Kiini cha matatizo ya Zanzibar, Mapinduzi ya mwaka yaliyomwondoa Sultani

Kiini cha matatizo ya Zanzibar, Mapinduzi ya mwaka yaliyomwondoa Sultani

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,207
Reaction score
13,839
SMZ, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, ni matokeo ya mapinduzi yaliyo mwondoa Sultani wa Zanzibar mwaka 1964.

Siyo siri, mgawanyiko wa kiasili uliokuwepo kwa karne na karne huko Zanzibar hadi leo bado upo.
Wakati SMZ, iliundwa na waliopindua, haswa waafrika, waliopinduliwa walikuwa waarabu.

Katika kujadili matatizo ya CUF, na CCM-Zanzibar kiini hiki hakiwezi kukwepeka.
Vile vile siyo siri kuwa kwa sasa waliowengi wanaoiunga mkono CUF ni wale waliopinduliwa na wanaoiunga mkono CCM Zanzibar ni waafrika na wasirazi waliopindua serikali ya Sultani wa Zanzibar.

Mgawanyo wa wananchi wazanzibar uko katika misingi hiyo, na haya tumejaribu ati muafaka wa kitaifa haujaondoa tofauti baina ya makundi hayo.

Kwa mantiki hiyo, kama alivyosema mama mmoja mwafrika/mshirazi, pale bungeni Dodoma, kuondoa SMZ kwa karatasi(kura) ni ndoto ya mchana.
 
Nassoro Moyo naye alipinduliwa, Himid naye alipinduliwa? Mbona tumewasamehe wazungu waliotutosa kwa mamilioni mediterania...You are Pigmies of History who believes in Permanent Past!!
 
masopakyindi,

..mbona nchi nyingine zilizopinduliwa zimerejesha utawala wa kidemokrasia na chaguzi zinafanyika bila matatizo?

..Ghana na Nigeria ni mfano wa nchi ambazo kulitokea mapinduzi zaidi ya mara moja, lakini sasa hivi zimerejesha demokrasia ya vyama vingi, na vyama vya siasa vinapokezana madaraka.

..waliopindua na waliopinduliwa wote ni wa-Zanzibari. Kwa msingi huo wote wana haki sawa ya kuchagua viongozi, au kuchaguliwa kuongoza Znz. hakuna mwenye haki dhidi zaidi ya mwenzake.

..Sisi wa-Tanganyika tuna wajibu wa kuwasaidia wa-Znz kuwa wamoja, kuondokana na ubaguzi, pamoja na kuheshimu, kulinda, na kuhifadhi haki ya kila m-Znz kupiga na kupigiwa kura. wa-Tanganyika hatutakiwa kusaidia upande mmoja ya wa-Znz dhidi ya mwingine.

NB:

..kwa uelewa wangu Sultani Jamshid aliyepinduliwa mwaka 1964 alikimbilia Uingereza. Mababu zake huyu Sultani walitokea Oman, lakini yeye hana haki na Usultani ulioko Oman sasa hivi. Hili ni somo pana kidogo la historia.

cc GHIBUU, Barubaru
 
Last edited by a moderator:
SMZ, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, ni matokeo ya mapinduzi yaliyo mwondoa Sultani wa Zanzibar mwaka 1964.

Siyo siri, mgawanyiko wa kiasili uliokuwepo kwa karne na karne huko Zanzibar hadi leo bado upo.
Wakati SMZ, iliundwa na waliopindua, haswa waafrika, waliopinduliwa walikuwa waarabu.

Katika kujadili matatizo ya CUF, na CCM-Zanzibar kiini hiki hakiwezi kukwepeka.
Vile vile siyo siri kuwa kwa sasa waliowengi wanaoiunga mkono CUF ni wale waliopinduliwa na wanaoiunga mkono CCM Zanzibar ni waafrika na wasirazi waliopindua serikali ya Sultani wa Zanzibar.

Mgawanyo wa wananchi wazanzibar uko katika misingi hiyo, na haya tumejaribu ati muafaka wa kitaifa haujaondoa tofauti baina ya makundi hayo.

Kwa mantiki hiyo, kama alivyosema mama mmoja mwafrika/mshirazi, pale bungeni Dodoma, kuondoa SMZ kwa karatasi(kura) ni ndoto ya mchana.

watu wengi hawajui historia hii ya Zanzibar.

kuna makundi matatu
1. waafrika weusi (waliofanya mapinduzi wengi walikuwa ni vijakazi, na waosha uchafu wa waarabu)
2. waarabu wa omani (hawa ndio waliopinduliwa na kufukuzwa visiwani (aliyekuwa sultani wa Zanzibar ni mu Omani)
3. Washirazi (hawa ni watu wa kati kipindi cha Sultani kabla ya mapinduzi, ni mixed wa arabu na watu weusi)

haya makundi matatu, mawili la kwanza na la tatu yanataka kuendelea kuwa kwenye muungano, wakati hilo la pili wanajaribu kuleta vita kutoka nje ili warudi tena kuendeleza utawala

vita hiyo ya chini chini iko tangu mapinduzi yatokee na Bara haitaruhusu tuwe na utumwa infront of our doors step.
 
Huo wako ss ni uongo, unaanza kuleta ubaguzi kwa hapo umefail
 
watu wengi hawajui historia hii ya Zanzibar.

kuna makundi matatu
1. waafrika weusi (waliofanya mapinduzi wengi walikuwa ni vijakazi, na waosha uchafu wa waarabu)
2. waarabu wa omani (hawa ndio waliopinduliwa na kufukuzwa visiwani (aliyekuwa sultani wa Zanzibar ni mu Omani)
3. Washirazi (hawa ni watu wa kati kipindi cha Sultani kabla ya mapinduzi, ni mixed wa arabu na watu weusi)

haya makundi matatu, mawili la kwanza na la tatu yanataka kuendelea kuwa kwenye muungano, wakati hilo la pili wanajaribu kuleta vita kutoka nje ili warudi tena kuendeleza utawala

vita hiyo ya chini chini iko tangu mapinduzi yatokee na Bara haitaruhusu tuwe na utumwa infront of our doors step.

Mkuu asante kwa kufafanua.
Wengi hawaijui kabisa historia na migawanyiko inayotokana na historia ya kibaguzi huko Zanzibar na Pemba

Mimi nimeishi huko na hadi leo kuna watu wanakuwa classified kama watwana na wengine ni wale waungwana au waliostaarabika.

Ni hizi set racial/class divisions ambazo miaka nenda rudi kura za Wapemba , ambako watu wenye asili ya desendants wa waarabu wanaji identify na CUF for historical reasons wakati wale wa Afro Shirazi Party wako CCM
 
Nassoro Moyo naye alipinduliwa, Himid naye alipinduliwa? Mbona tumewasamehe wazungu waliotutosa kwa mamilioni mediterania...You are Pigmies of History who believes in Permanent Past!!

Usitake kupindua maneno ukweli uko palepale.hiyo mifano ya akina moyo hao ni watumwa wa asili wa kifikra
 
JokaKuu
Mkuu suala la Zanzibar ni unique, halina mfano wa kulinganisha duniani.
Hata Mwalimu aliwahi kusema angekuwa na uwezo kuliko kujiingiza kutstua mambo ya Zanzibar ange vivuta vidiwa hivyo hadi katikati ya bahari Hindi ili viwe mbsli nasi.
Matatizo ys Zanzibar ni very complex. Hata hivyo matatizo hayo yanatikana na historia yake yenyewe ,historia ambayo haipo pengine popote.

Zanzibar ina historia ya ubaguzi
Zanzibar ina historia ya ukandamizaji kwa asili ya rangi
Zanzibar ardhi ilikuwa kwa watu fulani tu
Ni Zanzibar tu unapata kada ya wakwezi na watwana-watu ambao toka utotoni walilelewa kitumwa ili kutumika kwenye coconut plantations.
Vilevile Zanziar kulikuwa na ruling class-owners of slaves and plantations

Sasa haya mambo bado yamo kwenye jamii hiyo, hayajaisha.

It will take over 200 years kuondoa hizo racial/economic/social divisions.

Kura peke yake haitishi kutatua matatizo hayo.

masopakyindi,

..mbona nchi nyingine zilizopinduliwa zimerejesha utawala wa kidemokrasia na chaguzi zinafanyika bila matatizo?

..Ghana na Nigeria ni mfano wa nchi ambazo kulitokea mapinduzi zaidi ya mara moja, lakini sasa hivi zimerejesha demokrasia ya vyama vingi, na vyama vya siasa vinapokezana madaraka.

..waliopindua na waliopinduliwa wote ni wa-Zanzibari. Kwa msingi huo wote wana haki sawa ya kuchagua viongozi, au kuchaguliwa kuongoza Znz. hakuna mwenye haki dhidi zaidi ya mwenzake.

..Sisi wa-Tanganyika tuna wajibu wa kuwasaidia wa-Znz kuwa wamoja, kuondokana na ubaguzi, pamoja na kuheshimu, kulinda, na kuhifadhi haki ya kila m-Znz kupiga na kupigiwa kura. wa-Tanganyika hatutakiwa kusaidia upande mmoja ya wa-Znz dhidi ya mwingine.

NB:

..kwa uelewa wangu Sultani Jamshid aliyepinduliwa mwaka 1964 alikimbilia Uingereza. Mababu zake huyu Sultani walitokea Oman, lakini yeye hana haki na Usultani ulioko Oman sasa hivi. Hili ni somo pana kidogo la historia.

cc GHIBUU, Barubaru
 
JokaKuu
Mkuu suala la Zanzibar ni unique, halina mfano wa kulinganisha duniani.
Hata Mwalimu aliwahi kusema angekuwa na uwezo kuliko kujiingiza kutstua mambo ya Zanzibar ange vivuta vidiwa hivyo hadi katikati ya bahari Hindi ili viwe mbsli nasi.
Matatizo ys Zanzibar ni very complex. Hata hivyo matatizo hayo yanatikana na historia yake yenyewe ,historia ambayo haipo pengine popote.

Zanzibar ina historia ya ubaguzi
Zanzibar ina historia ya ukandamizaji kwa asili ya rangi
Zanzibar ardhi ilikuwa kwa watu fulani tu
Ni Zanzibar tu unapata kada ya wakwezi na watwana-watu ambao toka utotoni walilelewa kitumwa ili kutumika kwenye coconut plantations.
Vilevile Zanziar kulikuwa na ruling class-owners of slaves and plantations

Sasa haya mambo bado yamo kwenye jamii hiyo, hayajaisha.

It will take over 200 years kuondoa hizo racial/economic/social divisions.

Kura peke yake haitishi kutatua matatizo hayo.

..OK.

..kulikuwa na makovu kabla na wakati wa mapinduzi.

..je, serikali zilizofuata baada ya mapinduzi, zimeshughulikia masuala[makovu] yapi mpaka sasa hivi?

..tatizo ni kwamba mapinduzi nayo yameleta ukandamizaji wa kundi moja dhidi ya lingine. that is not what was supposed to happen.

..wa-Tanganyika hatupaswa kutetea upande mmoja ukandamize upande mwingine. tunapofanya hivyo tunakuwa sehemu ya tatizo badala ya kuwa sehemu ya suluhisho.
 
Wagawe kwa imani ya kidini, kikabila au kikanda ili upate kuwatawala!!!!!

Hayo mambo ya waarabu, wapemba, washirazi, wahadimu n.k ni fimbo ya watawala wanayoitumia watawala kuwajaza ujinga ili pawepo chuki baina yao halafu wao wawatawale.

Kiuhalisia Unguja na Pemba wananchi wake wamekuwa wanashirikiana vyema tu kabla mkoloni mweusi hajaja kupanda chuki ya ubaguzi Zanzibar.

Ikumbukwe wazanzibar kwa umoja wao ndio waliowafuata waarabu wa Omani ili waje wawasaidie kumng'oa mreno jambo ambalo mwarabu kwa moyo mkunjufu alikuja kuwasaidia ndugu zake wa kizanzibar.
 
watu wengi hawajui historia hii ya Zanzibar.

kuna makundi matatu
1. waafrika weusi (waliofanya mapinduzi wengi walikuwa ni vijakazi, na waosha uchafu wa waarabu)
2. waarabu wa omani (hawa ndio waliopinduliwa na kufukuzwa visiwani (aliyekuwa sultani wa Zanzibar ni mu Omani)
3. Washirazi (hawa ni watu wa kati kipindi cha Sultani kabla ya mapinduzi, ni mixed wa arabu na watu weusi)

haya makundi matatu, mawili la kwanza na la tatu yanataka kuendelea kuwa kwenye muungano, wakati hilo la pili wanajaribu kuleta vita kutoka nje ili warudi tena kuendeleza utawala

vita hiyo ya chini chini iko tangu mapinduzi yatokee na Bara haitaruhusu tuwe na utumwa infront of our doors step.


Maalim Seif Sharif Hamad yupo kundi katika hayo matatu?
 
Nijuavyo mm zanzibar ndio imepoteza muelekeo tokea yalipo fanyika mavamizi ya mkoloni mweusi,freedom is comming now not tomorow,pamoja tutaisimamisha zanzibar yetu.
 
watu wengi hawajui historia hii ya Zanzibar.

kuna makundi matatu
1. waafrika weusi (waliofanya mapinduzi wengi walikuwa ni vijakazi, na waosha uchafu wa waarabu)
2. waarabu wa omani (hawa ndio waliopinduliwa na kufukuzwa visiwani (aliyekuwa sultani wa Zanzibar ni mu Omani)
3. Washirazi (hawa ni watu wa kati kipindi cha Sultani kabla ya mapinduzi, ni mixed wa arabu na watu weusi)

haya makundi matatu, mawili la kwanza na la tatu yanataka kuendelea kuwa kwenye muungano, wakati hilo la pili wanajaribu kuleta vita kutoka nje ili warudi tena kuendeleza utawala

vita hiyo ya chini chini iko tangu mapinduzi yatokee na Bara haitaruhusu tuwe na utumwa infront of our doors step.

Mungu anipe maisha marefu niendelee kusikiliza na kuangalia hii hadhiti itakomea wapi.
 
..OK.

..kulikuwa na makovu kabla na wakati wa mapinduzi.

..je, serikali zilizofuata baada ya mapinduzi, zimeshughulikia masuala[makovu] yapi mpaka sasa hivi?

..tatizo ni kwamba mapinduzi nayo yameleta ukandamizaji wa kundi moja dhidi ya lingine. that is not what was supposed to happen.

..wa-Tanganyika hatupaswa kutetea upande mmoja ukandamize upande mwingine. tunapofanya hivyo tunakuwa sehemu ya tatizo badala ya kuwa sehemu ya suluhisho.

Mkuu
Baada ya mapinduzi Mwalimu na Karume walijitahidi sana kupunguza divisions ndani ya Zanzibar ingawaje kwa kuwabeba wale waliopindua, wsliokuwa wameonewa kabla ya 1964.

Usisahau kuwa hata Maalim Seif alikuwa kigogo ndani ya CCM ingawaje kilichomuangusha na hatimaye kuwekwa ndani na Mwalimu ni ajenda aliyotumwa kuitekeleza, kurudisha utawala uliopinduliwa.

Na hapo ndio nia halisi ya CUF inapojionyesha-kuyaanua mapinduzi ya 1964.
 
Mkuu asante kwa kufafanua.
Wengi hawaijui kabisa historia na migawanyiko inayotokana na historia ya kibaguzi huko Zanzibar na Pemba

Mimi nimeishi huko na hadi leo kuna watu wanakuwa classified kama watwana na wengine ni wale waungwana au waliostaarabika.

Ni hizi set racial/class divisions ambazo miaka nenda rudi kura za Wapemba , ambako watu wenye asili ya desendants wa waarabu wanaji identify na CUF for historical reasons wakati wale wa Afro Shirazi Party wako CCM

Hayo ni mawazo yako juu ya wapemba na CUF ila uhalisia wa mambo ni kuwa wapemba wako more intelligence kuliko unavyowazania wewe, wapemba wamekuwa wakidharauliwa tokea 1964 na kuonekana kama sio raia wa Zanzibar pamoja na kuwa robo tatu ya uchumi wa Zanzibar uliwategemea wao kupitia zao lao la karafuu! Halafu bado wawe na mapenzi na CCM.

Kuhusu CCM kuwa iko Zanzibar na CUF iko Pemba eti kisa Unguja wako washirazi huo pia ni uongo wa mchana kweupe!! Hao puppets wa mkoloni mweusi wanaojinasibu na ushirazi sasa hata nukta hawawezi kumfikia mansor himidi, Amani Karume, mzee moyo, ambao ama wao wenyewe au kupitia wazazi wao walikuwa ndio waanzilishi wa hiyo afroshirazi!!

Zanzibar hakuna ugomvi wala fitina kati ya wenyeji, fitina inaletwa na wavamizi akina balozi Seif iddi, hassan mitawi, hamza, hajiameri n.k kwa kuwa wanajua Sikh wenyeji wa visiwa watakapomjua adui yao basi ndio mwisho Wa wao kuitawala zanzibar kimabavu.
 
Maalim Seif Sharif Hamad yupo kundi katika hayo matatu?

Maalim Seif kama MTU hatokuwa mnafiki basi kwa viongozi wa kisiasa waliopo zanzibar leo yeye anaweza akawa ni MTU wa kipekee.

Kwake umoja na kuondoa chuki miongoni mwa wazanzibar ndio kipaombele chake cha kwanza.

Hili hutolikuta kwa kuongozi yeyote wa CCM zanzibar maana wanaogopa wazanzibar kuwa na kauli moja na ndio maana kiongozi yeyote wa CCM zanzibar hawezi kuhutubia mkutano bila ya kuwataja wapemba kwa sifa mbaya au sultani.
 
Mkuu
Baada ya mapinduzi Mwalimu na Karume walijitahidi sana kupunguza divisions ndani ya Zanzibar ingawaje kwa kuwabeba wale waliopindua, wsliokuwa wameonewa kabla ya 1964.

Usisahau kuwa hata Maalim Seif alikuwa kigogo ndani ya CCM ingawaje kilichomuangusha na hatimaye kuwekwa ndani na Mwalimu ni ajenda aliyotumwa kuitekeleza, kurudisha utawala uliopinduliwa.

Na hapo ndio nia halisi ya CUF inapojionyesha-kuyaanua mapinduzi ya 1964.

..sasa hao tuliowabeba walikuwa watu wa aina gani?

..ubaguzi umeendelezwa hata na waliopindua.

..ASP walikuwa wanashiriki uchaguzi na kushinda lakini hawatangazwi washindi.

..baada ya kuchoshwa na dhuluma hiyo wakaamua kupindua.

..Maalim Seif aliwekwa ndani kwa masuala tofauti na hayo unayodai.

..nakushauri ujifunze zaidi kuhusu historia ya Znz.

..Maalim amekuwa akishinda uchaguzi mwaka 95, 2000, 2005, 2010, na 2015. kwanini hawamtangazi mshindi? Is it fair?

cc Bobwe2, GHIBUU
 
Last edited by a moderator:
SMZ, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, ni matokeo ya mapinduzi yaliyo mwondoa Sultani wa Zanzibar mwaka 1964.

Siyo siri, mgawanyiko wa kiasili uliokuwepo kwa karne na karne huko Zanzibar hadi leo bado upo.
Wakati SMZ, iliundwa na waliopindua, haswa waafrika, waliopinduliwa walikuwa waarabu.

Katika kujadili matatizo ya CUF, na CCM-Zanzibar kiini hiki hakiwezi kukwepeka.
Vile vile siyo siri kuwa kwa sasa waliowengi wanaoiunga mkono CUF ni wale waliopinduliwa na wanaoiunga mkono CCM Zanzibar ni waafrika na wasirazi waliopindua serikali ya Sultani wa Zanzibar.

Mgawanyo wa wananchi wazanzibar uko katika misingi hiyo, na haya tumejaribu ati muafaka wa kitaifa haujaondoa tofauti baina ya makundi hayo.

Kwa mantiki hiyo, kama alivyosema mama mmoja mwafrika/mshirazi, pale bungeni Dodoma, kuondoa SMZ kwa karatasi(kura) ni ndoto ya mchana.

Hakuna matatizo zaidi ya kikundi cha watu wachache na familia zao wakisaidia na ccm Bara kuona wao wana haki ya kutawala maisha. Hii ni kwa kujali matumbo yao tu hawajali uhai wa Zanzibar wala future ya raia zake. wao wanajali yao tu.
90% ya Wazanzibari sasa wana umri wa miaka 60 ambao hawajui wala hawakuwepo kwenye siasa za kudai uhuru.
sasa hivi watoto wengi wa wale waliokua waasisi wa ASP ambao ndio walio hai hawa support tena CCM Zaznzibar kwani wanaona wazi chama hicho kimejikta katika kazi ya udalali.
wapo kuna Amani Karume Alikua Rais hapendezwi na siasa hizi za wahafidhina
yupo Fatna Aman Karume
yupo Mansour Yusuf Himid
wapo kia juma duni
wapo kina seif sharif
kina eddy riamy
na wengine ambao hawamo katika siasa lakini hawana habari na ccm tena.
ccm ndio tatizo la znz. siku ikiachia basi matatizo yote yataondoka . uchaguzi utaendeshwa kwa uwazi bila ya majeshi wala vitisho
watu wote watapata haki zao bila ya ubaguzi
tatizo lote lipo kwa ccm , wakiondoka basi wala hutasikia hizi kelele za kijinga
 
..sasa hao tuliowabeba walikuwa watu wa aina gani?

..ubaguzi umeendelezwa hata na waliopindua.

..ASP walikuwa wanashiriki uchaguzi na kushinda lakini hawatangazwi washindi.

..baada ya kuchoshwa na dhuluma hiyo wakaamua kupindua.

..Maalim Seif aliwekwa ndani kwa masuala tofauti na hayo unayodai.

..nakushauri ujifunze zaidi kuhusu historia ya Znz.

..Maalim amekuwa akishinda uchaguzi mwaka 95, 2000, 2005, 2010, na 2015. kwanini hawamtangazi mshindi? Is it fair?

cc Bobwe2, GHIBUU

Hakuna matatizo zaidi ya kikundi cha watu wachache na familia zao wakisaidia na ccm Bara kuona wao wana haki ya kutawala maisha. Hii ni kwa kujali matumbo yao tu hawajali uhai wa Zanzibar wala future ya raia zake. wao wanajali yao tu.
90% ya Wazanzibari sasa wana umri wa miaka 60 ambao hawajui wala hawakuwepo kwenye siasa za kudai uhuru.
sasa hivi watoto wengi wa wale waliokua waasisi wa ASP ambao ndio walio hai hawa support tena CCM Zaznzibar kwani wanaona wazi chama hicho kimejikta katika kazi ya udalali.
wapo kuna Amani Karume Alikua Rais hapendezwi na siasa hizi za wahafidhina
yupo Fatna Aman Karume
yupo Mansour Yusuf Himid
wapo kia juma duni
wapo kina seif sharif
kina eddy riamy
na wengine ambao hawamo katika siasa lakini hawana habari na ccm tena.
ccm ndio tatizo la znz. siku ikiachia basi matatizo yote yataondoka . uchaguzi utaendeshwa kwa uwazi bila ya majeshi wala vitisho
watu wote watapata haki zao bila ya ubaguzi
tatizo lote lipo kwa ccm , wakiondoka basi wala hutasikia hizi kelele za kijinga
Msijiridhishe kwa hiyo contemporary Zanzibar history miaka mingi BAADA ya mapinduzi ya 1964.
Hata wale wanaoandamana huko Uingereza na Marekani ni uzao wa waliopinduliwa 1964.
Hilo halina ubishi.

Mzizi wa fitna ni nia ya CUF kuwabeba waliopinduliwa na kurudisha classes za pre '64.
Watasema maneno matamu lakini nia yao ni dhahiri.

Wana CCM wengi wa Z'bar ambao kiukweli ni ASP hawataki kurudishwa utumwani, huo ndo ukweli.
 
..sasa hao tuliowabeba walikuwa watu wa aina gani?

..ubaguzi umeendelezwa hata na waliopindua.

..ASP walikuwa wanashiriki uchaguzi na kushinda lakini hawatangazwi washindi.

..baada ya kuchoshwa na dhuluma hiyo wakaamua kupindua.

..Maalim Seif aliwekwa ndani kwa masuala tofauti na hayo unayodai.

..nakushauri ujifunze zaidi kuhusu historia ya Znz.

..Maalim amekuwa akishinda uchaguzi mwaka 95, 2000, 2005, 2010, na 2015. kwanini hawamtangazi mshindi? Is it fair?

cc Bobwe2, GHIBUU
Masopakyindi unahitaji kujifunza historia ya Zanzibar. Ukiacha mambo yaliyofanyika kabla ya mapinduzi, chuki kubwa na migawanyiko ilitokea baada ya mapinduzi. Mauaji ya wanasiasa/wataaluma, udhalilishaji na ubaguzi wa kishenzi.

Fuatilia mauaji ya Kassim Hanga na kukimbia uhamishoni kwa Wazanzibari wengi baada ya mauaji ya Karume.

Hizo stori za kurudishwa sultan ni habari za Wanasiasa muflisi.

Ukitaka kufaidi ya Zanzibar usiitathimini kwa mlengo wa Cuf au Ccm
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom