TANZIA Kijana aliyempiga makofi Rais Ali Hassan Mwinyi afariki dunia

Nafikiri walishskutana sasa huko.

Maisha ni ubatili.
Wema na waovu wote wanakufa
 
Nimeingia you tube kuangalia hilo tukio.kweli mzee mwinyi alikuwa na HEKIMA SANA.
Baada ya tukio aliwaambia "tuendelee tuendelee,tulieni tulieni"
Yaani kila baya linalotafutwa la huyu mzee hakuna...
Alikua mtu safi sana aiseeeee
πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Title ya kifala sana

Hakumpiga makofi

Ushabiki wa kishoga sana umeuonyesha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…