TANZIA Kijana aliyempiga makofi Rais Ali Hassan Mwinyi afariki dunia

TANZIA Kijana aliyempiga makofi Rais Ali Hassan Mwinyi afariki dunia

Mzee Mwinyi msiba huu ingependeza kama atahudhuria au kupeleka rambirambi zake

Wasimchoshe mzee wa watu.
Maana mtu akiwa na 90+ kuna namna ya kuishi naye. Siyo kila habari anapelekewa.
 
Nakumbuka mbali sana,disco la mchana mawoso wamevaa masketi yao ya shule afu mwalimu hataki tubambie.
hahahaha kuna siku wametuletea form one tupu wakubwa wakazira.. dah tuliwamaindi sana aisee!! afu kesho yake wanapita wanaenda milambo! Tukawamwagia maji ya maharage kwa hasira.....hahahaha
 
hahahaha kuna siku wametuletea form one tupu wakubwa wakazira.. dah tuliwamaindi sana aisee!! afu kesho yake wanapita wanaenda milambo! Tukawamwagia maji ya maharage kwa hasira.....hahahaha
Hahahahaaa,hiyo ni dharau.Walambo na tabia yao ya kutuita sie mashemeji..
 
Jamaa nilipiga nae iliboru pamoja na tabora boys pale alikuwa clean sana olevel japo a level hakupiga kivile alikuwa mcheshi na aliondoka na one ya 11 pale iliboru, kulikuwa na jamaa yake mmoja anamfahamu sana tulivomaliza olevel mimi na huyo jamaa yake tulichaguliwa kibaha boys PCB alikuwaga ananipaga stori zake sana za huyo jamaa, tulisoma kidogo pale kibaha lakini tulitaka kubadilisha kwenda PCM head master alizingua ndo tukahamia tabora boys PCM, jamaa alimalizaga topic zote form five na suala la kuingia class kwake ilikuwa halipo kabisa sanasana msuli alikuwa anapigia msikitini, baadae kuna tukio walifanyaga sikumbuki vizuri ila ni kama walimzinguaga head master na baadhi ya wenzake wakasimamishwa skuli walikujaga kufanyaga necta wakachezeaga division three, baadae nilikujaga kusikia yupo ifm na siku si nyingi likatokea tukio la kumpiga kofi mwinyi
 
Nimeipenda Hilo swali la jamaa inaonekana alikuwa na hasira na U T.O.
Eti hapa na nyie mnasoma kuutafuta u.t.o hahahaha
Ila wa HGL kwenda PCB Kisha Zero alijitakia
Basi wewe labda ulikua darasa moja nyuma yake. Maana issue ya kumpiga Masele teke ilivuma sana shule nzima. Mpaka kukawa na bifu la waalimu makafiri na wanafunz waislamu wanaoshinda kule jidi.

Walimu walitaka msikiti ufungwe kabisa, sema bahati nzuri Headmaster Mrisho alikua muislamu ndio ikawa nafuu yao.
Na pia waliokua wanalala kule Jidi wote walikua wanafaulu vizuri tu mfano kina Katuta Ramadhani, Masumbuko Sadiki.

Kumaliza syllabus ndio kulipelekea apigwe sanspaa sijui wewe ulikuaga haupo shule labda. Tena siku hiyo Paredi waliitwa kama wanne na IBRA akiwemo, wakasepeshwa home.

Nachoshangaa pamoja na kumaliza syllabus mapema bado jamaa alipiga division three form six.

Halafu wakati kafika pale form five akawa anawauliza wanafunz waboys eti:
"Hivi na nyie hapa huwa mnasoma huku mna mawazo ya kuwa ma-TO kama Ilboru"

Haya matukio yote yanatokea wewe ulikuaga wapi?? Ulikua unajichimbia chemba za Umuofia pale kwa David Lachman jamaa aliehama kutoka HGL kwenda PCB kisha akatoka na Division Zero form six yenu.

Sent from my XT1650 using JamiiForums mobile app
 
Yes ila hill LA kumpiga Masele sikuwah kuliskia pia hakuwah pewa suspension ,kuhusu kumaliza syllabus in kawaida ya Waboizia,,Hao uliowataja aliomaliza nao ni Harod Makambi Nila na Opiyo Tu wengine walikua Nyuma,Bila Shaka utakua ulikua JIRAN pale
Alimpiga Masele aka My Boys,hahahaa.
 
Alifungwa jela nwaka mmoha/miwili
Kutokana namatatizo ya akili hajumaliza adhabu akapelekwa Milembe na baadaye kurudi kitaa

Kutokana na uchizi alisumbua sana kitaani kuna kipindi alikuwa anatembea uchi
Duuu upo vizuri, kumbe yaliendelea nilijua yameishia pale pale aliposamehewa
 
Alifungwa jela nwaka mmoha/miwili
Kutokana namatatizo ya akili hajumaliza adhabu akapelekwa Milembe na baadaye kurudi kitaa

Kutokana na uchizi alisumbua sana kitaani kuna kipindi alikuwa anatembea uchi
Lah inasikitisha sana
 
Kuna watu walimtetea sana humu JF, Kumbe nao wana matatizo ya akili? 🙉🙉
 
Aisee Alikua kichwa Sana huyo jamaa. Inaonekana namba zilikua hazimpi tabu sasa ilikuaje akashindwa kuzidisha na kutoa kwa mzee mwinyi
Tulisoma wote Umoja Primary School Mabibo
O level kasoma Ilboru
A level kasoma PCM Tabora Boys

Baada ya hapo matatizo yakaanza
 
Back
Top Bottom