatambue. Ni sehemu serikali inaweza ikitaka kuangalia kuwasajili diaspora wote, kuwawezesha kuwekeza nyumbani kwao bila vikwazo, kama umiliki, haki zao, hati, etc. Wanatakiwa wawe na haki sawa na kila mtu.

Hawa ukiwaunganisha watawaajiri wengi, watasaidia uchumi, hata mapato ya serikali sana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom