Kiingereza ni majanga kwa Rais wetu

Kiingereza ni majanga kwa Rais wetu

Status
Not open for further replies.
Kwani hicho kingereza kwa waliomtangulia kimetufikisha wapi?

Hikihiki kiswahili chake now kimetufikisha mahala ambapo tumesogea.

Amezaliwa tanzania, atakufa na utanzania, Anawaongoza watanzania na yeye ni mtanzania na anakitangaza kiswahili cha tanzania ulimwenguni.

Ukumbuke ukalimani ni kazi kama kazi inayokufanya uishi.. kwa namna nyingine umedharau na umekidharirisha chama cha wakalimani.
Hii lugha ya malkia si ya kukurupukia hovyo!

Jiwe amejiaibisha sana. Bora angeongea Kiswahili
 
Hiyo ni lugha tu.mbona ambao hawajui vzur kiswahili wanajua lugha zao kama waingereza inakuwa sio issue akikosea kiswahili,hapo sion tabu maana sio yake mama!au tatizo kiingereza Tanganyika ni LUGHA ya kisomi.
 
Kwani tunataka kiingereza cha nini? Kama anaekeweka inatosha. Hatukutumia kigezo cha lugha kumchagua Rais.
 
Acha ushamba ww kingereza sio ishu kwa watu wenye akili zao ila kwa sa babu una utumwa wa kifikra ndio maana unaongea upupu huo bila kufikiri na kufanya utafiti.nch za wenzetu wanapenda lugha za mataifa yao kushinda hyo lugha ya kishoga.
Jamani Rais wetu bora aongee kiswahili tu. Everyone have ndo nini?
[/Q
 
mwacheni bana raisi wetu mbona ameongea safi tu ingawaje flow yake kidogo hipo kisukuma zaidi[emoji23][emoji23] sio zile asemaga mwenyewe u know u know hata Marekani hajaenda
 
Asilimia 86 ya wamarekani hawajui kusoma na kuandika na wanaongea hicho kiingereza unachodhani ni usomi.
Tuache kuwa watumwa wa fikra bora baba j akosolewa kwa utendaji sio hiyo lugha ya mashoga
 
Jamani Rais wetu bora aongee kiswahili tu. Everyone have ndo nini?
katia moyo konde, kaongea kingereza chake cha Ras Simba , ila nampongeza aise, na nawashauri UVCCM waweke mabango ya kumpongeza kujitahidi kuongea kingereza
 
mwacheni bana raisi wetu mbona ameongea safi tu ingawaje flow yake kidogo hipo kisukuma zaidi[emoji23][emoji23] sio zile asemaga mwenyewe u know u know hata Marekani hajaenda
phd yake ina kingereza kizuri tu, watanzania sijui mna shida gani, kwani kiswahili chake si kizuri tu
 
Ukweli Rais hajui kiingereza. Ni aibu kubwa kwa mtu mwenye PhD.
Mchakato wa PhD unatoa mwanya kwa wanaopitia sura (chapters) za andiko lako (thesis) kurekebisha penye makosa. Pia ipo fursa ya kumtumia mzungumzaji wa kiingereza kama lugha mama kukurekebishia LUGHA sehemu fulani fulani. Kwa maana hiyo NDIYO inawezekana 100% kwa mwenye PhD iliyoandikwa kwa kiingereza kukiboronga pale anapokuwa mwenyewe na akakizungumza. Kwa vyuo vikuu vya ulaya tatizo hili linawakumba sana wasio wazungumzaji wa kiingereza kama vile Wachina. Tatizo la jumla ni kwamba kwa nchi ambazo ni wanachama wa Jumuiya ya Madola basi inatarajiwa HASWA wasomi wake KUTOKUWA na upungufu wa lugha ya kiingereza kwa sababu ndiyo lugha ambayo mara nyingi hutumika kama lugha ya kufundishia mashuleni na vyuoni.

Kwa nchi kama Tanzania yote haya ni kujitesa bureeeeee. Navyoona mimi ni kheri kuamua moja, kama tunaamua kuwa miamba wa kiswahili duniani tuamue JUMLA na kutumia kiswahili na kukifanya kiingereza kama somo na lugha ya hiari. Sijui kwa nini huwa Wa-TZ tunajihisi udhalili kutotumia Kiingereza kwenye mikutano na halaiki za kimataifa. Nakumbuko Rais Chissano wa Msumbiji ndiye aliyediriki kuhutubia kwa kiswahili kwenye mkutano wa AU badala ya Kireno http://news.bbc.co.uk/2/hi/africa/3871315.stm japo lugha hiyo haikuwa lugha mama kwake. Ilitarajiwa basi M-Tz ndiye angeazisha hii kitu.
 
we una angalia kingereza embu angalia alichoenda kukifanya kule malawi kina faida sana kwa taifa ndugu,.... swala la upanuzi wa bandari ya mtwara litaleta ajira kwa vijanaaa, miji kama ya nyasa itachangamka sanaa kibiashara,... ujenzi wa HEP project ni faida pia kwa taifa ..kingereza sio issue bro ata putin hajui english
Usitake ku justify upuuzi!! Eti putin hajui English!! Ndio kuhalalisha makosa ya jiwe?? Tatizo lake wala sio kuwa na zee, zeee nyingi bali ni makosa ya kiufundi, ambayo yapo wazi hata kwa mtoto wa grade 3 aliyefundishwa vizuri hawezi fanya,sasa phd holder kweli tenses nazo ni shida?!!! Mala matumizi ya, 'have' na has hujui!!?? Na english ndio lugha aliyoitumia kujifunzia toka darasa la kwanza hadi chuo kikuu?!!! Tofauti ya ai hostess na hostage hajui?!! Putin hata kama angekuwa hajui yeye English kwake sidhani kama ni lugha ambayo ameitumia kujifunzia darasani.
 
Haya madanga ya zama zile yanakera kweli, tunajua maisha yamebana na mjipange kuzoea kutokuishi kwa vyupi, eti kingeleza..utumbo mtupu, wamekuambia hawajaelewa?
Mkuu povu la nini? Hapa ndipo waafrika tunapokuwa wanafiki wakubwa, hoja iliyopo je ni kweli kingereza alichoongea kipo sahihi? Grammatically?, na mbona ni makosa ya kitoto sana kwenye lugha? Na makosa yake mengi ni hayo hayo siku zote na kwenye tenses!! Unakuja mala kuishi kwa vyupi hayo yanatoka wapi?
 
huyo mkuu wa Uingereza anajua kiswahli? Tumia akili. Putini hajawahi kuonge kiingereza lakini anakijua, toa akili zako utumwani. Utakuwa PhD Holder bila kujua kiingereza? na hata usipojua so what?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom