Kiini cha matatizo ya Zanzibar, Mapinduzi ya mwaka yaliyomwondoa Sultani

Kiini cha matatizo ya Zanzibar, Mapinduzi ya mwaka yaliyomwondoa Sultani

Kwanza mimi si mtoto. Pili acha kuhamaki, ukitaka kujifunza nenda taratibu.

Nchi nyingi si Zanzibar tu zimepitia migawanyiko, zimeponya majeraha na sasa zinakwenda mbele.

Kuongelea habari za kurudi Sultan ni kichekesho cha karne. Hayo ni maneno ya vitisho waliyokuwa wanapewa Wananchi na "class mpya ya watawala weusi" (najua hujui hili, unajua class ya Sultan na Mwarabu). Leo hii wengi wanaona kama geresha tu za Kisiasa japo wapo wenye fikra kama zako.

Na mfano ni namna Seif anavyozidi kupenya Unguja tofauti na mazoea.

Ulisema kulikuwa na mauaji makubwa kabla ya mapinduzi? Tupe reference kidogo ambazo zimekuwa documented (si stori za vijiweni)

Ana reference gani zaidi ya propaganda za kanisani
 
SMZ, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, ni matokeo ya mapinduzi yaliyo mwondoa Sultani wa Zanzibar mwaka 1964.

Siyo siri, mgawanyiko wa kiasili uliokuwepo kwa karne na karne huko Zanzibar hadi leo bado upo.
Wakati SMZ, iliundwa na waliopindua, haswa waafrika, waliopinduliwa walikuwa waarabu.

Katika kujadili matatizo ya CUF, na CCM-Zanzibar kiini hiki hakiwezi kukwepeka.
Vile vile siyo siri kuwa kwa sasa waliowengi wanaoiunga mkono CUF ni wale waliopinduliwa na wanaoiunga mkono CCM Zanzibar ni waafrika na wasirazi waliopindua serikali ya Sultani wa Zanzibar.

Mgawanyo wa wananchi wazanzibar uko katika misingi hiyo, na haya tumejaribu ati muafaka wa kitaifa haujaondoa tofauti baina ya makundi hayo.

Kwa mantiki hiyo, kama alivyosema mama mmoja mwafrika/mshirazi, pale bungeni Dodoma, kuondoa SMZ kwa karatasi(kura) ni ndoto ya mchana.

kweli wewe unafikra mgando inamaana Zanzibar badala ya kusonga mbele inarudi nyuma? Kwanza mapinduzi yale ilikuwa ni njama ya Tanganyika kuitawala Zanzibar kupitia mgongo wa chuki na propaganda za ubaguzi ambazo hazikuwa sahihi.MLETA mada twambie ni wapi ASP AU shehe Karume alipowahi kusema hamtambui sultan. Haya kama uhuru ingepewa ASp je,mapinduz yangalikuwako? Na je sultan angebaki ama la? Kama kulikuwa na ghiliba katika uchapuzi walizofanyiwa ASp ndizo inafanyiwa CUF KWANINI uifananishe cuf na znp na zppp? Haya nitajie wangapi walipindua na leo wako kwenye siasa? Kama cuf ndo waliopinduliwa kwa mtazamo wako cuf ni waarab na ccm ni waafrica na washraz.aise hii ni hatari ndugu yangu,kaa chini tafakari na ujisahishe alamsik.
 
Mkuu asante kwa kufafanua.
Wengi hawaijui kabisa historia na migawanyiko inayotokana na historia ya kibaguzi huko Zanzibar na Pemba

Mimi nimeishi huko na hadi leo kuna watu wanakuwa classified kama watwana na wengine ni wale waungwana au waliostaarabika.

Ni hizi set racial/class divisions ambazo miaka nenda rudi kura za Wapemba , ambako watu wenye asili ya desendants wa waarabu wanaji identify na CUF for historical reasons wakati wale wa Afro Shirazi Party wako CCM

Wewe ni muongo na mzushi,wewe ni miongoni mwa wale wasioitakia memma zanzibar na kuiona zanzibar kama koloni la Tanganyika.
 
SMZ, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, ni matokeo ya mapinduzi yaliyo mwondoa Sultani wa Zanzibar mwaka 1964.

Siyo siri, mgawanyiko wa kiasili uliokuwepo kwa karne na karne huko Zanzibar hadi leo bado upo.
Wakati SMZ, iliundwa na waliopindua, haswa waafrika, waliopinduliwa walikuwa waarabu.

Katika kujadili matatizo ya CUF, na CCM-Zanzibar kiini hiki hakiwezi kukwepeka.
Vile vile siyo siri kuwa kwa sasa waliowengi wanaoiunga mkono CUF ni wale waliopinduliwa na wanaoiunga mkono CCM Zanzibar ni waafrika na wasirazi waliopindua serikali ya Sultani wa Zanzibar.

Mgawanyo wa wananchi wazanzibar uko katika misingi hiyo, na haya tumejaribu ati muafaka wa kitaifa haujaondoa tofauti baina ya makundi hayo.

Kwa mantiki hiyo, kama alivyosema mama mmoja mwafrika/mshirazi, pale bungeni Dodoma, kuondoa SMZ kwa karatasi(kura) ni ndoto ya mchana.
Mkuu haya yote unayoyasema kuhusu Zanzibar ni marudio tuu, tumeisha sema yotu humu humu jf, hata hili la Seif kushinda lakini kamwe hatotangazwa tumelisema na sababu tumewapa, kilichobaki ni watu kutupigia tuu mikelele humu jukwaani.

[h=2]Zanzibar Issue: Kwanini watu wanapiga kelele tu?.[/h]
Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Mas

Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuz


Re: Iwapo CCM itashindwa Zanzibar, Nini Majaaliwa ya Muung


Topic: Kumuepushia aibu ya Kushindwa, CCM isimsimamishe


Je, wajua kuwa kuna uwezekano Tanzania sio nchi halali Kish


Jee Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano?.


Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana G


Bunge Maalum Lapigwa Changa la Macho!? Lapewa"Act of Unio


'Karume Hakuyakimbia Mapinduzi ya ZnZ'-Karume Jnr


Je, Abedi Amani Karume alikuwa na Wake 6? Ana Watoto Wa


Kumbe raisi mstaafu karume sio mtoto wa Abeid Karume! -


Mama Fatma Karume athibitisha Karume hakushiriki Mapinduzi

Hatimaye Serikali yawaenzi Rasmi 'Nyerere na Karume'! Yawaundia ...


Licha ya Karume kutambuliwa: Kamchezo Uboreshaji Daftari P

Pasco
 
CCM bhana.

Zanzibar hakuna tatizo ulilolieleza kweye mada yako.
Hii ni propaganda ya CCM ili iendelee na mchezo mchafu; kubaka demokrasia na kung'ang'ania madaraka.

Kama utakuwa mkweli na si mnafiki, tatizo la Zanzibar ni CCM kutoheshimu maamuzi ya wapiga kura na propaganda chafu ya sultani atarudi ikiwa CUF itachukua madaraka.
Tatizo jengine ambalo Nyani Ngabu ameliona hapa Tanzania ni upoyoyo wa wananchi. CCM na serikali zake wanatumia upoyoyo huo wa wananchi na vyombo vya dola kung'angania madaraka.

Kwa kweli hakukua na sababu ya kuwepo mkwamo Zanzibar kwa sababu umeshataja hapo kuwa Zanzibar ni lazima waunde serikali ya umoja wa kitaifa. Ni takwa la kikatiba.

CCM waache kung'ang'ania madaraka, ZEC inajua ni nani ameshinda, watangaze matokeo yaliyobakia na mshindi aapishwe aunde serikali na shughuli za maisha ziendelee.

Tume ZEC ikimalizia kutangaza matokeo ya majimbo yaliyobakia au isitangaze. Matokeo yanajulikana tayari kwa sababu yalishatangazwa majimboni na kubandikwa ukutani na wasimamizi wa majimbo.

CCM ndio watavuruga amani ya nchi hii.

Magufuli angekuwa mnufaika mkubwa wa siasa kwa kipindi hiki kama Zanzibar ikiongozwa na Chama cha upinzani. Tawala zote zitataka kujikita katika mikakati kuleta maendeleo na kukuza uchumi. Mashindano ya kiuchumi na kuinua hali za maisha ya walalahoi.

Acha propanganda chafu na za kijinga, ambia Chama chako kiachane na ulafi na ung'ang'anizi wa madaraka au kifute mfumo wa vyama vingi kama haina nia ya kuachia madaraka inaposhindwa kupitia kisanduku cha kura.

Wewe huna tofauti na Lukuvi.



Upende usipende ukweli uko pale pale.
Zanzibar kuna makundi hasimu yanayotokana na mapinduzi ya 1964.

Na huo ndo mzizi wa fitna.
Makundi hayo nimeyaeleza hapo nyuma.
Haingii skilini kwamba Naalim Seif peke yake ndo anagombea urais kutoka upinzani tokea mwaka 1995 hadi leo akiwa kama sultani wa upinzani!
Na hicho ndo kielekezo cha "demokrasia" unayoiongekea hapa.
 
Last edited by a moderator:
Wewe ni muongo na mzushi,wewe ni miongoni mwa wale wasioitakia memma zanzibar na kuiona zanzibar kama koloni la Tanganyika.

Zanzibar ni nchi kama ambavyo Baraza la Wawakilishi waliamua.
Watumie katiba yso kutatua matatizo yao na si kutafuta msukuma wa kuwabebea mzigo mzito!
 
Upende usipende ukweli uko pale pale.
Zanzibar kuna makundi hasimu yanayotokana na mapinduzi ya 1964.

Na huo ndo mzizi wa fitna.
Makundi hayo nimeyaeleza hapo nyuma.
Haingii skilini kwamba Naalim Seif peke yake ndo anagombea urais kutoka upinzani tokea mwaka 1995 hadi leo akiwa kama sultani wa upinzani!
Na hicho ndo kielekezo cha "demokrasia" unayoiongekea hapa.

mbona hushangai ccm kukaa madarakani miaka 50?hamuwezi tena kuwagawa wazanzibar ili muwatawale.
 
Msikae makadanganya watu.. hakuna mtoto tena hapa wa kudanganyika. kizazi cha sasa cha wazanzibari (vijana) hawana habari kabisa na unachokiongea na ndio wapiga kura waliowengi ni wao na ndio waliochagua upinzani.

Mimi ni mzanzibari wazee wangu walikuwa wakubwa serikalini na mimi na wengine kama mimi tulichagua CUF au niseme mabadiliko. wazanzibari ni wamechoshwa na hali ya kiuchumi na ukandamizaji ndani ya nchi yao, hawana mahakama, hawana polisi hawana matibabu, hawana.......

Kitendo cha kuwanyima haki yao ya kidemokrasia halafu mkasingizia kisingizio cha kihistoria ni kupotezeana muda. Acheni kudanganya uma kwa kueneza propaganda chafu kwa sasa haina nafasi tena imeshapitwa na wakati.


kwa ufupi CCM hakuna tena Zanzibar .. hata hayo majimbo mulioyaiba kama itatokea ukifanywa uchaguzi ulio huru na wa haki basi Wallah hamuyapati.

Cha muhimu kwa sasa ni kuheshimu matwakwa ya wazanzibari na si vyenginevyo. Mukae mkijua kwamba hamna ujanja tena is just a matter of time kila mchumia tumbo mtatafuta pa kukimbilia.

Acha mihemko kijana!
Hujataja matatizo mengine mengi tu yanayi wakabili vijana wengi wa Kizanzibari.
Ni wavivu kupinfukia.
Watu wanafikiri kufanya biashara ndo demokrasia , kuna mabonde mazuri sana ya kulima na kuanzisha agri industies huko kwenu.
Na mimi nimefanya kazi huko kwa hiyo naelewa hilo.
Kama hutaki kuekewa misingi ya siasa za Zamzibar hilo ni shauri lako.
Lakini matikeo mnayaona ,yatatueni wenyewe.
 
Napenda Muungano. Na nasikia mara kwa mara CUF huenda wakipewa madaraka - kama hili linawezekana wanaweza anzisha vuguvugu la kuvunja Muungano.

Lakini nijuavyo zanzibar ni ndogo na inazid kuwa ndogo na pia ina watu wanaozidi kuongezeka siku hadi siku. Na wengi wao wako huku bara na sehem zingine duniani

Sasa Muungano ukivunjika hawa watakaa wapi huko zenji? Au watabaki waliko?

Kwasasa ni poa, wakijaa kule wanafurikia huku na wao kuja kununua maeneo huku na kuishi ni ruksa. Wakija kuwa taifa tofauti na huku bara watazibitiwa wasiweze fanya hivo.

Uchumi wao unategemea karafuu na labda mafuta yasubiriwayo yanaweza kuja kuwatoa. Lasivyo bara itegemee matatizo makubwa kutoka zanzibar ikija kutaka kuleta chokochoko za kujitoa kwenye Muungano

Muingiliano wa watu wa zenji na pwani ya bara ni mkubwa sana. Hii itakuwa changamoto ingine kwa mataifa haya mawili yakija kuvunja Muungano
 
Upende usipende ukweli uko pale pale.
Zanzibar kuna makundi hasimu yanayotokana na mapinduzi ya 1964.

Na huo ndo mzizi wa fitna.
Makundi hayo nimeyaeleza hapo nyuma.
Haingii skilini kwamba Naalim Seif peke yake ndo anagombea urais kutoka upinzani tokea mwaka 1995 hadi leo akiwa kama sultani wa upinzani!
Na hicho ndo kielekezo cha "demokrasia" unayoiongekea hapa.

Duuh...
 
Mi nasema mara kwa mara kuwa kwa mwafrika mweusi mkristo mzungu kwake ni wa kutukuzwa. Kwa mwafrika mwislam mwarabu kwake ni wa kutukuzwa.

Na hao waarabu na wazungu wanalijua hili

Na mimi naamini kwa dhati kabisa Kuwa kama isingekuwa misaada toka nje ya zenji zenji inge chukua muda kupinduliwa. Sultan angedumu

Mfumo wao wa maisha ni wa ubwana na utwana. Ukitaka kulijua hili nenda ishi nao. Fanya utafiti hasa ujue jinsi gani wanavyoishi. Utakuta hawa jamaa wanaishi kimatabaka. Kama wahindi wanaishi kimatabaka basi nao hao wana mambo ya aina hiyo

Muungano na bara umemnyanyua mweusi mwenzetu wa zanzibar. Fanya utafiti tena ujue mweusi zanzibar alikuwa yukoje kiuchumi na anajionaje mbele ya mwarabu na alikuwa wa kundi lipi kijamii

Kuna mambo ya kuyaweka sawa na kama ni uchumi mbovu wa sasa huko zenji hili ni tatizo la nchi nzima

Tunategemea rais magufuli ataweka mambo sawa kwa kasi hii aendayo nayo na hivyo itapatkana hata hela ya kufanya maendeleo hata huko zenji

Unaweza kuta njaa ikizd sana watu wa danganywa bora kuungana na uarabuni kuliko bara
 
Hayo ni mawazo yako juu ya wapemba na CUF ila uhalisia wa mambo ni kuwa wapemba wako more intelligence kuliko unavyowazania wewe, wapemba wamekuwa wakidharauliwa tokea 1964 na kuonekana kama sio raia wa Zanzibar pamoja na kuwa robo tatu ya uchumi wa Zanzibar uliwategemea wao kupitia zao lao la karafuu! Halafu bado wawe na mapenzi na CCM.

Kuhusu CCM kuwa iko Zanzibar na CUF iko Pemba eti kisa Unguja wako washirazi huo pia ni uongo wa mchana kweupe!! Hao puppets wa mkoloni mweusi wanaojinasibu na ushirazi sasa hata nukta hawawezi kumfikia mansor himidi, Amani Karume, mzee moyo, ambao ama wao wenyewe au kupitia wazazi wao walikuwa ndio waanzilishi wa hiyo afroshirazi!!

Zanzibar hakuna ugomvi wala fitina kati ya wenyeji, fitina inaletwa na wavamizi akina balozi Seif iddi, hassan mitawi, hamza, hajiameri n.k kwa kuwa wanajua Sikh wenyeji wa visiwa watakapomjua adui yao basi ndio mwisho Wa wao kuitawala zanzibar kimabavu.


Umejitahidi kuweka fact mkuu sema kuna mahala umezidisha kuweka chumvi sijui kwa kusudi au kutojua hiyo historia, kwanza unakusudia nini kusema Wapemba wako more intelligence ? kwa sababu hiyo historia inaonesha wapemba ni watu ambao walipenda utwana na ubwana uendelee kwa njia yoyote ile na hili lilionekana pale ZPPP walipounganisha kitu chao kwa kwa ZNP na kuwatosa ndugu zao ASP, tokea hapo wamepemba wameonekana watu wa hovyo kabisa kutokea na ndio kitu ambacho wanshindwa kujua kwanini watu wa unguja wanawaita kutu la ngombe.

Hamna cha uwongo hilo swala ata mtoto alozaliwa leo analijua kuwa Pemba ni Cuf na Cuf ni Mpemba hiyo hoja yako ya kina mansour na karume ni muflis kwani wao ni moja kati ya zao la hao pupet wa mkoloni mweupe, Mansour nani asiyemjua ok baba ake alikuwa mwanamapinduzi lakini mama ake alikuwa nani ? na sio lazima mtu afuate upande wa baba katika swala la siasa yeye ameamua kuenzi asili ya mama na wajomba zake ambao walifika kuuwawa kwa ubaguzi wa wazi unamjua Jinja wewe? karume anakesi sawa na huyo mansour inshort hawa wazee walijaribu kutaka kuondoa matabaka ya ubaguzi kwa kuwaowa hao mahizbu ila haijawork out watoto walozaliwa wamekuwa na uhizbu zaidi kuliko uwafro na hii ni kutoka na wao kujiona bora. Moyo sijui amepatwa na nini huyu mzee.

hao kina Haji Ameir, mbona wao pia wenyeji. hebu jipange uzuri naona kama unachuki na watu.
 
Mi nasema mara kwa mara kuwa kwa mwafrika mweusi mkristo mzungu kwake ni wa kutukuzwa. Kwa mwafrika mwislam mwarabu kwake ni wa kutukuzwa.

Na hao waarabu na wazungu wanalijua hili

Na mimi naamini kwa dhati kabisa Kuwa kama isingekuwa misaada toka nje ya zenji zenji inge chukua muda kupinduliwa. Sultan angedumu

Mfumo wao wa maisha ni wa ubwana na utwana. Ukitaka kulijua hili nenda ishi nao. Fanya utafiti hasa ujue jinsi gani wanavyoishi. Utakuta hawa jamaa wanaishi kimatabaka. Kama wahindi wanaishi kimatabaka basi nao hao wana mambo ya aina hiyo

Muungano na bara umemnyanyua mweusi mwenzetu wa zanzibar. Fanya utafiti tena ujue mweusi zanzibar alikuwa yukoje kiuchumi na anajionaje mbele ya mwarabu na alikuwa wa kundi lipi kijamii

Kuna mambo ya kuyaweka sawa na kama ni uchumi mbovu wa sasa huko zenji hili ni tatizo la nchi nzima

Tunategemea rais magufuli ataweka mambo sawa kwa kasi hii aendayo nayo na hivyo itapatkana hata hela ya kufanya maendeleo hata huko zenji

Unaweza kuta njaa ikizd sana watu wa danganywa bora kuungana na uarabuni kuliko bara
kama watu wana njaa kwa nini iwe nongwa wakichagua atakayewaondolea njaa yao!?
 
Mi nasema mara kwa mara kuwa kwa mwafrika mweusi mkristo mzungu kwake ni wa kutukuzwa. Kwa mwafrika mwislam mwarabu kwake ni wa kutukuzwa.

Na hao waarabu na wazungu wanalijua hili

Na mimi naamini kwa dhati kabisa Kuwa kama isingekuwa misaada toka nje ya zenji zenji inge chukua muda kupinduliwa. Sultan angedumu

Mfumo wao wa maisha ni wa ubwana na utwana. Ukitaka kulijua hili nenda ishi nao. Fanya utafiti hasa ujue jinsi gani wanavyoishi. Utakuta hawa jamaa wanaishi kimatabaka. Kama wahindi wanaishi kimatabaka basi nao hao wana mambo ya aina hiyo

Muungano na bara umemnyanyua mweusi mwenzetu wa zanzibar. Fanya utafiti tena ujue mweusi zanzibar alikuwa yukoje kiuchumi na anajionaje mbele ya mwarabu na alikuwa wa kundi lipi kijamii

Kuna mambo ya kuyaweka sawa na kama ni uchumi mbovu wa sasa huko zenji hili ni tatizo la nchi nzima

Tunategemea rais magufuli ataweka mambo sawa kwa kasi hii aendayo nayo na hivyo itapatkana hata hela ya kufanya maendeleo hata huko zenji

Unaweza kuta njaa ikizd sana watu wa danganywa bora kuungana na uarabuni kuliko bara

Umenena kweli kabisa.
Kuna watu Zenji hadi leo wanajiweka kuwa wao ndo wastaarabu na waungwana dhidi ya waafrika ambso wanawachukulia kama wenye asili ya utwana.
Hili lipo na halina ubishi hadi leo.

Ni mental inclination to acceptance of slavery as a way of life.

Mbaya zaidi nililoona Zanzibar hata mwaafrika akipata madaraka ili kuondoa hisia zake za utwana , mtu anaenda kuoa mke mwenye asili ya kiarabu ili socially akubalike!

Wengi hawajafika Zenj kwa hiyo hawawezi kuyajua
haya.
 
SMZ, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, ni matokeo ya mapinduzi yaliyo mwondoa Sultani wa Zanzibar mwaka 1964.

Siyo siri, mgawanyiko wa kiasili uliokuwepo kwa karne na karne huko Zanzibar hadi leo bado upo.
Wakati SMZ, iliundwa na waliopindua, haswa waafrika, waliopinduliwa walikuwa waarabu.

Katika kujadili matatizo ya CUF, na CCM-Zanzibar kiini hiki hakiwezi kukwepeka.
Vile vile siyo siri kuwa kwa sasa waliowengi wanaoiunga mkono CUF ni wale waliopinduliwa na wanaoiunga mkono CCM Zanzibar ni waafrika na wasirazi waliopindua serikali ya Sultani wa Zanzibar.

Mgawanyo wa wananchi wazanzibar uko katika misingi hiyo, na haya tumejaribu ati muafaka wa kitaifa haujaondoa tofauti baina ya makundi hayo.

Kwa mantiki hiyo, kama alivyosema mama mmoja mwafrika/mshirazi, pale bungeni Dodoma, kuondoa SMZ kwa karatasi(kura) ni ndoto ya mchana.

Utumboooo mtupu !! Ndoroboooo wewe
 
Sasa chaguzi ni za nini kama tayari maamuzi ya nani atawale yalishamalizwa ??????????!!
Si ndo maana akishinda asiyetakiwa matokeo yanafutwa. Uchaguzi utarudiwa halafu CUF hawatashiriki. CCM, ACT, Jahazi Asilia, ADC, Tadea, DP, watashiriki na uchaguzi utakuwa wa vyama vingi na CCM watashinda ushindi wa kimbunga.
 
SMZ, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, ni matokeo ya mapinduzi yaliyo mwondoa Sultani wa Zanzibar mwaka 1964.

Siyo siri, mgawanyiko wa kiasili uliokuwepo kwa karne na karne huko Zanzibar hadi leo bado upo.
Wakati SMZ, iliundwa na waliopindua, haswa waafrika, waliopinduliwa walikuwa waarabu.

Katika kujadili matatizo ya CUF, na CCM-Zanzibar kiini hiki hakiwezi kukwepeka.
Vile vile siyo siri kuwa kwa sasa waliowengi wanaoiunga mkono CUF ni wale waliopinduliwa na wanaoiunga mkono CCM Zanzibar ni waafrika na wasirazi waliopindua serikali ya Sultani wa Zanzibar.

Mgawanyo wa wananchi wazanzibar uko katika misingi hiyo, na haya tumejaribu ati muafaka wa kitaifa haujaondoa tofauti baina ya makundi hayo.

Kwa mantiki hiyo, kama alivyosema mama mmoja mwafrika/mshirazi, pale bungeni Dodoma, kuondoa SMZ kwa karatasi(kura) ni ndoto ya mchana.

Huyo mama unae mjua yeye ni mnafiki, kwao pamba tena kule alikotoka maalim Seif na wamesoma pamoja na maalim Seif na maalim ndiye alie muingiza kwenye siasa.

Hizo story unazo ongea hazina maantiki, unataka kutuambia wale wote kule pemba walio ichagua cuf ni waajabu?

Kama hamuijui historia ya Zanzibar nyamazeni acheni unyumbu, na kama hamuwajui wazanzibari nyamazeni acheni unyumbu, na kama huijui siasa ya Zanzibar vile vile
 
Back
Top Bottom