Kijana ajinyonga baada ya kuliwa kwenye kamari

Kidagaa kimemwozea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
3,680
Reaction score
6,554
Kijana Baraka Isaya Kapange (23), dereva bajaji mkazi wa mtaa wa Nkuyu Jijini Mbeya amejinyonga jana Februari 9, 2025, ndani kwake baada ya kuliwa pesa kiasi cha shilingi elfu 60 katika mchezo wa kamari na kuacha ujumbe mzito wa kuomba radhi kwa familia, mama yake, mke na mtoto wake.

Chanzo: EATVSAA1

Tafadhali sana cheza kwa kiasi. Cheza kiwango ambacho unaweza kuhimili ukipoteza. Jua niwakati gani wa kuacha kucheza.
Your browser is not able to display this video.
 

Amejinyonga au amenyongwa?
 
Kubeti mwachieni Sativa
 
Aisee, kamari inapagawisha sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…