Kiingereza ni majanga kwa Rais wetu

Kiingereza ni majanga kwa Rais wetu

Status
Not open for further replies.
Kiingereza pia ni majanga kwa rais wa china, ufaransa, kamsela wa ujeeumani. Sasa sijui unataka kusemaje
Wa Ujerumani anaongea kinge vizuri kabisa. Ujerumani kinge wanakisoma tokea shule ya msingi sambamba na kijerumani though kinge siyo lugha yao ya taifa. Macron nae kinge anakijua though siyo lugha yake ya taifa. Tanzania kinge ni lugha yetu ya taifa sambamba na kiswahili.
 
Wew ushawahi kumsikia angela akiongea kiingereza? Macron nimeshamsikia anaongea broken kabisa. Msikilize R anatamkaje. Acha uongo hapa kwa vile wazungu bas unawatetea. Wew hujui kiingerza ndo maana wasiojua wenzio wakiongea unaona wanajua
Wa Ujerumani anaongea kinge vizuri kabisa. Ujerumani kinge wanakisoma tokea shule ya msingi sambamba na kijerumani though kinge siyo lugha yao ya taifa. Macron nae kinge anakijua though siyo lugha yake ya taifa. Tanzania kinge ni lugha yetu ya taifa sambamba na kiswahili.
 
Wew ushawahi kumsikia angela akiongea kiingereza? Macron nimeshamsikia anaongea broken kabisa. Msikilize R anatamkaje. Acha uongo hapa kwa vile wazungu bas unawatetea. Wew hujui kiingerza ndo maana wasiojua wenzio wakiongea unaona wanajua
Macron haongei broken. Sema anaongea english yenye lafudhi ya kifaransa.
 
Macron haongei broken. Sema anaongea english yenye lafudhi ya kifaransa.
Anaongea broken pia acha kumtetea. Nishamsikiluza sana. Kama some english words anatamka kifarabsa hiyo ni broken tayari. Au sababu yeye ni mfaransa. Huo ushamba tumeshatoka huko zamani acha kutuaminisha mambo ya zamani. Sas hivi tunaona kila kitu.
 
Jamani Rais wetu bora aongee kiswahili tu. Everyone have ndo nini?
Kwamba "let develop togethers"......

Uyu British council wanamuhusu pale Posta

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Ulitaka aseme every one has? ( each person, each one!)

Reciprocal pronoun au indefinite subjective pronouns za Ebonic English zinakwenda kinyume? kwenye verb auxiliaries zote, na kwa nini?
huyu ameongea EBONIC English hii ni sub branch ya zile English saba za kimataifa! ajabu wewe unatafsiri British English! usikariri mkuu muelewe! ands, na haves ni aina ya figurative lkn watu mnabisha,
 
msukuma mwenzangu huyu, wote hatujui kingereza, ndio maana hata nje hatusafiri, na tungekijua mngekoma, yaani kujua urefu wa barabara na idadi ya samaki tunasumbua nchi nzima, je kingereza tungekijua?
Mie simo mkuu, maana ya Ben8 bado yapo
 
Jamani Rais wetu bora aongee kiswahili tu. Everyone have ndo nini?

Kwa hakika bora angeongea hata kisukuma. Mbona angeeleweka vizuri tu?

Taabu yake kiingereza anakipenda na bahati mbaya kimempitia kushoto.
 
Kesho wageni kutoka sehemu mbalimbali duniani watawasili kutoa pole msibani.
 
Kwa hakika bora angeongea hata kisukuma tu. Mbona angeeleweka vizuri tu?

Taabu yake kiingereza anakipenda na bahati mbaya kimempitia kushoto.
Magu kingereza mbovu sana,jana niliangalia interviews nyingi za B.Mkapa alizofanya kwa kingereza. Mkapa anajua Kingereza utafikiri kakulia London. Kweli Mkapa alisoma na aliyoyasoma aliyaelewa. Kweli Mkapa alikuwa kaaelimika.
 
msukuma mwenzangu huyu, wote hatujui kingereza, ndio maana hata nje hatusafiri, na tungekijua mngekoma, yaani kujua urefu wa barabara na idadi ya samaki tunasumbua nchi nzima, je kingereza tungekijua?
Kinge ndo barrier ya mtu kutosafiri nje. Hakuna lingine. Imagine unapata video anaongea na Bojo. Wallah tungevunjika mbavu humu.
 
Magu kingereza mbovu sana,jana niliangalia interviews nyingi za B.Mkapa alizofanya kwa kingereza. Mkapa anajua Kingereza utafikiri kakulia London. Kweli Mkapa alisoma na aliyoyasoma aliyaelewa. Kweli Mkapa alikuwa kaaelimika.

Ajabu na kweli ni kuwa kuna mijitu ina kasirika kuliko maelezo ukweli wowote hata wa wazi kama huu wakisikia kuwa umeanikwa.

Utasikia kwani Xi Ping, Putin, Merkel, Macron, nk wanajua kiingereza?

Unajiuliza waliwahi kuwasikia hao wakichapia chapia hivi?

Kwa kweli hata watoto wa "a petty kindergarten school" hawako na kiwango cha chini cha kiingereza kiasi hiki.

Mr. President: "if you like, you've to better your English. Short of that, hata kisukuma mkuu, unajiaibisha!"
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom