sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
N.B: HADI NAFIKA HAPA NIMEONA KUNA PONGEZI NYINGIZAIDI YA MALALAMIKO KWA WALIOFANYA KAZI KWA WAZUNGU, KWA WENZETU WAHINDI, WACHINA, N.K HUKO KUNA MALALAMIKO MENGI KUZIDI PONGEZI, HIVYO NAOMBA USHAURI UWE UMELENGA LUGHA ZA ULAYA.
Habari zenu wakuu, Nina kijana kamaliza form 6 mtoto wa shangazi yupo hapa home, Dogo anaenda kusomea accounting / Uhasibu., Kama mnavyojua hii fani ipo na wahitimu wengi mno, Nikaona ni heri aanze kupanua goli kwa kujifuza lugha ya ziada
Lengo nataka hata akikosa ajira.
- ajaribu huko kwenye Ma NGO ya ujerumani, Ufaransa, Italy, Sweeden, wadachi, n.k
-awe anafanya kazi online za watu wa nchi wanaoongea lugha husika (mfano anafanyia watu book keeping online
- kwenda kuishi katika nchi anayongea lugha husika na kuanza maisha huko huku akiwa sio mgeni wa lugha
Kwa hali ya sasa kiukweli kama mnavyoona ajira zimekuwa ni ishu, Hata kufaulu form 6 siku hizi ni kama kunywa maji tu, wanaoenda vyuoni ni wengi mno, na wahitimu ni wengi mno, hivyo inabidi walau utie japo ubunifu wa kukufanya uwe unique kidogo ili kupanua goli la kutusua.
Kijana nimemshauri ajifunze lugha mpya awe unique kidogo, hiki kiingereza kiukweli japo huku kinatupa shida, siku hizi hakina dili sana linapokuja swala la fursa, Ni lugha ambayo karibu kila mtu alieelimika anaijua japo kwa kbangaiza 😂 na hata majirani zetu Kenya, Uganda, Zambia, n.k ni lugha zao rasmi.
Kigezo kimojawapo nachodhani kina uzito kwa sasa ni kujua hizi lugha za wamiliki wa makampuni haya ya NGO ya wazungu, mfano ukijua kijrumani, kidachi, ki italiano, kifaransa, n.k basi hapo huenda Tanzania nzima mkawa hamfiki hata kumi, hapo kidogo unajiongeza points,
Sasa nauliza hivi makampuni mengi haya ya NGO hasa ya azungu huwa yanakuaga ni ya nchi zipi??
Nina imani huenda akijifunza hizo lugha za hao wenye makampuni ya NGO, Huenda llabda itampuongezea wigo mpana wa kupata fursa.
Naombeni ushauri wa ziada pia
Habari zenu wakuu, Nina kijana kamaliza form 6 mtoto wa shangazi yupo hapa home, Dogo anaenda kusomea accounting / Uhasibu., Kama mnavyojua hii fani ipo na wahitimu wengi mno, Nikaona ni heri aanze kupanua goli kwa kujifuza lugha ya ziada
Lengo nataka hata akikosa ajira.
- ajaribu huko kwenye Ma NGO ya ujerumani, Ufaransa, Italy, Sweeden, wadachi, n.k
-awe anafanya kazi online za watu wa nchi wanaoongea lugha husika (mfano anafanyia watu book keeping online
- kwenda kuishi katika nchi anayongea lugha husika na kuanza maisha huko huku akiwa sio mgeni wa lugha
Kwa hali ya sasa kiukweli kama mnavyoona ajira zimekuwa ni ishu, Hata kufaulu form 6 siku hizi ni kama kunywa maji tu, wanaoenda vyuoni ni wengi mno, na wahitimu ni wengi mno, hivyo inabidi walau utie japo ubunifu wa kukufanya uwe unique kidogo ili kupanua goli la kutusua.
Kijana nimemshauri ajifunze lugha mpya awe unique kidogo, hiki kiingereza kiukweli japo huku kinatupa shida, siku hizi hakina dili sana linapokuja swala la fursa, Ni lugha ambayo karibu kila mtu alieelimika anaijua japo kwa kbangaiza 😂 na hata majirani zetu Kenya, Uganda, Zambia, n.k ni lugha zao rasmi.
Kigezo kimojawapo nachodhani kina uzito kwa sasa ni kujua hizi lugha za wamiliki wa makampuni haya ya NGO ya wazungu, mfano ukijua kijrumani, kidachi, ki italiano, kifaransa, n.k basi hapo huenda Tanzania nzima mkawa hamfiki hata kumi, hapo kidogo unajiongeza points,
Sasa nauliza hivi makampuni mengi haya ya NGO hasa ya azungu huwa yanakuaga ni ya nchi zipi??
Nina imani huenda akijifunza hizo lugha za hao wenye makampuni ya NGO, Huenda llabda itampuongezea wigo mpana wa kupata fursa.
Naombeni ushauri wa ziada pia