Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Kijana Baraka Isaya Kapange (23), dereva bajaji mkazi wa mtaa wa Nkuyu Jijini Mbeya amejinyonga jana Februari 9, 2025, ndani kwake baada ya kuliwa pesa kiasi cha shilingi elfu 60 katika mchezo wa kamari na kuacha ujumbe mzito wa kuomba radhi kwa familia, mama yake, mke na mtoto wake.
Chanzo: EATVSAA1
Tafadhali sana cheza kwa kiasi. Cheza kiwango ambacho unaweza kuhimili ukipoteza. Jua niwakati gani wa kuacha kucheza.
#EastAfricaTV
Kajinyonga...ni huku mbeya kuuAmejinyonga au amenyongwa?
DahSheikh baraka hakujua hii kauli "bet what you can afford to lose "
Kubeti mwachieni SativaKijana Baraka Isaya Kapange (23), dereva bajaji mkazi wa mtaa wa Nkuyu Jijini Mbeya amejinyonga jana Februari 9, 2025, ndani kwake baada ya kuliwa pesa kiasi cha shilingi elfu 60 katika mchezo wa kamari na kuacha ujumbe mzito wa kuomba radhi kwa familia, mama yake, mke na mtoto wake.
Chanzo: EATVSAA1
Tafadhali sana cheza kwa kiasi. Cheza kiwango ambacho unaweza kuhimili ukipoteza. Jua niwakati gani wa kuacha kucheza.
#EastAfricaTV
DahHuu Mwaka ume anza kiwaki ehh, mmoja kaji nyonga leo kisa ugomvi na mkewe.
Una uhakika gani hasa kwamba amejinyonga na Wala hakunyongwa?Kajinyonga...ni huku mbeya kuu
Ushahama Arusha?Kajinyonga...ni huku mbeya kuu
Wewe una hakika gani amenyongwa na hakujinyonga?Una uhakika gani hasa kwamba amejinyonga na Wala hakunyongwa?
Aisee, kamari inapagawisha sana.Kijana Baraka Isaya Kapange (23), dereva bajaji mkazi wa mtaa wa Nkuyu Jijini Mbeya amejinyonga jana Februari 9, 2025, ndani kwake baada ya kuliwa pesa kiasi cha shilingi elfu 60 katika mchezo wa kamari na kuacha ujumbe mzito wa kuomba radhi kwa familia, mama yake, mke na mtoto wake.
Chanzo: EATVSAA1
Tafadhali sana cheza kwa kiasi. Cheza kiwango ambacho unaweza kuhimili ukipoteza. Jua niwakati gani wa kuacha kucheza.
Mapema sana akachukua majukumu, akazidiwa akabeti kwa pressure. Akatupa taulo kaacha mjane na yatima. Alikuwa hajakomaa kihisia.dogo alianza kuyakabili maisha akiwa mdogo sana miaka 23 tayar mke na mtoto
Je, haukuona alama ya kuuliza mwishoni kwenye hiyo comment yangu ya hapo juu? Rudia tena kusoma vizuri hiyo comment yanguWewe una hakika gani amenyongwa na hakujinyonga?