Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Hii thread inamdhalilisha Raisi
Haimdhalilishi ila yeye ndiye anajidhalilisha kuongea lugha asiyokuwa na ufasaha nayo wakati angeweza kuongea Kiswahili au Kisukuma na zikatafsiriwa kwa kiingereza.
Kwahiyo post hii ni kama inampa taarifa tu kwa sababu mleta post hawezi kwenda Ikulu kumueleza jambo hili,---- na hii ndiyo faida ya huu ukumbi na wapo wahusika bila shaka watamfikishia hizi taarifa.
Na kumbuka kutojua Kiingereza siyo fedheha bali kuongea kulazimisha kuongea lugha usiyoiweza wakati zipo zile unazoweza hapo imekaa vibaya.😁😁