Kiingereza ni majanga kwa Rais wetu

Kiingereza ni majanga kwa Rais wetu

Status
Not open for further replies.
Masoko Malawi au wapi? Acha masihara
Kitu gani kimekukwaza dada yangu. Mbona mnajali vitu vidogo sana.

Jamaa yuko huko anatafuta masoko ya mazao yetu, tuchimbe mafuta na ndugu zetu, sisi tunaongelea lugha.

Muhimu tumuambie atembee zaidi, DRC, Zambia, South Africa, China, India, Germany, UK, France, Brazil, Saudi Arabia, Dubai, Qatar, Nigeria, Indonesia.

Masoko yote makubwa duniani tupate masoko ya bidhaa zetu hasa za kilimo, ni utoto kuzungumza kuhusu lugha.
 
Masoko Malawi au wapi? Acha masihara


Ndio nchi ya watu zaidi ya 18 milioni. Hawazalishi chakula cha kujitosheleza wakulima wa kusini wa mahindi, mchele, mbaazi, mihogo, njegere nk wanaweza kupata soko la kudumu.

Nini kinakushangaza? Kwamba Wamalawi pia ni binadamu wanahitaji chakula? Ila hawana uwezo wa kujitosheleza, sisi tunaweza kuwapa chakula kizuri bei poa. Win win situation tatizo wapi?

Ukizunguka hapa kwa majirani, soko ni kubwa sana Kenya 50m, Rwanda 12m, Burundi 10m, South Sudan 12m, Zambia17m, DRC 90m tumeisaidia sana kupata amani. Jumla watu zaidi ya millioni 200 wanahitaji chakula chetu, kupititia kwetu.

Hatujaenda Nigeria, Saudi, Qatar, Dubai, China, India, German, UK, USA, Canada, France?

Kama tunaweza ku-leverage these natural advantages tutawakomboa wakulima wetu. Tuanze na majirani.
 
Jamani Rais wetu bora aongee kiswahili tu. Everyone have ndo nini?


Hata Kiswahili chake siyo kizuri kivile sembuse Kiingereza, lakini alipata kuwa mwalimu wa sekondari---na waalimu ni wazuri sana wa lugha, sasa kulikoni??
 
Ndio nchi ya watu zaidi ya 18 milioni. Hawazalishi chakula cha kujitosheleza wakulima wa kusini wa mahindi, mchele, mbaazi, mihogo, njegere nk wanaweza kupata soko la kudumu.

Nini kinakushangaza? Kwamba Wamalawi pia ni binadamu wanahitaji chakula? Ila hawana uwezo wa kujitosheleza, sisi tunaweza kuwapa chakula kizuri bei poa. Win win situation tatizo wapi?

Ukizunguka hapa kwa majirani, soko ni kubwa sana Kenya 50m, Rwanda 12m, Burundi 10m, South Sudan 12m, Zambia17m, DRC 90m tumeisaidia sana kupata amani. Jumla watu zaidi ya millioni 200 wanahitaji chakula chetu, kupititia kwetu.

Hatujaenda Nigeria, Saudi, Qatar, Dubai, China, India, German, UK, USA, Canada, France?

Kama tunaweza ku-leverage these natural advantages tutawakomboa wakulima wetu. Tuanze na majirani.

Mkuu, hii ramani inaonyesha hali yetu ya kujitosheleza kwa chakula sio tofauti na nchi majirani ulizozitaja. Yaani, zingine hali yao ni hata bora kuliko yetu

1081396


Chanzo:https://images.search.yahoo.com/sea...o-nu/image_thumb4.png?imgmax=800&action=click
 
[emoji23][emoji23][emoji23] ila bana huyu mzee Phd yake sijui alidesa!
 
[emoji23][emoji23][emoji23] ila bana huyu mzee Phd yake sijui alidesa!
kwani vyuo vyetu havitumii ANTIPLAGIARISM software kubaini kama mwanafunzi kanakili kazi za watu wengine (copy & paste)??
 
Zinaweza zikawepo ila sio kila mtu atachunguzwa. This is Tz mkuu!


Sasa, kwanini mnazitilia mashaka Phd za watu??!, only because of poor communication skills!! Does it make sense??🤔, Aiii Wajameni hapa kazi tu!!
 
Sasa, kwanini mnazitilia mashaka Phd za watu??!, only because of poor communication skills!! Does it make sense??[emoji848], Aiii Wajameni hapa kazi tu!!
[emoji23][emoji23] kwahiyo plagiarism software ndo ulimaanisha inaweza tambua uhalali wa phd ya mtu .. daah haya bwana Ccm oyeee
 
Zinaweza zikawepo ila sio kila mtu atachunguzwa. This is Tz mkuu!

Navyojua, UDSM wapo very serious na uhalisia wa kazi za kitafiti kama vile PhD thesis. Kwa kawaida PhD theses zao zinakaguliwa na mkaguzi/wakaguzi wa nje (external examiners-mara nyingi ni maprofessor wa Universities za nje) kisha zinatetewa kwenye halaiki. Bado kuna mchakato wa kupata cheti cha "error-free" ndipo ichapishwe. Mi nadhani PhD ya Mkuu haina shaka, tuwaachie UDSM.
 
[emoji23][emoji23] kwahiyo plagiarism software ndo ulimaanisha inaweza tambua uhalali wa phd ya mtu .. daah haya bwana Ccm oyeee


Muulize aliyeitaja hiyo soft ware ina kazi gani?!.
 
[emoji23][emoji23] kwahiyo plagiarism software ndo ulimaanisha inaweza tambua uhalali wa phd ya mtu .. daah haya bwana Ccm oyeee

Hapana, kazi ya antiplagiarism software siyo kutoa HUKUMU kuwa PhD ya Massawe/Ndyetabula ni halali au sio halali. Kazi yake ni kuzitambua sentesi zilizonakiliwa kutoka kazi za watu wengine "kama zilivyo". Hukatazwi kunakili sentesi za wenzio toka kwenye maandishi au majarida yao, ILA lazima uwataje kuwa ndio chanzo/vyanzo vya sentesi husika. Kutofanya hivyo ni kosa. Majarida mengi na maktaba zenye hadhi na kutambulika duniani zinatumia hizi software. Pia, waalimu wengi wa vyuo kwenye nchi za wenzetu kwa sasa huwa wanazitumia ili kujilinda na wanafunzi wasio waaminifu wanaoiba kazi za wenzao bila mwalimu kujua kwamba kazi aliyoletewa sio halisia.

Lakini, kwa kazi ya PhD kama ile ya Mkuu, kwanza lazima ilianza na mswada (proposal). Mswada sio suala la mwanafunzi na Mwalimu tuu, linapitia mchakato wa kukaguliwa na kutetewa ndani ya Idara husika. Na ujue ndani ya Idara husika ndipo wapo wabobezi wa mada yako. Ni vigumu kuleta mswada wa mtu mwingine ambao tayari umeshachapishwa kama thesis kwenye Idara yako labda kama hujitaki kwa vile waalimu wabobezi watakuumbua kabla ya mitambo kama Google Scholar kuionyesha mpaka ilipo na mwaka iliyochapwa. Kitaaluma, haikatazwi kuiga MADA (topic) kisha ukaielekeza eneo lako kwa vile itakuwa bado in utafiti mpya.

Antiplagiarism software inakuja kumsaidia mwalimu wako au jarida au maktaba kutambua kama ulichokiandika ni chako (original) au umenakili sentensi na ma-paragraphs za wenzio yaani kama copy & paste. Kwa kawaida kazi za copy and paste HAZIVUKI hatua hii.

Jisomee mifano ya software husika:https://windowsreport.com/plagiarism-software/
 

Unajua Mkuu nimetembea huko vijijini kuanzia Lindi, Mtwara, Ruvuma, Iringa, Mbeya, na Tanga kwa kama miezi mitatu hivi nimekaa na wakulima, kwa kifupi mazao mengi yanaharibika shambani.

Barabara hazipitiki misimu flani Ukosefu wa mbolea, Tractors, vifaa vya irrigation.

Ila uwezo wa Tanzania bado ni mkubwa. Tatizo lingine ni soko unavuna mahindi halafu hakuna soko, unakata tamaa. Mwaka ujao haulimi tena kwa nguvu.

Kuna matatizo mengi yanayoweza kutatuliwa tukiwa makini.
 
Kwasisi wanafunzi wa kipindi hicho kutoka senti kayumba naamini tumemuelewa vizuri kabisa muheshimiwa Rais.
Wi sapozid tu muvu tugeza in tuze wani dailektion

Hash#Only work,
Hash#Hapa kazi tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom