Kijana Benjamin Fernandes ameleta wanafunzi wa chuo cha HARVARD na STANFORD kupanda Mt. Kilimanjaro

Hahahaaaaaaa....dah...wee jamaa bans

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Wee nyumbu mkubwa tena yule nyumbu wa mwisho ktk safari..

Are you serious? Ur dead, mentally dead..!!
 
Huyu hajakataa mshahara scholarship yake ilihitaji arudi bongo kufanya Kazi 2 years ...

Hiyo siyo mandatory. Mbona kuna watu kibao hususan ni wakenya wanatorokea huko huko.
 
In case you don't know, Ting Communication Limited is one of his handworks usifikiri ni mlalahoi kama unavyodhani

Nasikia ni mtoto wa Mzee mwenye Agape Television Network.Kwa kifupi ni mmiliki wa ATN,so si ajabu akikataa utumwa wakati anapo pa kuanzia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…