Kiingereza ni majanga kwa Rais wetu

Kiingereza ni majanga kwa Rais wetu

Status
Not open for further replies.
Mpuuzi kweli kweli wewe, kwa hiyo makonda hana vyeti vya kufoji? Daud Bashite ni nani?

Hatuangalii cha certificate wala nini, hapa tunachoangalia utendaji wake wa kazi jamaa alikua anajituma sana, na alikuwa msaada kwa wagonjwa, walemavu n.k. ebu niambie wa kabla yake nani aliefanya hayo??


Si ajabu wewe ni chaggadema,,,na uraisi mtausikia tu.
 
Hatuangalii cha certificate wala nini, hapa tunachoangalia utendaji wake wa kazi jamaa alikua anajituma sana, na alikuwa msaada kwa wagonjwa, walemavu n.k. ebu niambie wa kabla yake nani aliefanya hayo??


Si ajabu wewe ni chaggadema,,,na uraisi mtausikia tu.
We Bashite una nini lakini? Hizo sifa zako FAKE inamaana Wajumbe huko Kigamboni hawakuziona eti?
 
Hatuangalii cha certificate wala nini, hapa tunachoangalia utendaji wake wa kazi jamaa alikua anajituma sana, na alikuwa msaada kwa wagonjwa, walemavu n.k. ebu niambie wa kabla yake nani aliefanya hayo??


Si ajabu wewe ni chaggadema,,,na uraisi mtausikia tu.
Hizo ndio kazi za mkuu wa Mkoa?

Kazi za RC kwa akili zako matope;
1; Kusaidia Wagonjwa.

2. Kusaidia Walemavu.

3. Kusaidia kupatanisha ndoa na wajane waliodhulumiwa.

4.Kuvamia clouds.


KAZI ZA KANDORO/MAKAMBA

1. Kusimamia zoezi la kuondosha wavamizi mabondeni na kupatiwa viwanja mabwepnde.
2. Kusiamia ujenzi wa miundombinu ya DART.
3Kupambana na wauza uchi kinondoni moscow, samora, makaburini na sinza.
4. kutafuta wawekezaji wa kimataifa kupitia EPZ.
5. Kusimamia wilaya zote za Dar, na shule.

NB: Wewe kidogo uwe ndondocha, maana akili yako ipo hivyo.
 
We mwanamke unayebleed every 28 days shut up ypur mouth yani katika maneno yote aliyoongea correctly umeona tu every body have?

Kwanza gramatically yupo sahihi tatizo lako umekariri lugha !
Hivi wazungu wakija kwetu huwa wanaongea kiswahili sanifu?
Acha matusi na ushamba we mbwa..... Kwani Malawi ni kwa wazungu?
 
Jamani Rais wetu bora aongee kiswahili tu. Everyone have ndo nini?
Waabongo wengi mko kama mna umtindio wa ubongo, sijui mliambiwaga na nani kua kingereza ndiyo uungu huku duniani,wanaoomgea hicho kingereza bado hawawezi kuongoza nchi kwa kiwango chake,sasa hiyo lugha ya washenzi inasaidia nini hapa Afrika? Nyie ndo wale ambaokipeleka watoto shule hizo wakiongea lugha ya kigeni mnaamini wako vizuri na kujisifia mitaani kua mtoto wako anaongea kingereza na mwisho wa siku toto linaishia kua lishoga
 
Wamalawi wanajua watanzania ndo tuko hivo kama unadhani kaabika rais mwenyewe you are wrong! wewe pia umeaibika!
Wewe ndo uko hivo sio watz..... Mi najiuliza tu wkt wenzake wanajifunza kiingereza yeye alikua anafanya nini??

Hii aibu wakenya wakisikia si itakua balaa😀😀
 
Kajamb
Shame on you!Majanga kitu gani! lengo lako kumdhalilisha rais wetu toka hapa wewe unajua kiingereza!.Maendeleo hayaletwi na kiingereza!
Kajambe huko mliambiwa mkimbie kweshen tags!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom