Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Mvua ikikatika tu nakupigiaaa š¹Sawa,,,lkn uko wapi now
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mvua ikikatika tu nakupigiaaa š¹Sawa,,,lkn uko wapi now
Electric eel anapatikana mto Amazon, America ya Kusini!, ...!Hao madogo watakua wamempata labda kwenye matope..
Ila ingekua kwenye maji wangepigwa shoti Kali ya umeme na wange poteza Maisha.
Huyu electric eel anaua mpaka MAMBA na ANAPIGA shoti balaa
Ingia YouTube uangalie video zake
Huyu ndo inatoa umeme, hao wengine sidhani.Huyo ndio ""ELECTRIC EEL"" kwa kiswahili anaitwaga "*CHUNUSI"" SAMAKI mwenye uwezo wa kuzalisha UMEME mkubwa Sana.
Na mythology kubwa Sana huku Africa wanamwitaga CHUNUSI mnyonya damu
Hao ma dogo wamewezaje kumkamata huyu ELECTRIC EEL ā” ā”
View attachment 3146168
View attachment 3146170
Huyo siyo electric fishHuyo ndio ""ELECTRIC EEL"" kwa kiswahili anaitwaga "*CHUNUSI"" SAMAKI mwenye uwezo wa kuzalisha UMEME mkubwa Sana.
Na mythology kubwa Sana huku Africa wanamwitaga CHUNUSI mnyonya damu
Hao ma dogo wamewezaje kumkamata huyu ELECTRIC EEL ā” ā”
View attachment 3146168
View attachment 3146170
Ni nani huyo Mkuu, AFISA SAMAKI MKUU WA TANGANYIKA.Huyo siyo electric fish
Hii ni notion na inaweza kuwa debatable.Electric eel anapatikana mto Amazon, America ya Kusini!, ...!
Kuna varieties ya species mkuu wapo wanao toa umeme na wengine hawana huo uwezo wa kutoa umeme..Huyu ndo inatoa umeme, hao wengine sidhani.
Kwa hiyo wewe uliyesema ni Electric Fish utakuwa ni Waziri wa Samaki?Ni nani huyo Mkuu, AFISA SAMAKI MKUU WA TANGANYIKA.
Mkuu,
Huyu EEL najiuliza wamewezaje kumkamata na kwa ukubwa wake angeweza kuwapiga shoti
Binafsi Mimi siwezi kula huyo KIUMBE yaan ni SAMAKI wa maajabu.
TrueSio kila mkunga anatoa umeme...
Kuna eel wa kawaida na wale wanaotoa shoti...
Kwa Nia njema ukifanya constructive criticism ni vyema kabisaa kutoa ufafanuzi/ kudadavuaKwa hiyo wewe uliyesema ni Electric Fish utakuwa ni Waziri wa Samaki?
Kwa hiyo wewe ulivyojibu pale ndiyo ulidadavua?Kwa Nia njema ukifanya constructive criticism ni vyema kabisaa kutoa ufafanuzi/ kudadavua
Wewe ulipinga na hukutoa ufafanuzi/ maelekezo so inakua vyema zaidi ukiwa unatolea maelekezo ya kina.
All in all,
Tupo pamoja mkuu āļø
Kweli mkuuKuna varieties ya species mkuu wapo wanao toa umeme na wengine hawana huo uwezo wa kutoa umeme..