Kiingereza ni majanga kwa Rais wetu

Kiingereza ni majanga kwa Rais wetu

Status
Not open for further replies.
wi a sapoz tu helpu awaself πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acha ushamba ww kingereza sio ishu kwa watu wenye akili zao ila kwa sa babu una utumwa wa kifikra ndio maana unaongea upupu huo bila kufikiri na kufanya utafiti.nch za wenzetu wanapenda lugha za mataifa yao kushinda hyo lugha ya kishoga.

Sasa wewe ndio unaharibu, kama sio issue mbona mtukufu anataka kuongea?, si angeongea Kiswahili tu.
 
Kiingereza n lugha kama kinyamwezi...ko sio sihu sana...
Apa kaz tu
 
Mbona ameflow safi kabisa.mimi nilifikiri labda kuna ze ze, zat, zozi za hapa na pale lakin wala.viva bro.kwani ngeli inatupeleka mbinguni.kwa msomi aliyesoma kuanzia Dar la kwanza hadi phd bongo hicho ni kingereza cha juu sana kuwahi kutokea

usisahau pia walimu wetu wa englishi walikuwa wanatufundisha english kwa kiswahili. leo tunajifunza kuhusu matumizi ya noun na verb "Mc pilipili qouted"

Kwako lazima utaona "ameflow" safi kabisa, maana umefundishwa "englishi" sio English kama wengine.
 
Sasa wewe ndio unaharibu, kama sio issue mbona mtukufu anataka kuongea?, si angeongea Kiswahili tu.
MKUU SI MZEE WA COMEDIAN LAZIMA ACHOMBEZE KIDOGO NA ILE SAUTI LAZIMA WATU WACHEKE KIDOGO
 
Usitake ku justify upuuzi!! Eti putin hajui English!! Ndio kuhalalisha makosa ya jiwe?? Tatizo lake wala sio kuwa na zee, zeee nyingi bali ni makosa ya kiufundi, ambayo yapo wazi hata kwa mtoto wa grade 3 aliyefundishwa vizuri hawezi fanya,sasa phd holder kweli tenses nazo ni shida?!!! Mala matumizi ya, 'have' na has hujui!!?? Na english ndio lugha aliyoitumia kujifunzia toka darasa la kwanza hadi chuo kikuu?!!! Tofauti ya ai hostess na hostage hajui?!! Putin hata kama angekuwa hajui yeye English kwake sidhani kama ni lugha ambayo ameitumia kujifunzia darasani.
mzazi umenena, asante huyu poyoyo kakuelewa
 
Usitake ku justify upuuzi!! Eti putin hajui English!! Ndio kuhalalisha makosa ya jiwe?? Tatizo lake wala sio kuwa na zee, zeee nyingi bali ni makosa ya kiufundi, ambayo yapo wazi hata kwa mtoto wa grade 3 aliyefundishwa vizuri hawezi fanya,sasa phd holder kweli tenses nazo ni shida?!!! Mala matumizi ya, 'have' na has hujui!!?? Na english ndio lugha aliyoitumia kujifunzia toka darasa la kwanza hadi chuo kikuu?!!! Tofauti ya ai hostess na hostage hajui?!! Putin hata kama angekuwa hajui yeye English kwake sidhani kama ni lugha ambayo ameitumia kujifunzia darasani.
😁😁😁😁 bac mumsamehe buleee na ndo kashakuwa kiongpzi wenu ss mtake msitake
 
😁😁😁😁 bac mumsamehe buleee na ndo kashakuwa kiongpzi wenu ss mtake msitake
Hapo sawa!! Lakini tusianze ku justify upuuzi!! Shida ipo tukubali sio ohoo mala english haileti maendeleo!!!
 
you may think ni igizo la praimari kumbe ni kitu real kinatokea!
Jamani nimemsikilza leo akiongea kiingereza , yaani mpaka mimi mwenyewe nimeona aibu, kasema you marry her we marry there anamaana intermarriages yaani nimecheka kama namuona bambo aki act
 
Shame on you!Majanga kitu gani! lengo lako kumdhalilisha rais wetu toka hapa wewe unajua kiingereza!.Maendeleo hayaletwi na kiingereza!
ONLY WORK CAN SAVE US. TANZANIANS THEY WERE NOT WORKING EVER SINCE.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom