Kijana aliyetushia uhai wa Rais Biden auawa

Kijana aliyetushia uhai wa Rais Biden auawa

Huyu jamaa nae alizidi, anatishia kuua viongozi, na sio kwa maneno matupu Bali anaonyesha na silaha kabisa tena nzito, walienda kumuhoji mara ya kwanza akawafukuza akawaambia waje na arrest warrant, Biden anaenda ziara uttah, jamaa akapost kua lazima atamuua Biden, fbi wakapata warrant ya kumkamata, kumbuka ana silaha mambo yakaenda ndio sivyo hakutaka kua mpole akauawa

Sasa huku kwetu we post unataka kumuua Samia afu onyesha na silaha, ***** hakuna Cha warrant Wala Nini jioni yake utakua unakaangwa pumbu mpaka maji uyaite MMA

Huwezi linganisha democracy ya huku na Kule hata siku Moja, sema ukivuka mipaka lazima ushughulikiwe

Majuzi kua jamaa lilikua linamfokea Biden linamwambia "you work for me,answer My questions" walinzi wa Biden wakawa wanamtuliza jamaa, jaribu hapa bongo utuletee mrejesho

Nimecheka tu basi, ila ndio ukweli mchungu, huku Afrika yaani tu......
 
Vidonda vya kuuliwa kwa jfk bado havijapona japo imepita miaka 50 na point halafu atokee mpuuzi atishie usalama wa rais wa taifa lile . Hakika lazima ageuzwe crippled plaything.
 
Kufika hatua ya kutaka kumdhuru rais ni kuvuka red line jamani. Marekani hawataki tena aibu ya kuuliwa kizembe kwa marais wao. Hivyo walivyofanya ni sahihi.
Aliyekwambia Rais wa Us anauliwa kizembe ni nani ?
Marais wote huwa wanauliwa na watu wao wa karibu wanaofanya nao kazi.
 
Yani ata ivo walimchelewesha..ana sniper rifle,,vazi la kujifichia la ma sniper..na aka declare Utah kuwa maarufu kwa kumtungua Rais...Yani wamefanya ustaarabu uliopitiliza
 
Huyo mtu,alikua na bunduki kabisa na amekua akitishia siyo maramoja.Askari wammtembelea mara ya kwanza,lakini akaendelea.Hata hivyo hakuishia kumtishia Rais tu,bali hata viongozi wengine,ambapo haijawekwa wazi,kama alipovamiwa na FBI,aliriakitije..
Si afadhari hata hao wametoa taarifa dunia nzima inafahamu nini kimemkuta huyo aliyeuawa,tofauti na huku ya kuuana kimya kimya??na kuwaachia ndugu maswali bila majibu juu ya ndugu yao alipo
 
Kumbuka huyu ndiye aliyemtishia Ben Saanane humu, na muda mfupi yakatokea yaliyotokea. Na Kuna mpaka Uzi kumuhusu huyu na watu wamekuwa wakisema ni mshukiwa Namba Moja huyu.

Huyo jamaa hawezi kuepuka kikombe cha Ben Saanane.
 
Wanasiasa wote ni wapumbavu tu. Mnaua binadamu wenzenu kwa sababu tu ya kujilimbikizia madaraka! Halafu na nyinyi mwisho wa siku mnakufa kama hao mlio waua!! Ina faida gani sasa!!!
 
Killing someone; on political, legal or religious basis or otherwise ; is simply helping him or her to pay his/her debt of nature earlier before the due date while waiting for your turn with no one around to help .
Whatever reason that will mark the end of your existence, that reason marks your due day.
 
Hapa tupo Bora tuende tu, atokee mtu atishie uhai wa rais akiwa na silaha uone kama watasubiri hata wapate Hio warrant ya mahakama, usijitoe ufahamu!!!!
Usichanganye mambo basi. mtu akitokea sehemu atishie usalama wa Raisi, tena akiwa na silaha, hakutakuwa na warrant wala nini, atashugulikiwa.

Hatahivyo kuna baadhi ya masharti (sheria na kanuni)ambayo polisi lazima atimize kabla ya kukukamata. Kwa mfano, lazima wawe na sababu za msingi za kuamini mtu ana, yuko karibu au atafanya kosa. Kumtishia Raisi ukiwa na silaha ni kosa na kama ni imminent utashugulikiwa papo hapo.
Sasa ukisema atishie kama alivyotishia huyo mzee, ujue kuna sheria na kanuni vilevile zenye kutoa miongozo hiyo Tanzania.

Mfano utishie usalama wa Raisi humu ndani, ujue vyombo vya Usalama vitatafuta aina ya warrant mahakamani kumlazimu JF atoe taarifa zako! Tanzania sio bora liende!

Sasa basi, huna chochote cha kuback up hayo unayodai.

Hebu toa kisa kimoja tu Tanzania mtu alimtishia Rais usalama wake akakamatwa na kuuwawa. Na hakika huna. Ndio sababu nakwambia usiokote hayo ma movie ya kipropaganda ukaja kudai humu kuwa ni ya kweli.
Itoshe, kila siku Marekani watu wanakamatwa na kuuwawa kama kuku tu bila hizo warrant wala nini, alimradi wewe ni mweusi tu.
 
Chama cha Republican kina watu wapumbavu sana, ni kama magaidi tu. Ni jambo zuri, mtu yeyote hatakiwi kuishi kwa wasiwasi wa kuuawa.
 
Huyu jamaa nae alizidi, anatishia kuua viongozi, na sio kwa maneno matupu Bali anaonyesha na silaha kabisa tena nzito, walienda kumuhoji mara ya kwanza akawafukuza akawaambia waje na arrest warrant, Biden anaenda ziara uttah, jamaa akapost kua lazima atamuua Biden, fbi wakapata warrant ya kumkamata, kumbuka ana silaha mambo yakaenda ndio sivyo hakutaka kua mpole akauawa

Sasa huku kwetu we post unataka kumuua Samia afu onyesha na silaha, ***** hakuna Cha warrant Wala Nini jioni yake utakua unakaangwa pumbu mpaka maji uyaite MMA

Huwezi linganisha democracy ya huku na Kule hata siku Moja, sema ukivuka mipaka lazima ushughulikiwe

Majuzi kua jamaa lilikua linamfokea Biden linamwambia "you work for me,answer My questions" walinzi wa Biden wakawa wanamtuliza jamaa, jaribu hapa bongo utuletee mrejesho
Alikuwa anajiandaa kufanya ugaidi.
 
Huyu jamaa nae alizidi, anatishia kuua viongozi, na sio kwa maneno matupu Bali anaonyesha na silaha kabisa tena nzito, walienda kumuhoji mara ya kwanza akawafukuza akawaambia waje na arrest warrant, Biden anaenda ziara uttah, jamaa akapost kua lazima atamuua Biden, fbi wakapata warrant ya kumkamata, kumbuka ana silaha mambo yakaenda ndio sivyo hakutaka kua mpole akauawa

Sasa huku kwetu we post unataka kumuua Samia afu onyesha na silaha, ***** hakuna Cha warrant Wala Nini jioni yake utakua unakaangwa pumbu mpaka maji uyaite MMA

Huwezi linganisha democracy ya huku na Kule hata siku Moja, sema ukivuka mipaka lazima ushughulikiwe

Majuzi kua jamaa lilikua linamfokea Biden linamwambia "you work for me,answer My questions" walinzi wa Biden wakawa wanamtuliza jamaa, jaribu hapa bongo utuletee mrejesho
Unakaangawa pumbu[emoji1787][emoji1787]
 
Moja ya story nimeipenda ktk kupitapita mtandao I ni hii ya kijana mmoja huko Marekani kuuwawa na FBI baada ya kutisha Uhai wa Rais Biden.
Je ingekuwa kwetu Tz tungesema mengi Rais dictator na hana ubinadam ila huko Demokrasia inapozaliwa jamaa wamemlaza down bila hata kutaka kujua why alikuwa akimtishia Rais.

----

A man who posted violent threats against President Joe Biden and other officials online was shot dead during an FBI raid on Wednesday.

Agents were attempting to serve an arrest warrant on Craig Robertson at his home in Utah, just hours ahead of a planned visit to the state by Mr Biden.
A criminal complaint said Robertson posted threats on Facebook against Mr Biden and a prosecutor pursuing criminal charges against Donald Trump.

The FBI declined to give more details.
The raid happened at about 06:15 local time in Provo, about 40 miles (65 km) south of Salt Lake City.


criminal complaint outlined messages that Robertson made on Facebook including pictures of guns and threats to kill Mr Biden and Alvin Bragg, the Manhattan district attorney leading an investigation into a hush-money payment by Mr Trump to an adult film star.

According to the complaint, other messages targeted US Attorney General Merrick Garland and New York Attorney General Letitia James.

Robertson posted on Facebook: "I hear Biden is coming to Utah. Digging out my old ghillie suit and cleaning the dust off the M24 sniper rifle."

It was just one of dozens of violent messages and photos of weapons posted on two of Robertson's Facebook accounts.

The complaint said Robertson came to the attention of federal agents in March after he posted a threat against Mr Bragg on Truth Social, the social network owned by Mr Trump. The company alerted the FBI's National Threat Operations Center.

FBI agents then visited the suspect, who told them that the post was a "dream" and ended the conversation by saying: "We're done here! Don't return without a warrant!"

Later posts by Robertson referenced his encounter with the agents, showed him in camouflage used by snipers, and repeatedly threatened public officials.

The messages continued as late as Tuesday, when he posted: "Perhaps Utah will become famous this week as the place a sniper took out Biden the Marxist."

Mr Biden will make his first visit to Utah as president on Thursday, with a visit to a veterans' hospital and a fundraising event in Park City
Hujaelezea mazingira aliyouliwa isije ikawa mazingira kama ya Hamza hlf unataka demokrasia itumike
 
Huyu jamaa nae alizidi, anatishia kuua viongozi, na sio kwa maneno matupu Bali anaonyesha na silaha kabisa tena nzito, walienda kumuhoji mara ya kwanza akawafukuza akawaambia waje na arrest warrant, Biden anaenda ziara uttah, jamaa akapost kua lazima atamuua Biden, fbi wakapata warrant ya kumkamata, kumbuka ana silaha mambo yakaenda ndio sivyo hakutaka kua mpole akauawa

Sasa huku kwetu we post unataka kumuua Samia afu onyesha na silaha, ***** hakuna Cha warrant Wala Nini jioni yake utakua unakaangwa pumbu mpaka maji uyaite MMA

Huwezi linganisha democracy ya huku na Kule hata siku Moja, sema ukivuka mipaka lazima ushughulikiwe

Majuzi kua jamaa lilikua linamfokea Biden linamwambia "you work for me,answer My questions" walinzi wa Biden wakawa wanamtuliza jamaa, jaribu hapa bongo utuletee mrejesho
Mwambukusi kashikwa jana eti ni mchochez , Tanganyik hatun serekali
 
Back
Top Bottom