Kijana akataa ushauri wa Baba yake kuhusu kuoa Dini tofauti

Kijana akataa ushauri wa Baba yake kuhusu kuoa Dini tofauti

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
20240615_151836.jpg
 
Tukienda mbele ni mtoto ndio kakosea kumjibu baba yake hivo(kama ni kweli),ila tukirudi nyuma baba ndio alikosea kipindi alimwacha mwanae akakosa malezi yake,angemlea poa mtoto asingekuwa na maneno hayo kwa baba yake , hatambui makosa yake maana baba aliacha gape kwenye makuzi ya mtoto, Baba ayapokee
Malezi ni msingi muhimu wa mambo mengi, inawezekana chanzo ni malezi.
 
Ukitaka usiitwe hivyo na mwanao wa kidigitali lea mwenyewe, ukitoroka tu ukamwachia binti wa watu mzigo hilo jina linaweza lisikwepeke.
Unachosema ni kweli ila sikio la kufa halisikii dawa, alafu baadae mzee aseme mtoto anamtenga.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Uzuri ni kwamba Kila Mtu atavuna anachopanda...
Ni ujinga Sana kufanyiwa maamuzi na wengine
 
Kama alikutelekeza you owe him nothing whatsoever hata salam tu hastahili.
 
Back
Top Bottom