Kijana asemeshwa na koti aliloiba kwa Mzee Sumbawanga. Napendekeza huyo Mzee achukuliwe kisirisiri na serikali kusaidia baadhi ya Mambo yenye utata

Kijana asemeshwa na koti aliloiba kwa Mzee Sumbawanga. Napendekeza huyo Mzee achukuliwe kisirisiri na serikali kusaidia baadhi ya Mambo yenye utata

Ndugu zangu Watanzania,

Hii Nchi yetu ina kila aina ya sayansi na wana sayansi. Huko Mkoani Rukwa wilaya ya Sumbawanga kumejitokeza jambo ambalo limenigusa sana .

Embu Soma habari hii👎View attachment 3233717

Huyu mtu alitakiwa achukuliwe kisirisiri na kupewa kila huduma anayohitaji ili awe maalumu kusaidia baadhi ya mambo mazito mazito😀😀.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Lucas Mwashambwa, haya mambo hayapendwi kabisa na chama chenu cha majambazi. Huyo mama yenu na mwenzake Waziri watajikuta wanatakiwa kunya mafenesi waliyoiba
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hii Nchi yetu ina kila aina ya sayansi na wana sayansi. Huko Mkoani Rukwa wilaya ya Sumbawanga kumejitokeza jambo ambalo limenigusa sana .

Embu Soma habari hii👎View attachment 3233717

Huyu mtu alitakiwa achukuliwe kisirisiri na kupewa kila huduma anayohitaji ili awe maalumu kusaidia baadhi ya mambo mazito mazito😀😀.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ccm mna akili za kilozi sana, Sasa mnatoka kwenye uchawa mnahamia kwenye uchawi hiyo ndo sifa ya kuwa kiongozi
 
Back
Top Bottom