Kijana atumia hela ya kodi kuchora Tatoo ya Wema. Sasa hivi familia yake inalala nje

Kijana atumia hela ya kodi kuchora Tatoo ya Wema. Sasa hivi familia yake inalala nje

kitu cha ajabu ni kwamba uzuri wa sura na umaarufu uko tofauti na utamu wa mbunye ya mtu. anaweza pewa mbunye na wema akakimbia kabisa ilivyo mbovu labda kuliko za mwajuma ndala ndefuu wa buza kwa limboa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Atakutana na mbunye iliyochoka kutokana na kukutana na kashi kashi na vurugu nyingi.
 
Jamaa ana target zake si boya kiivyo na inaweza kua ni Mchongo umechongwa na Familia,. Msishangae Jamaa akaibuka na Bodaboda ya mtaji hapo Au akapewa mkwanja wa mara mbili alioutumia kuchora

Na onlime media zitamtafuta Tayari kapata jina la kuchapia mademu siku mbili tatu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanammaindi mwanaume kuchora tattoo ya mwanamke. Wakati kuna mwanaume (Harmonize) kajichora tattoo ya mwanaume mwenzie (Diamond) na hamjawahi kummind.

Huyo mwana ni genius. Observe atakavyoanza kutoboa
 
Huyu ndie kijana anaetegemewa
katika Tanzania ya viwanda
 
Dah!huu ni uwakii wa standard gauge...ningekuwa among the member of his family,walai ningemla jicho huyu nyokaa shwain kabisa ☹️...
Familia yake kuanzia mama wote wamepinda ni mtiti ndani, hakuna mwenye nafuu. Sema chalii alishaniambia lazima atachora mchoro wa Wema. Hata simu yake wallpaper ni full wema.
 
Uyu si papaa mafido wa bongo star search hahaaa jamani kumbe chalii ana tu aktia eeh halafu msafi tu mi najua dishi limeyumba wema ana nyota kali hili bwege si lingechora tatoo hata ya maza ake, ana mikato yake ya boksa na shati zimechanika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hivi huko instagram anapiga pamba za hatari huwezi kuamini ni yeye
Nimeamini penye nia pana njia huyu chalii aliambiaga siwezi kufa bila kumla wema nikamuonaga duanzi iyo ilikuaga 14 naona 2020 anaenda fanikiwa, mjomba kapambana ya ela yote
 
Back
Top Bottom