Kiini cha matatizo ya Zanzibar, Mapinduzi ya mwaka yaliyomwondoa Sultani

Kiini cha matatizo ya Zanzibar, Mapinduzi ya mwaka yaliyomwondoa Sultani

Umejitahidi kuweka fact mkuu sema kuna mahala umezidisha kuweka chumvi sijui kwa kusudi au kutojua hiyo historia, kwanza unakusudia nini kusema Wapemba wako more intelligence ? kwa sababu hiyo historia inaonesha wapemba ni watu ambao walipenda utwana na ubwana uendelee kwa njia yoyote ile na hili lilionekana pale ZPPP walipounganisha kitu chao kwa kwa ZNP na kuwatosa ndugu zao ASP, tokea hapo wamepemba wameonekana watu wa hovyo kabisa kutokea na ndio kitu ambacho wanshindwa kujua kwanini watu wa unguja wanawaita kutu la ngombe.

Hamna cha uwongo hilo swala ata mtoto alozaliwa leo analijua kuwa Pemba ni Cuf na Cuf ni Mpemba hiyo hoja yako ya kina mansour na karume ni muflis kwani wao ni moja kati ya zao la hao pupet wa mkoloni mweupe, Mansour nani asiyemjua ok baba ake alikuwa mwanamapinduzi lakini mama ake alikuwa nani ? na sio lazima mtu afuate upande wa baba katika swala la siasa yeye ameamua kuenzi asili ya mama na wajomba zake ambao walifika kuuwawa kwa ubaguzi wa wazi unamjua Jinja wewe? karume anakesi sawa na huyo mansour inshort hawa wazee walijaribu kutaka kuondoa matabaka ya ubaguzi kwa kuwaowa hao mahizbu ila haijawork out watoto walozaliwa wamekuwa na uhizbu zaidi kuliko uwafro na hii ni kutoka na wao kujiona bora. Moyo sijui amepatwa na nini huyu mzee.

hao kina Haji Ameir, mbona wao pia wenyeji. hebu jipange uzuri naona kama unachuki na watu.

Ninaposema WAPEMBA NI MORE INTELLIGENCE ninamaanisha wako mahodari mno katambua zuri na baya au ninani mwema au mbaya kwao.

Hauwezi kuwatawala WAPEMBA visivyo halafu wasionyeshe upinzani kwako na wapatapo nafasi lazima watakuadhibu tu! Na ndio maana ni wao waliofunga safari kwenda Omani kuomba msaada wa kuja kumuondoa mreno Pemba na unguja sasa hii habari ya WAPEMBA kupenda sana utwana sijui umeitoa wapi!!!!!!

Kuhusu chama cha ZPPP kukataa kuchanganya nguvu na ASP ni Kama nilivyokwambia kuwa WAPEMBA ni maintelligents hivyo walijua fika ASP haikutokana na wazanzibar halisi bali watu walioletwa Zanzibar kwa malengo maalum!! Hilo tayari limejidhihirisha pale ASP ilipokubali kuiunganisha Zanzibar na Tanganyika si umeona leo juu wasiwasi waliokuwa nao ZPPP!!!??? Leo CCM Zanzibar hawana hata uwezo wa kumchagua mgombea wao wa uraisi wanayemtaka bali wanaempenda CCM Tanganyika.

Kuhusu WAPEMBA Kuitwa KUTU ya ngombe hilo zaidi wanalijua wao kutoka unguja lakini uhalisia wa KUTU ya ng'ombe ni kuwa na tabia za kihadaa, KUTU ya ng'ombe inakawaida ya kukauka juu lakini ndani iko mbichi hivyo unapojaribu kuikanyaga mguu wako wote utajaa KUTU! Hii inaleta taswira ya kuwa WAPEMBA ukiwazadharau wanaweza wakakuchekea usoni huku moyoni wakiwa na chuki kubwa moyoni huku wakitafuta mbinu za kukudhihirishia chuki zao kwako!!

Kuhusu hoja za kina mansour na Karume hiyo sio hoja muflisi bali ni hoja inayoonyensha double standard ya CCM Zanzibar!!! Wako mbele kuhubiri usultani na uarabu Kama ni uadui lakini jambo la ajabu nusu na robo ya viongozi wa juu wa CCM Zanzibar wapatapo madaraka basi huwa hawaridhiki Kama hawana mke wa kiarabu au mwenye asili ya kiarabu au ya Pemba!!! Anzia Seif Iddi, shamhuna na wengineo wengi ukifanya utafiti utaona na kujuwa.

Narudi tena kwa wenyeji wa asili ya Zanzibar hakuna chuki miongoni mwao bali watawala hupandikiza chuki miongoni mwa wazanzibar ili kuwagawa! Na hii ya upemba, uarabu, ushirazi, usultani moja wapo ya fimbo kubwa wanayoitumia watawala kuwagawa wazanzibar ili wawatawale Illa kiuhalisia hilo jambo haliko wala sio hulka ya wazanzibar maana asilimia 99% ya wazanzibar ni waislamu na uislamu unakataza haya mambo ya kujiona bora kwa rangi kabila au unapotoka.
 
watu wengi hawajui historia hii ya Zanzibar.

kuna makundi matatu
1. waafrika weusi (waliofanya mapinduzi wengi walikuwa ni vijakazi, na waosha uchafu wa waarabu)
2. waarabu wa omani (hawa ndio waliopinduliwa na kufukuzwa visiwani (aliyekuwa sultani wa Zanzibar ni mu Omani)
3. Washirazi (hawa ni watu wa kati kipindi cha Sultani kabla ya mapinduzi, ni mixed wa arabu na watu weusi)

haya makundi matatu, mawili la kwanza na la tatu yanataka kuendelea kuwa kwenye muungano, wakati hilo la pili wanajaribu kuleta vita kutoka nje ili warudi tena kuendeleza utawala

vita hiyo ya chini chini iko tangu mapinduzi yatokee na Bara haitaruhusu tuwe na utumwa infront of our doors step.

Una utomvu wa kichwa badala ya akili na maisha utatawaliwa kwa ujinga wako.
 
Maalim Seif ni mshirazi, nusu mwarabu na nusu mwafrika.. ila hawa waShiraz kuna ambao wako kiarabu zaidi na ambao wako kiafrika zaidi, inategemeana na jinsi alivyolelewa na hurka zake.

Mshirazi ni mtu mwenye asilia ya Iran, wanatokea sehemu ta Shiraz, kama akina Rostam na akina Mula wa Arusha. Maalim Seif ni mbantu, mwenye kasumba ya kifalme
 
Si ndo maana akishinda asiyetakiwa matokeo yanafutwa. Uchaguzi utarudiwa halafu CUF hawatashiriki. CCM, ACT, Jahazi Asilia, ADC, Tadea, DP, watashiriki na uchaguzi utakuwa wa vyama vingi na CCM watashinda ushindi wa kimbunga.

Kwa akili yako unafurahia kuumiza wenzio mioyo na unafiki wako ???! Kumbe waarabu wako sahihi kwa ushenzi kama huu bora mtu ujitoe mhanga !!!

Mjulisheni Dr kuwa ameshindwa aone aibu kuongoza wasiomtaka .

Waswahili tuko wanafki sana tunajifanya kuwasuluhisha majirani zetu ya kwetu hatuyawezi ??????!!

Tatizo la nchi hii ni CCM kujiona ma miungu watu
 
kweli wewe unafikra mgando inamaana Zanzibar badala ya kusonga mbele inarudi nyuma? Kwanza mapinduzi yale ilikuwa ni njama ya Tanganyika kuitawala Zanzibar kupitia mgongo wa chuki na propaganda za ubaguzi ambazo hazikuwa sahihi.MLETA mada twambie ni wapi ASP AU shehe Karume alipowahi kusema hamtambui sultan. Haya kama uhuru ingepewa ASp je,mapinduz yangalikuwako? Na je sultan angebaki ama la? Kama kulikuwa na ghiliba katika uchapuzi walizofanyiwa ASp ndizo inafanyiwa CUF KWANINI uifananishe cuf na znp na zppp? Haya nitajie wangapi walipindua na leo wako kwenye siasa? Kama cuf ndo waliopinduliwa kwa mtazamo wako cuf ni waarab na ccm ni waafrica na washraz.aise hii ni hatari ndugu yangu,kaa chini tafakari na ujisahishe alamsik.
Mkuu unaongea mambo kwa hisia ya kutojua mtoa mada anaongelea nini!
Ati wakoloni wangewapa ASP serikali?
Kivipi?
ASP ilishinda chaguzi zotekabla ya Uhuru wa Zanzibar lakini mkoloni aliamua kumpa serikali Sultani wa Zanzibar.
Mengine yaliyotokea ni historia, lakinitazama line up ya wanachama/viongozi wa CUF na mababu zao wa ZNP na ZPPP halafu ujiridhishe mwenyewe.
 
Ninaposema WAPEMBA NI MORE INTELLIGENCE ninamaanisha wako mahodari mno katambua zuri na baya au ninani mwema au mbaya kwao.

Hauwezi kuwatawala WAPEMBA visivyo halafu wasionyeshe upinzani kwako na wapatapo nafasi lazima watakuadhibu tu! Na ndio maana ni wao waliofunga safari kwenda Omani kuomba msaada wa kuja kumuondoa mreno Pemba na unguja sasa hii habari ya WAPEMBA kupenda sana utwana sijui umeitoa wapi!!!!!!

Kuhusu chama cha ZPPP kukataa kuchanganya nguvu na ASP ni Kama nilivyokwambia kuwa WAPEMBA ni maintelligents hivyo walijua fika ASP haikutokana na wazanzibar halisi bali watu walioletwa Zanzibar kwa malengo maalum!! Hilo tayari limejidhihirisha pale ASP ilipokubali kuiunganisha Zanzibar na Tanganyika si umeona leo juu wasiwasi waliokuwa nao ZPPP!!!??? Leo CCM Zanzibar hawana hata uwezo wa kumchagua mgombea wao wa uraisi wanayemtaka bali wanaempenda CCM Tanganyika.

Kuhusu WAPEMBA Kuitwa KUTU ya ngombe hilo zaidi wanalijua wao kutoka unguja lakini uhalisia wa KUTU ya ng'ombe ni kuwa na tabia za kihadaa, KUTU ya ng'ombe inakawaida ya kukauka juu lakini ndani iko mbichi hivyo unapojaribu kuikanyaga mguu wako wote utajaa KUTU! Hii inaleta taswira ya kuwa WAPEMBA ukiwazadharau wanaweza wakakuchekea usoni huku moyoni wakiwa na chuki kubwa moyoni huku wakitafuta mbinu za kukudhihirishia chuki zao kwako!!

Kuhusu hoja za kina mansour na Karume hiyo sio hoja muflisi bali ni hoja inayoonyensha double standard ya CCM Zanzibar!!! Wako mbele kuhubiri usultani na uarabu Kama ni uadui lakini jambo la ajabu nusu na robo ya viongozi wa juu wa CCM Zanzibar wapatapo madaraka basi huwa hawaridhiki Kama hawana mke wa kiarabu au mwenye asili ya kiarabu au ya Pemba!!! Anzia Seif Iddi, shamhuna na wengineo wengi ukifanya utafiti utaona na kujuwa.

Narudi tena kwa wenyeji wa asili ya Zanzibar hakuna chuki miongoni mwao bali watawala hupandikiza chuki miongoni mwa wazanzibar ili kuwagawa! Na hii ya upemba, uarabu, ushirazi, usultani moja wapo ya fimbo kubwa wanayoitumia watawala kuwagawa wazanzibar ili wawatawale Illa kiuhalisia hilo jambo haliko wala sio hulka ya wazanzibar maana asilimia 99% ya wazanzibar ni waislamu na uislamu unakataza haya mambo ya kujiona bora kwa rangi kabila au unapotoka.
Usijidanganye mkuu.
Kwanzankuna yule aliyehusika kulipua ubalozi wa Marekani, Mpemba huyu.
[TABLE="class: infobox vcard, width: 22"]
[TR]
[TH="class: fn, colspan: 2, align: center"]Ahmed Khalfan Ghailani[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2, align: center"] Ahmed Khalfan Ghailani
(FBI photo)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]Born[/TH]
[TD]1970/1974
Zanzibar, Tanzania[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Usijidanganye mkuu.
Kwanzankuna yule aliyehusika kulipua ubalozi wa Marekani, Mpemba huyu.
[TABLE="class: infobox vcard, width: 22"]
[TR]
[TH="class: fn, colspan: 2, align: center"]Ahmed Khalfan Ghailani[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2, align: center"] Ahmed Khalfan Ghailani
(FBI photo)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]Born[/TH]
[TD]1970/1974
Zanzibar, Tanzania[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Hapa bro ndio ulitaka kumaanisha nini!!??

Tuweke sawa ili tufamiane tunazungumza kitu gani.
 
watu wengi hawajui historia hii ya Zanzibar.

kuna makundi matatu
1. waafrika weusi (waliofanya mapinduzi wengi walikuwa ni vijakazi, na waosha uchafu wa waarabu)
2. waarabu wa omani (hawa ndio waliopinduliwa na kufukuzwa visiwani (aliyekuwa sultani wa Zanzibar ni mu Omani)
3. Washirazi (hawa ni watu wa kati kipindi cha Sultani kabla ya mapinduzi, ni mixed wa arabu na watu weusi)

haya makundi matatu, mawili la kwanza na la tatu yanataka kuendelea kuwa kwenye muungano, wakati hilo la pili wanajaribu kuleta vita kutoka nje ili warudi tena kuendeleza utawala

vita hiyo ya chini chini iko tangu mapinduzi yatokee na Bara haitaruhusu tuwe na utumwa infront of our doors step.


Crapppp! Umebwia unga tena! Hujaacha kumbe
 
Kuwaondoa SMZ kwa karatasi ni ndoto labda damu imwagike.
 
watu wengi hawajui historia hii ya Zanzibar.

kuna makundi matatu
1. waafrika weusi (waliofanya mapinduzi wengi walikuwa ni vijakazi, na waosha uchafu wa waarabu)
2. waarabu wa omani (hawa ndio waliopinduliwa na kufukuzwa visiwani (aliyekuwa sultani wa Zanzibar ni mu Omani)
3. Washirazi (hawa ni watu wa kati kipindi cha Sultani kabla ya mapinduzi, ni mixed wa arabu na watu weusi)

haya makundi matatu, mawili la kwanza na la tatu yanataka kuendelea kuwa kwenye muungano, wakati hilo la pili wanajaribu kuleta vita kutoka nje ili warudi tena kuendeleza utawala

vita hiyo ya chini chini iko tangu mapinduzi yatokee na Bara haitaruhusu tuwe na utumwa infront of our doors step.

Washiraz ni watu wa Oman, na hawa akina karume ndio asili yao
 
Ninaposema WAPEMBA NI MORE INTELLIGENCE ninamaanisha wako mahodari mno katambua zuri na baya au ninani mwema au mbaya kwao.

Hauwezi kuwatawala WAPEMBA visivyo halafu wasionyeshe upinzani kwako na wapatapo nafasi lazima watakuadhibu tu! Na ndio maana ni wao waliofunga safari kwenda Omani kuomba msaada wa kuja kumuondoa mreno Pemba na unguja sasa hii habari ya WAPEMBA kupenda sana utwana sijui umeitoa wapi!!!!!!

Kuhusu chama cha ZPPP kukataa kuchanganya nguvu na ASP ni Kama nilivyokwambia kuwa WAPEMBA ni maintelligents hivyo walijua fika ASP haikutokana na wazanzibar halisi bali watu walioletwa Zanzibar kwa malengo maalum!! Hilo tayari limejidhihirisha pale ASP ilipokubali kuiunganisha Zanzibar na Tanganyika si umeona leo juu wasiwasi waliokuwa nao ZPPP!!!??? Leo CCM Zanzibar hawana hata uwezo wa kumchagua mgombea wao wa uraisi wanayemtaka bali wanaempenda CCM Tanganyika.

Kuhusu WAPEMBA Kuitwa KUTU ya ngombe hilo zaidi wanalijua wao kutoka unguja lakini uhalisia wa KUTU ya ng'ombe ni kuwa na tabia za kihadaa, KUTU ya ng'ombe inakawaida ya kukauka juu lakini ndani iko mbichi hivyo unapojaribu kuikanyaga mguu wako wote utajaa KUTU! Hii inaleta taswira ya kuwa WAPEMBA ukiwazadharau wanaweza wakakuchekea usoni huku moyoni wakiwa na chuki kubwa moyoni huku wakitafuta mbinu za kukudhihirishia chuki zao kwako!!

Kuhusu hoja za kina mansour na Karume hiyo sio hoja muflisi bali ni hoja inayoonyensha double standard ya CCM Zanzibar!!! Wako mbele kuhubiri usultani na uarabu Kama ni uadui lakini jambo la ajabu nusu na robo ya viongozi wa juu wa CCM Zanzibar wapatapo madaraka basi huwa hawaridhiki Kama hawana mke wa kiarabu au mwenye asili ya kiarabu au ya Pemba!!! Anzia Seif Iddi, shamhuna na wengineo wengi ukifanya utafiti utaona na kujuwa.

Narudi tena kwa wenyeji wa asili ya Zanzibar hakuna chuki miongoni mwao bali watawala hupandikiza chuki miongoni mwa wazanzibar ili kuwagawa! Na hii ya upemba, uarabu, ushirazi, usultani moja wapo ya fimbo kubwa wanayoitumia watawala kuwagawa wazanzibar ili wawatawale Illa kiuhalisia hilo jambo haliko wala sio hulka ya wazanzibar maana asilimia 99% ya wazanzibar ni waislamu na uislamu unakataza haya mambo ya kujiona bora kwa rangi kabila au unapotoka.

Kama wako Intelligence kiasi chote hiko na wanajua yote hayo kwanini wamemkumbatia Karume mtu ambae aliwafanya hadi wakaacha makwao na kukimbilia Mombasa baadae Somalia(Shimoni) hivi somalia kuna nini hadi mtu akimbilie? Intellengece gani huyu, anacha kitanda anaenda kulalia kuti la mnazi? mbona hawajamuazibu Karume ndio kwanza wamemvika masifa ambayo hastahili?

Hivi unaijua kweli kabisa ASP wewe ? nitajie watu watatu tu mtoe Mzee Moyo waliokuwa sio wanzanzibar halisi na wakawa na madaraka kwenye chama hicho kwa kipindi hiko cha 1963 1964. Hii setup ya kuwa Zanzibar hawawezi kumchagua Rais ni ishu ilokuja mara tu Salmin alipomaliza mda wake na kutaka mtu wake Bilal ndio awe Rais wa Zanzibar ila kwa vile Salmin Amour alikuwa na Confict of Interest na Serikali ya Tanganyika kwa makusudi walihujumu na kumuweka Karume na kwa fitna kubwa ya Familia hiyo waloifanya ili waonekane wao ndio watu sahihi, kitu ambacho watu wa wabara (Mkapa na wenzake) wanajutia hadi lana ya leo. Hivyo sio swala la kuwa hawana uwezo wa kuchagua mtu wao ni Wanzanzibar wenyewe kwa kuogopa kivuli chao.

Nashkuru kwa kutambua nini maana ya kutu la ngo'mbe na hilo jina ndio wamepewa na Mzee Karume kwa kuwajua kuwa ni watu wanafiki wanacheka tu usoni ila moyoni ni wabaya na kupenda wamanga zaidi ya ndugu zao wa afro.

Sidhani kama kweli kila kiongozi wa SMZ anaowa Mpemba au wanawaita waarabu wa kipemba, hili nalo ilikuwapo Unguja tena sio Pemba na yote haya kutaka kuweka sawa jamii yao iwe balance kusiwe na matabaka ya huyu anajiona bora kuliko mweziwe, zaidi ya hapo wako Wazanzibari wengi tu wameowa watu wa Bara zaidi kuliko Wapemba.

Kama watawala wamepandikiza chuki hizi zimeanza kwa mahizbu walipokuwa wanawafanya wenziwao kama wanyama, hili halina ubishi watu wanaobisha hilo ni wale walioingiliwa na hao wamanga wakapata virangi na kuchanganya nao but muafrika au mswahili yeyote wa kipindi hiko hakubaliani na wewe maana hata ujenzi uliewekwa kwa watu wa aina flani wao wanaweza kujenga watakavo na wa aina flani wao wanaruhusiwa kujenga kwa madebu tu na nyumba za udongo na nyasi. Rudi masjala kapekure makabrasha ya sheria za ardhi kabla mapinduzi.
 
Wagawe kwa imani ya kidini, kikabila au kikanda ili upate kuwatawala!!!!!

Hayo mambo ya waarabu, wapemba, washirazi, wahadimu n.k ni fimbo ya watawala wanayoitumia watawala kuwajaza ujinga ili pawepo chuki baina yao halafu wao wawatawale.

Kiuhalisia Unguja na Pemba wananchi wake wamekuwa wanashirikiana vyema tu kabla mkoloni mweusi hajaja kupanda chuki ya ubaguzi Zanzibar.

Ikumbukwe wazanzibar kwa umoja wao ndio waliowafuata waarabu wa Omani ili waje wawasaidie kumng'oa mreno jambo ambalo mwarabu kwa moyo mkunjufu alikuja kuwasaidia ndugu zake wa kizanzibar.
Maneno mazito hayo ndugu yangu.
Halafu ikaweje?
MuOman aliponogewa baada ya kualikwa na waZenj sili akamua kuwafanya watumwa au siyo.
Akaamua kupanda minazi baada ya kuwanyag'anya ardhi yao, haafu akaamua kwa upendo mkubwa kuwatumikisha mashambani na kuwaita wakwezi na watwana.!!
Upendo mkubwa huo!

Na baada ya waafrika kushiba upendo wa waOman wakaamua kuwashikia majambia mwaka 1964 na kuwakata kata kwa upendo mubwa.

Halafu hali ikawa shwari ever since!!!
Mkuu ama ulikuwa naThesis na abstract ya aina hiyo, wala usijisumbue kufanya research, nakupa PhD moja kwa moja!!!!
 
Kama wako Intelligence kiasi chote hiko na wanajua yote hayo kwanini wamemkumbatia Karume mtu ambae aliwafanya hadi wakaacha makwao na kukimbilia Mombasa baadae Somalia(Shimoni) hivi somalia kuna nini hadi mtu akimbilie? Intellengece gani huyu, anacha kitanda anaenda kulalia kuti la mnazi? mbona hawajamuazibu Karume ndio kwanza wamemvika masifa ambayo hastahili?

Hivi unaijua kweli kabisa ASP wewe ? nitajie watu watatu tu mtoe Mzee Moyo waliokuwa sio wanzanzibar halisi na wakawa na madaraka kwenye chama hicho kwa kipindi hiko cha 1963 1964. Hii setup ya kuwa Zanzibar hawawezi kumchagua Rais ni ishu ilokuja mara tu Salmin alipomaliza mda wake na kutaka mtu wake Bilal ndio awe Rais wa Zanzibar ila kwa vile Salmin Amour alikuwa na Confict of Interest na Serikali ya Tanganyika kwa makusudi walihujumu na kumuweka Karume na kwa fitna kubwa ya Familia hiyo waloifanya ili waonekane wao ndio watu sahihi, kitu ambacho watu wa wabara (Mkapa na wenzake) wanajutia hadi lana ya leo. Hivyo sio swala la kuwa hawana uwezo wa kuchagua mtu wao ni Wanzanzibar wenyewe kwa kuogopa kivuli chao.

Nashkuru kwa kutambua nini maana ya kutu la ngo'mbe na hilo jina ndio wamepewa na Mzee Karume kwa kuwajua kuwa ni watu wanafiki wanacheka tu usoni ila moyoni ni wabaya na kupenda wamanga zaidi ya ndugu zao wa afro.

Sidhani kama kweli kila kiongozi wa SMZ anaowa Mpemba au wanawaita waarabu wa kipemba, hili nalo ilikuwapo Unguja tena sio Pemba na yote haya kutaka kuweka sawa jamii yao iwe balance kusiwe na matabaka ya huyu anajiona bora kuliko mweziwe, zaidi ya hapo wako Wazanzibari wengi tu wameowa watu wa Bara zaidi kuliko Wapemba.

Kama watawala wamepandikiza chuki hizi zimeanza kwa mahizbu walipokuwa wanawafanya wenziwao kama wanyama, hili halina ubishi watu wanaobisha hilo ni wale walioingiliwa na hao wamanga wakapata virangi na kuchanganya nao but muafrika au mswahili yeyote wa kipindi hiko hakubaliani na wewe maana hata ujenzi uliewekwa kwa watu wa aina flani wao wanaweza kujenga watakavo na wa aina flani wao wanaruhusiwa kujenga kwa madebu tu na nyumba za udongo na nyasi. Rudi masjala kapekure makabrasha ya sheria za ardhi kabla mapinduzi.
Waambie mkuu.
Wengine wanajificha nyuma ya vivuli vya mababu zao waliokuwa wauaji wakubwa.
Wanafikiri kizazi cha walioathirika kimepotea au hakipo.

Udhalimu daima utakumbkwa ingawaje utasamehewa, lakini utakumbukwa.
Hata watu wakiimba Mapunduzi Daima, wana maana yao, hawataki kurudi Enzi hizoooo!!!!
 
Waungwana Vifua bado vimehifadhi mambo mengi sana juu ya hali ilivyokua kabla ya mapinduzi, kumbukeni Maneno yanayozungumzwa kwenye maskani.
 
Mkuu asante kwa kufafanua.
Wengi hawaijui kabisa historia na migawanyiko inayotokana na historia ya kibaguzi huko Zanzibar na Pemba

Mimi nimeishi huko na hadi leo kuna watu wanakuwa classified kama watwana na wengine ni wale waungwana au waliostaarabika.

Ni hizi set racial/class divisions ambazo miaka nenda rudi kura za Wapemba , ambako watu wenye asili ya desendants wa waarabu wanaji identify na CUF for historical reasons wakati wale wa Afro Shirazi Party wako CCM

Hv Dr. Shein Yeye Ana Asili Ipi Kati Ya Hizo Ulizotaja Hapo? Ubaguzi Ni Kitu Kiovu Chenye Kuangamiza.
 
Mungu anipe maisha marefu niendelee kusikiliza na kuangalia hii hadhiti itakomea wapi.
Zanzibar ni ya watu weusi waafrika, ni nchi ya Afrika, kama ilivyosasa ndivyo itakavyoendelea kuwa/

... . . . . . hujui historia ya zanzibar na mapinduzi yalivyotokea
uliza ufahamishwe
mimi ndio chanzo cha historia, wewe ulikuwepo Zanzibar tarehe 12 January 1964 au umesikia kwenye bomba tu?

Washirazi ni waajemi kutoka Iran hawahusiani na waarabu,hadi Leo kuna mji unaitwa Shiraz huko Iran,ndiko asili ya washirazi
sikatai kuna washiraz wa ukweli, hawa ni machotara na hiyo Shiraz lilikuwa neno la utani, ni kama wazungu wakimwita Obama a mutt!

Mshirazi ni mtu mwenye asilia ya Iran, wanatokea sehemu ta Shiraz, kama akina Rostam na akina Mula wa Arusha. Maalim Seif ni mbantu, mwenye kasumba ya kifalme
haha hebu google picha ya Maalim Seif au kamwangalie tena, anaonekana ni mbantu yule?

Crapppp! Umebwia unga tena! Hujaacha kumbe
haya mchangiaji tuma salamu kwa watu watano ........

Washiraz ni watu wa Oman, na hawa akina karume ndio asili yao
washirazi wanaoitwa Zanzibar, ni mchanganyiko wa weusi na waarabu, maana waarabu walizaliana na wanawake wa bara wa kidigo na nyamwezi
 
Sidhani kama kuna ubaya kwa maalaim kugombea kama chama kimempendekeza kugombea........halafu hoja yako ya kijinga saana
 
Kama wako Intelligence kiasi chote hiko na wanajua yote hayo kwanini wamemkumbatia Karume mtu ambae aliwafanya hadi wakaacha makwao na kukimbilia Mombasa baadae Somalia(Shimoni) hivi somalia kuna nini hadi mtu akimbilie? Intellengece gani huyu, anacha kitanda anaenda kulalia kuti la mnazi? mbona hawajamuazibu Karume ndio kwanza wamemvika masifa ambayo hastahili?

Hivi unaijua kweli kabisa ASP wewe ? nitajie watu watatu tu mtoe Mzee Moyo waliokuwa sio wanzanzibar halisi na wakawa na madaraka kwenye chama hicho kwa kipindi hiko cha 1963 1964. Hii setup ya kuwa Zanzibar hawawezi kumchagua Rais ni ishu ilokuja mara tu Salmin alipomaliza mda wake na kutaka mtu wake Bilal ndio awe Rais wa Zanzibar ila kwa vile Salmin Amour alikuwa na Confict of Interest na Serikali ya Tanganyika kwa makusudi walihujumu na kumuweka Karume na kwa fitna kubwa ya Familia hiyo waloifanya ili waonekane wao ndio watu sahihi, kitu ambacho watu wa wabara (Mkapa na wenzake) wanajutia hadi lana ya leo. Hivyo sio swala la kuwa hawana uwezo wa kuchagua mtu wao ni Wanzanzibar wenyewe kwa kuogopa kivuli chao.

Nashkuru kwa kutambua nini maana ya kutu la ngo'mbe na hilo jina ndio wamepewa na Mzee Karume kwa kuwajua kuwa ni watu wanafiki wanacheka tu usoni ila moyoni ni wabaya na kupenda wamanga zaidi ya ndugu zao wa afro.

Sidhani kama kweli kila kiongozi wa SMZ anaowa Mpemba au wanawaita waarabu wa kipemba, hili nalo ilikuwapo Unguja tena sio Pemba na yote haya kutaka kuweka sawa jamii yao iwe balance kusiwe na matabaka ya huyu anajiona bora kuliko mweziwe, zaidi ya hapo wako Wazanzibari wengi tu wameowa watu wa Bara zaidi kuliko Wapemba.

Kama watawala wamepandikiza chuki hizi zimeanza kwa mahizbu walipokuwa wanawafanya wenziwao kama wanyama, hili halina ubishi watu wanaobisha hilo ni wale walioingiliwa na hao wamanga wakapata virangi na kuchanganya nao but muafrika au mswahili yeyote wa kipindi hiko hakubaliani na wewe maana hata ujenzi uliewekwa kwa watu wa aina flani wao wanaweza kujenga watakavo na wa aina flani wao wanaruhusiwa kujenga kwa madebu tu na nyumba za udongo na nyasi. Rudi masjala kapekure makabrasha ya sheria za ardhi kabla mapinduzi.

Mkapa na wenzake wanachukia uchaguzi wa Karume kwa kuwa kwa kiasi Fulani aliponguza sana siasa za chuki Zanzibar siasa ambazo zilirudisha mno maendeleo ya Zanzibar na watu wake!! Sasa kwa Mkapa na viongozi wa CCM Tanganyika hili hawalitaki Maana wanaelewa fika kuwa siku wazanzibar watakapoacha siasa zao za kuchukiana na kuwa kitu kimoja basi huo ndio mwanzo wa Zanzibar kuondokana na mkoloni mweusi.

Hilo la Karume la kuwafanya WAPEMBA wawe wakimbizi na leo wanamkumbatia huyo huyo Karume Hilo sidhani nijambo la ajabu!! Wako watu walikuwa ni waovu zaidi ya Karume lakini mwisho wa siku wakawa ni watu wema na wenye manufaa kwa hao ambao walikuwa anawafanyia ubaya!! Kama wewe ni mkristo unaelewa fika aliyoyafanya Paul kabla hajakuwa mtume wa wakiristo au Kama ni muislamu basi unajua jinsi sayyidna Ally kabla hajaingia uislamu.

Kuhusu Karume kama alivyosema mwenyewe baaada ya lile tukio waliwatuma watu kwenda sehemu mbalimbali kuomba msamaha na kuahidi kuwa kitendo kile katu hakitojirudia tena na hilo amelitimiza.!! Nakumbuka kitendo kile walikifanya Polisi ambao ni kitengo kilicho chini ya serikali ya muungano ambayo ilikuwa chini ya Mkapa hivyo Mkapa ndio muhusika mkuu.

Hilo la WAPEMBA kuwabagua ndugu zao asp nadhani nimeshakujibu kuwa waliwatambuwa kuwa wale sio wenzao!!! Au unajifanya hujui kuwa kambi iliyoandaa mapinduzi ilikuwa sakura tanga chini ya mvamizi mwengine Okelo!?

Hilo la mahizbu la kuwatesa wazanzibar weusi ni katika muendelezo ule ule wa ukitaka kumuuwa mbwa basi mpe jina baya!!! Sasa hizo stories zako za kupasua wanawake wenye mimba, kutoboa watumwa miguu na Kuwatia minyororo, kumpiga mtu bunduki akiwa juu ya mnazi ninakuwachia nazo mwenyewe pamoja na mapicha yako yakuchora au yakuchonga Kamayaliyopo pale kanisa la mkunazini.

Mwisho Karume alitambua hawezi kuwatawala WAPEMBA kwa maonevu halafu wakakuchekea, nilazima watakupinga japo kwa siri ikiwa kwa dhahiri hawawezi ndio Maana akaja na hilo la KUTU ya ng'ombe!! WAPEMBA sifa yao kubwa ni kumtambua ni Nani adui au rafiki yao.
 
Back
Top Bottom