KIINI CHA KUFUNGWA SHULE YA SEKONDARI KIBITI (Vurugu zenye mlengo wa kidini)

KIINI CHA KUFUNGWA SHULE YA SEKONDARI KIBITI (Vurugu zenye mlengo wa kidini)

Kuna mambo mengine sio vizuri kuyaendekeza kabisa lazima waisilamu wasipende kuwa na mtazamo wa kuwa kila jambo wanaonewa,issue ya uongozi ni vema wakafaight maana ni demokrasia na sio upendeleo.
 
hatua za kisheria zichukuliwe dhidi ya huo upotovu wa imani; hakuna imani inayoruhusu kuiharibu imani ya watu wengine. Mwenyezi Mungu hapiganiwi na waovu bali yeye ana nguvu za kutosha ambaye kiumbe yeyote hawez kuzifikia. Mungu ibariki Tz, UVUMILIVU UNA MWISHO ..NA IKUMBUKWE KUWA MAPAMBANO HAYANA MACHO:shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth:
 
Amani ni muhimu kwa usitawi wa jamii yetu, hawa vijana wanaojiingiza katika masuala ya kupoteza amani mashuleni wadhibitiwe mapema ili kuepusha usumbufu kwa wapenda amani na usitawi wa elimu kwa ujumla. Kibiti secondary ni miaka michache iliyopita matukio kama haya yaliwahi kutokea wenzao wakahamishwa shule ,leo yanaanza kutokea tena. Kumbuka serikali haina dini hivyo angalia madai yenu yanaendana na mahali mlipo? mfano madai ya nyumba za kuabudia, kujitenga mahali pa kulala, kula, kuoga, mwisho mtadai na madarasa ya kwenu wakati mnajua wote mlikutana bila kujuana imani yenu hapo kabla walahamkuletwa hapo kwa sababu ya imani yenu. soma kwa bidii ili ujikomboe namana ya kufikiri ewe kijana. Kwa upande wa Walimu acheni kuwapotezea wanafunzi kwa kuwadanganya kudai vitu ambavyo wewe hukudai wakati unasoma maana huo ni uvivu wa kufanya yale yaliyopo katika malengo yako wewe na wengine hapo shuleni. CHONDE CHONDE EPUKENI HAYA.
 
mtoa hoja ulijaribu kuwauliza waislam au umechukua hoja kutoka upande mmoja na kutuletea ***** wako hp?
 
nimeipenda hii kafiruna! Ni unadhani waislam wote ni mburura kama wewe? Daka ukweli aliokupasia umjulishe na shehe wako. Ni kweli daily mko bize na UPUMBAVU, badilikeni kwa hiyari tu mandevu!

th
 
ndugu zangu hali si shwari kabisa,kuna kikundi nasikia wanajiita wanaitikadi kali waliingia mwanza wiki mbili zilizopita kwa adhma ya kuchoma makanisa,bahati nzuri au mbaya walishtukiwa na makachero wa kikristu,alhamisi iliyopita maaskofu wa mkoa wa mwanza walikaa kikao kirumba kufanya upembuzi yakinifu jinsi ya kuwadhibiti hawa jamaa,na hitimisho ilikuwa ni kutoa taarifa polisi pamoja na kulinda makanisa(waumini husika),hii ndo hali ilivyo kwa sasa,SOUrce mie mwenyewe from Kanisani!!!
 
Mbona ndiokwanza harakati zinaanza wcristo mnaanza kujamba baada ya kuchoma makanisa sasa tuna kuja na mziki wa bokoharam mpaka tuna komboa nchiyetu tuliyo mkabidhi baba yenu nyerere kwahiyo napenda niwaambie kwamba dhulma ime fika mwisho
Halafu unaweza ukakuta ni jitu kubwa tu lakini kichwani hakuna kitu. Hivi wewe akitokea sheikh mjinga mjinga akakufundisha kitu, kwa nini usipime maneno yake badala ya kuyachukua kama yalivyo? yaani sheikh aache kukufundisha mambo ya kiroho, akufundishe karate, tena muda ambao wenzako wanasoma, hivi zimo kichwani kweli?
 
Halafu nijuavyo mimi ni kwamba waisilamu wanaipinga elimu ya Magharibi (Boko Haram na Taleban waliompiga risasi yule msichana wa kiPakistan wameeleza wazi kuwa elimu ni kinyume na mafundisho ya qurani). Sasa najiuliza, huko shuleni Kibiti, Bagamoyo na Ndanda waisilamu wanatafuta nini? Na huko NECTA kwa Ndalichako wanataka nini hali elimu ni kinyume na qurani?
 
Shule hii ni ya A level, inakusanya wanafunzi kutoka sehemu mbalimbali za nchi hii. Kadhalika ina walimu kutoka sehemu mbalimbali. Ila kuna mwalimu katika majina yake kuna herufi hizi NJL should be watched more than once with an extra eye.

Iko katika Bonde la Mto Rufiji na niliwahi kunong'onezwa kwamba ilijengwa na wa-Israeli (wayahudi) miaka hiyo tulipokuwa na ushirikiano nao.

Mimi nimesoma hapo miaka ya tisini .shule hiyo imejengwa na wa cuba.nilikuwa nakaa bweni la moringe
 
Back
Top Bottom