Kijana ahukumiwa miezi 6 jela kwa kuva sare za JWTZ ili kumshawishi mchumba wake kuwa yeye ni Askari

Wote wapumbavu tu kutoka hao wanaosherehekea siku ya upendo duniani mpaka huyo aliyevaa nguo za jeshi eti kuaminisha mwanamke anampenda,unateua siku moja tu kusherehekea upendo kwani hizo siku nyengine huwa mnauwana?
 
Sura yenyewe ya kuonyesha upendo iko wapi?mwizi tu huyu ona
 
Uvaaji wake tu wa hizo sare unamfanya aonekane kanjanja badala ya mwanajeshi
 
Yaani iwe kila ifikapo tarehe 5 Desemba au siyo?🤣
 
ndio mkuu hii haijawahi kutokea hata huyo mwanamke amkubali tu.
ila tatizo sura imekaa kitapeli
Wewe utakuwa tayari kuadhimisha siku ambayo tapeli (kama unavyomchukulia wewe kutokana na muonekano wa sura yake) alitenda kosa?
 
Swala hapa sio kuvaaa,swala kazipata wapi hizo bakabaka full seti na kofia??
 
Hivi huwaga hakuna hukumu ya kutumikia jamii hadi mtu afungwe tu?

Hiloni kosa dogo sana kumfunga huyo kijana bhana.

Mahakimu nao nadhani wana stress zao.

Angelikuwa kakamatwa kwenye tukio la uhalifu hapo sawa.
 
Hivi huwaga hakuna hukumu ya kutumikia jamii hadi mtu afungwe tu?

Hiloni kosa dogo sana kumfunga huyo kijana bhana.

Mahakimu nao nadhani wana stress zao.

Angelikuwa kakamatwa kwenye tukio la uhalifu hapo sawa.
Uhalifu wa kutaka kupata K kirahisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…