Kwanza mimi si mtoto. Pili acha kuhamaki, ukitaka kujifunza nenda taratibu.
Nchi nyingi si Zanzibar tu zimepitia migawanyiko, zimeponya majeraha na sasa zinakwenda mbele.
Kuongelea habari za kurudi Sultan ni kichekesho cha karne. Hayo ni maneno ya vitisho waliyokuwa wanapewa Wananchi na "class mpya ya watawala weusi" (najua hujui hili, unajua class ya Sultan na Mwarabu). Leo hii wengi wanaona kama geresha tu za Kisiasa japo wapo wenye fikra kama zako.
Na mfano ni namna Seif anavyozidi kupenya Unguja tofauti na mazoea.
Ulisema kulikuwa na mauaji makubwa kabla ya mapinduzi? Tupe reference kidogo ambazo zimekuwa documented (si stori za vijiweni)
Ana reference gani zaidi ya propaganda za kanisani