Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
atakua hakumbuki tena mzee umri umesogeaMzee Mwinyi msiba huu ingependeza kama atahudhuria au kupeleka rambirambi zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
atakua hakumbuki tena mzee umri umesogeaMzee Mwinyi msiba huu ingependeza kama atahudhuria au kupeleka rambirambi zake
Itakuwa walimharibu akili nabkumpa kitu cha kumuondoa duniani taratibuAlifungwa hakumaliza kifungo kutokana na matatizo ya akili aliyokuwa bayo hadi amefariki leo ghafla
Wewe baada ya Umoja primary ulienda wapi?Tulisoma wote Umoja Primary School Mabibo
O level kasoma Ilboru
A level kasoma PCM Tabora Boys
Baada ya hapo matatizo yakaanza
......
Nafikiri walishskutana sasa huko.Waungwana
Yule kijana aitwaye Ibrahim Said almaarufu Sultan mkazi wa Mabibo Loyola amefariki dunia asubuhi hii
Marehemu alijipatia umaarufu kutokana na kitendo chake cha kumchapa kibao mzee Mwinyi kwa kitendo cha kuhimiza sijui matumizi ya kondomu ambayo ni kinyume na imani ya Kiislamu
Ndo tunajiandaa kwa mazishi mchana huu
Yaani kila baya linalotafutwa la huyu mzee hakuna...Nimeingia you tube kuangalia hilo tukio.kweli mzee mwinyi alikuwa na HEKIMA SANA.
Baada ya tukio aliwaambia "tuendelee tuendelee,tulieni tulieni"
Title ya kifala sanaWaungwana
Yule kijana aitwaye Ibrahim Said almaarufu Sultan mkazi wa Mabibo Loyola amefariki dunia asubuhi hii
Marehemu alijipatia umaarufu kutokana na kitendo chake cha kumchapa kibao mzee Mwinyi kwa kitendo cha kuhimiza sijui matumizi ya kondomu ambayo ni kinyume na imani ya Kiislamu
Ndo tunajiandaa kwa mazishi mchana huu